Punyeto ni mlango wa Roho chafu

Punyeto ni mlango wa Roho chafu

Leviathan humuingia mtu pale anapopiga punyeto, kwa unapofanya hii dhambi Basi tambua umemfungulia mlango mwenyewe
Pia Leviathan sio Unclear spirit. Ujue kuna unclean spirit, kuna demons, evil spirit, fallen angel, wicked spirit etc .. somo lako zuri sana goja nilifanyia kazi..
 
Kwa spirit of Leviathan mwanangu umetulisha chai.. Leviathan hausiki na mambo yanayo husu sex.. huyo ni pride ndio mahala pake.. roho zinazo husika na masta ni kama ashtoreth, tonodo, jebezebel , baadhi ya marine spirit..
Mnatuchanganya sasa Wapiga Punyeto wa Kutukuka. Je, tushike lipi sasa na tumuamini nani?
 
Kila unapopiga punyeto unazadisha idadi ya pepo wa chafu ndani yako.

Moja ya roho chafu inayojulikana zaidi inaitwa Leviathan , na huyu huwa ina waingia wanaume/wanawake. Kw wapiga punyeto kama ushaanza kujihisi weak Basi hii roho imeshakuvaa.

Kuanza ku-act ulelegelege ni moja kati ya viashirio kuwa hii roho ipo ndani yako.

Kazi za Leviathan, akishakuingia ndani yako
-Chuki: Unajikuta ni mtu wa kuchukia watu bila sababu ya msingi .

Yawezekana chuki usioneshe katika uso, ila ndani ukawa na msukumo mkubwa wa kumchukia mtu ambaye humjui au umepishana nae.

- Kukosa hamu ya kuishi: Unakuwa ni ambaye hauoni uzuri wa maisha - Hii ndiyo sababu kubwa inayofanya wapiga punyeto wengi kujiua.

- Msongo Wa Mawazo: Huyu roho ni moja ya pepo wasumbufu sana anapoingia kichwani. Hapa huuanza kutengeneza mtazamo hasi kichwani , Pia huanza kutengeneza majadiliano yasiyo na msingi pamoja na roho.

Kwa hiyo yeye anakupa mawazo hasi, na roho yako inajaribu kupinga. Hapa ndipo msuguano unapotokea. Hapa ndipo unapoona mtu aliyekuwa na confidence anaanza kuwajitu la aibu - kutokana na mawazo hasi anayojazwa la Leviathan.

Hapa ndipo unapoona boy ambaye alikuwa anaongea vizuri na watoto wakike - anaanza kuonesha tabia wild.

Jinsi ya kupona
Jifungie ndani kwa siku 7 ili ufanye mambo hayo hapo chini

- Funga siku 7: Funga yako iwe ya kikristo, unaweza uka-Google au YouTube jinsi ya kufunga properly.

-Soma biblia ndani ya wiki hiyo yote (Agano Jipya)

-Fatilia maombi na mafundisho ya biblia kupitia videos za YouTube (eg : Edu Duechuku, TB Joshua, Brother Hyeok) - hawa wanauwezo wa kuitoa roho

-Usiruhu mawazo ya ngono yaingie katika Akili yako

Ukishamaliza wiki 1 utaanza kuona utofauti.

Usije kurudi tena kwenye huu uchafu, kwa sababu utakaporudi tambua huyu pepo anatarudi na wengine ambao watakua wild zaidi yake.
white man wameshafanya research zao...

Majibu Yao ni tofaut na yako...

All in all watu waachane na uraibu wa punyeto
Maana inasemekana ni kama uraibu wa heroine...
Sigara hata pombe 🤓🤠
 
Kila unapopiga punyeto unazadisha idadi ya pepo wa chafu ndani yako.

Moja ya roho chafu inayojulikana zaidi inaitwa Leviathan , na huyu huwa ina waingia wanaume/wanawake. Kw wapiga punyeto kama ushaanza kujihisi weak Basi hii roho imeshakuvaa.

Kuanza ku-act ulelegelege ni moja kati ya viashirio kuwa hii roho ipo ndani yako.

Kazi za Leviathan, akishakuingia ndani yako
-Chuki: Unajikuta ni mtu wa kuchukia watu bila sababu ya msingi .

Yawezekana chuki usioneshe katika uso, ila ndani ukawa na msukumo mkubwa wa kumchukia mtu ambaye humjui au umepishana nae.

- Kukosa hamu ya kuishi: Unakuwa ni ambaye hauoni uzuri wa maisha - Hii ndiyo sababu kubwa inayofanya wapiga punyeto wengi kujiua.

- Msongo Wa Mawazo: Huyu roho ni moja ya pepo wasumbufu sana anapoingia kichwani. Hapa huuanza kutengeneza mtazamo hasi kichwani , Pia huanza kutengeneza majadiliano yasiyo na msingi pamoja na roho.

Kwa hiyo yeye anakupa mawazo hasi, na roho yako inajaribu kupinga. Hapa ndipo msuguano unapotokea. Hapa ndipo unapoona mtu aliyekuwa na confidence anaanza kuwajitu la aibu - kutokana na mawazo hasi anayojazwa la Leviathan.

Hapa ndipo unapoona boy ambaye alikuwa anaongea vizuri na watoto wakike - anaanza kuonesha tabia wild.

Jinsi ya kupona
Jifungie ndani kwa siku 7 ili ufanye mambo hayo hapo chini

- Funga siku 7: Funga yako iwe ya kikristo, unaweza uka-Google au YouTube jinsi ya kufunga properly.

-Soma biblia ndani ya wiki hiyo yote (Agano Jipya)

-Fatilia maombi na mafundisho ya biblia kupitia videos za YouTube (eg : Edu Duechuku, TB Joshua, Brother Hyeok) - hawa wanauwezo wa kuitoa roho

-Usiruhu mawazo ya ngono yaingie katika Akili yako

Ukishamaliza wiki 1 utaanza kuona utofauti.

Usije kurudi tena kwenye huu uchafu, kwa sababu utakaporudi tambua huyu pepo anatarudi na wengine ambao watakua wild zaidi yake.
Hapo kwenye namna ya kupona napingana na wewe kwenye baadhi ya mambo.

1. Katika ulimwengu wa leo mawazo ya ngono huwezi kuyakwepa asilani. Labda uamue usimiliki simu ya smart (usipate internet connection, usiingie kwenye social media etc.). pia ujifungie huko mashambani usionane na hawa wanatutega mabarabarani, mijini na maofisini hata kwenye nyumba za ibada wamejaa wengi wanatingisha matako tuu.

2. Unaposema akina TB Joshua na wengine wana uwezo wa kutoa hizo roho hapo unatulisha matango pori. Mwenye uwezo ni Mungu pekee na wewe unachotakiwa ni kumuomba Mungu akuepusha na majaribu. Hiyo ni kazi ya Roho mMtakatifu. Vinginevyo wewe utakuwa mfuasi wa Mwamposya na wapiga dili wengine kama hao.
 
Hapo kwenye namna ya kupona napingana na wewe kwenye baadhi ya mambo.

1. Katika ulimwengu wa leo mawazo ya ngono huwezi kuyakwepa asilani. Labda uamue usimiliki simu ya smart (usipate internet connection, usiingie kwenye social media etc.). pia ujifungie huko mashambani usionane na hawa wanatutega mabarabarani, mijini na maofisini hata kwenye nyumba za ibada wamejaa wengi wanatingisha matako tuu.

2. Unaposema akina TB Joshua na wengine wana uwezo wa kutoa hizo roho hapo unatulisha matango pori. Mwenye uwezo ni Mungu pekee na wewe unachotakiwa ni kumuomba Mungu akuepusha na majaribu. Hiyo ni kazi ya Roho mMtakatifu. Vinginevyo wewe utakuwa mfuasi wa Mwamposya na wapiga dili wengine kama hao.
Maisha Ni kuchagua
Na unalolifanya leo , ndio matokeo ya kesho
 
Kila mtu abebe msalaba wake.. kama ukiweza kupiga nyeto bila kumwaga mbengu chini, haina madhara yoyote na sio dhambi.. 😅😅
Mkuu Wapiga Nyeto wa Kutukuka ( Nikiwawakilisha ) tunahitaji Ufafanuzi wa Kina hasa unaposema Nyeto tupige, ila Mbegu zisitue chini. Kwahiyo tuzidake zikiwa zinakaribia kutoka Mboloni Kwetu au tuziwekee Bakuli kwa Chini ili Jini asizidake?
 
Back
Top Bottom