Kila unapopiga punyeto unazadisha idadi ya pepo wa chafu ndani yako.
Moja ya roho chafu inayojulikana zaidi inaitwa Leviathan , na huyu huwa ina waingia wanaume/wanawake. Kw wapiga punyeto kama ushaanza kujihisi weak Basi hii roho imeshakuvaa.
Kuanza ku-act ulelegelege ni moja kati ya viashirio kuwa hii roho ipo ndani yako.
Kazi za Leviathan, akishakuingia ndani yako
-Chuki: Unajikuta ni mtu wa kuchukia watu bila sababu ya msingi .
Yawezekana chuki usioneshe katika uso, ila ndani ukawa na msukumo mkubwa wa kumchukia mtu ambaye humjui au umepishana nae.
- Kukosa hamu ya kuishi: Unakuwa ni ambaye hauoni uzuri wa maisha - Hii ndiyo sababu kubwa inayofanya wapiga punyeto wengi kujiua.
- Msongo Wa Mawazo: Huyu roho ni moja ya pepo wasumbufu sana anapoingia kichwani. Hapa huuanza kutengeneza mtazamo hasi kichwani , Pia huanza kutengeneza majadiliano yasiyo na msingi pamoja na roho.
Kwa hiyo yeye anakupa mawazo hasi, na roho yako inajaribu kupinga. Hapa ndipo msuguano unapotokea. Hapa ndipo unapoona mtu aliyekuwa na confidence anaanza kuwajitu la aibu - kutokana na mawazo hasi anayojazwa la Leviathan.
Hapa ndipo unapoona boy ambaye alikuwa anaongea vizuri na watoto wakike - anaanza kuonesha tabia wild.
Jinsi ya kupona
Jifungie ndani kwa siku 7 ili ufanye mambo hayo hapo chini
- Funga siku 7: Funga yako iwe ya kikristo, unaweza uka-Google au YouTube jinsi ya kufunga properly.
-Soma biblia ndani ya wiki hiyo yote (Agano Jipya)
-Fatilia maombi na mafundisho ya biblia kupitia videos za YouTube (eg : Edu Duechuku, TB Joshua, Brother Hyeok) - hawa wanauwezo wa kuitoa roho
-Usiruhu mawazo ya ngono yaingie katika Akili yako
Ukishamaliza wiki 1 utaanza kuona utofauti.
Usije kurudi tena kwenye huu uchafu, kwa sababu utakaporudi tambua huyu pepo anatarudi na wengine ambao watakua wild zaidi yake.