Punyeto ni mlango wa Roho chafu

Hii tiba kwa waislam inakuaje?
 
When musturbation is an evil how we can get rid from this fucking behavior,
And most of them we are not ready to get married ?


Punyeto is valid
 
When musturbation is an evil how we can get rid from this fucking behavior,
And most of them we are not ready to get married ?


Punyeto is valid
Mkuu habari yako. Kiswahili ni lugha adhimu sana. Andika kwa kiswahili. Asante
 
1. Wanawake wanapiga punyeto kuliko hata wanaume
2. Maisha ya waafrika yamejaa kutishana tuuu kila kitu ni ushetani, majini, dhambi ili mradi tu usikae kwa raha na amani. Sasa uzinzi ni dhambi, uasherati dhambi, punyeto dhambi sasa mtu utakaaje na minyege yote hiyo? Ukiwa na nyege sana tunaambiwa majini mahaba yanatufata sasa mnataka tufanyaje? Nyeto idumu japo piga kwa afya
 
Huyu pepo anaweza kukuletea mafarakano n mwenza wako?
 
Mkuu kwenye hii dunia ya watu wenye akili nyingi nyie watu wa dini mtadharaulika sna , nawapa ushauri tu ndugu zangu hayo mambo yenu ya hadithi za sungura na fisi waambieni tu kondoo.
Mtumwa wa Ela - anajiita ana akilli nyingi?
Izo akili si bora , ufutie viatu
 
Mtumwa wa Ela - anajiita ana akilli nyingi?
Izo akili si bora , ufutie viatu
Sijasema ulivyo maanisha dhumuni langu ni kukuonyesha sio kila kitu nichakuunganisha na din kwa sababu zipo din zaid ya 4000 ,mambo mengne ni asili tu , pili sijawah kuwa mtumwa wa pesa labda useme mimi ni mtumwa wa tumbo langu kidgo nitakuelewa.
 
Sijasema ulivyo maanisha dhumuni langu ni kukuonyesha sio kila kitu nichakuunganisha na din kwa sababu zipo din zaid ya 4000 ,
Kwa hiyo kukiwa na wajinga wengi na mimi niwaze ujinga kama wao?
Na kwa nini unanipangia jinsi ya kufikiri?
pili sijawah kuwa mtumwa wa pesa labda useme mimi ni mtumwa wa tumbo langu kidgo nitakuelewa.
Utawezaje kuwa mtumwa wa tumbo bila ya kuwa mtumwa wa pesa katika dunia ya leo
Bado unaishi kwa wazazi , au upo kwa ndugu?
 
Kwa hiyo kukiwa na wajinga wengi na mimi niwaze ujinga kama wao?
Na kwa nini unanipangia jinsi ya kufikiri?

Utawezaje kuwa mtumwa wa tumbo bila ya kuwa mtumwa wa pesa katika dunia ya leo
Bado unaishi kwa wazazi , au upo kwa ndugu?
Sawa mkuu[emoji120]
 
Leviathan humuingia mtu pale anapopiga punyeto, kama unafanya hii dhambi Basi tambua umemfungulia mlango mwenyewe
Muache tu aingie moyoni mwangu. Awe wangu, wangu wa maisha
Namuahidi manii za kutosha mwezi huu. Njoo mama, njoo kipenzi Lu
 
Mbona mimi siangalii...simu yangu hairuhusu...kuangalia..inagoma kabisa
 
Muache tu aingie moyoni mwangu. Awe wangu, wangu wa maisha
Namuahidi manii za kutosha mwezi huu. Njoo mama, njoo kipenzi Lu
Maisha Ni kuchagua,
Hata MUNGU , hakulazimishi utende matendo mema au umuheshimu/kusali
Ila mwisho wa siku - matokeo yake ni kulia na kusaga meno
 
hatua ya kwanza ya kuacha nyeto ni kutafuta mbususu ya uhakika muda wote iwe available halafu hatua nyingine ndo zinafata
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kama kuna ka ukweli nakaona humu 🫡

Sema hizo njia ulizoweka za kumtoa huyo pepo naona kama bado hazijajitosheleza.

Ila mimi naamini njia pekee yenye ufanisi kwa asilimia zaidi ya 90 ya kuacha punyeto ni KUOA kwa mwanaume na KUOLEWA kwa mwanamke, hizo zingine ni za kujazia nyama tu.

Ukiona umeoa au kuolewa na bado unapiga nyeto, basi wewe addiction yako ni kupelekwa Soba kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…