Au simu unaitumbikiza kwenye dushe then unatafuta simu nyingine unajipigia....hakikisha inakuwa na vibration mode.

Mmmmhh hii ina fanya kazi vzri pia? Na inaweza chukuwa dakika ngani approximately?

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
masturbation ina madhara kwa both wanawake na wanaume:
wanawake wanakuwa hawana hamu ya wanaume: kwani level zingine wanaume hawafikii. sometimes wanaishia kuwa wasagaji.
kwa wanaume: wanakuwa hawa-injoy, inawapoteza kujiamini, inadhohofisha uume, its not natural. wanapizi mapema.
 
Apo nimewapata kwani naamin hakuna mtu ambaye hajapitia uko kweny pulling
 
mkuu david harvey umesema kama mtu ameathirika anarudi kwenye hali ya kawaida ya kufanya tendo zaid ya mara moja au kuirudisha misuli tu peke yake
 
Hehehe! Ebola ugojwa baya xana siku Nne wewe kwisha...hakuna lisilo na mwisho,itapita kama upepo Mungu atatenda jambo
 
ndio kaka lakini yakupasa utambue mtu anae piga punyeto ya nzi nayule anaepiga kwamkono nivitu viliwi tofauti mana huzidiana katika mateso
 
Madhara na tiba ya kuacha kupiga Punyeto''



Unajua hatari za punyeto katika maisha yako!!?
Unajua kuwa punyeto inaweza kukuathiri kiakili na kupunguza uwezo wa kufikiri!!?
Unajua kuwa Punyeto inaweza kukusababishia umasikini!!?
Unajua kuwa Punyeto hufunga nyota?
Kutana na somo hili leo ujue kila kitu kuhusu punyeto''''
Kuna aina mbili za punyeto.
(a)..Punyeto laini


(b)..punyeto Ngumu
Punyeto laini ni punyeto ambayo mfanyaji hutumia vilainishi fulani kati kuifanya'' mf' Sabun? mafuta au kimiminika chochote chenye utelezi fulani'
Punyeto hii ni hatari kwa sababu zifuatazo...


1. Mara nyingine Mfanyaji hutumia kimiminika ambacho ni laini kuliko sehemu za siri za kike, na hii humsababishia sana matatizo ya kuwahi kufika kileleni pindi afanyapo mapenzi na mwanamke''


2. Mfanyaji hutumia hisia kali ambazo humletea matatizo ya kusahausahau mambo aidha kama ni mwanafunzi atakuwa hafanyi vizuri shuleni, hata kama alikuwa anafanya vyema mwanzoni
kama ni mtu wa kawaida nyumbani atakuwa na tatizo la kusahau mambo pia na kwa Mtaalam pindi amwonapo mpiga punyeto sana humgundua mapema sana..


3. Athari kuu ambayo inaweza kuwa ni ya hatari kuliko tajwa hapo juu ni Kufifisha nyota baadhi ya wafanyaji huwa na wakati mgumu kimaisha na kujipatia kipato kutokana na suala hili''''
(Hata kama ukawa ni mmoja tuu uliye na hiyo tabia ukaishi na wenzio watano wasiofanya hicho kitu katika sehemu moja kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na ukata katika kikundi hicho)

''PUNYETO NGUMU''


Punyeto Ngumu ni punyeto ambayo mfanyaji huifanya kavu kavu bila kutumia kutumia kimiminika chochote laini yeye huweza kufanya punyeto hata darasani au hata ndani ya Gari''!
Yafuatayo ni madhara kwa mtu huyu!!
1. Kwanza kabisa tatizo kubwa la watu hawa ni kuchelewa kufika kileleni akilala na mwanamke!. Yeye huweza kuchukua hata masaa manne au usiku kucha kukamilisha round moja anakuwa kama anatumia Viagra ila hapana''
kwa sababu huyu hufanya kwa kuushika uume wake kwa nguvu nyingi hivyo uume ukiwa ndani ya uke wa mwanamke huwa hauisi chochote na hii humlazimu mfanyaji kuhangaika sana kukamilisha round 1''


2. Mfanyaji hutumia hisia kali ambazo humletea matatizo ya kusahausahau mambo kwa Mtaalam pindi amwonapo mpiga punyeto aliyekubuhu humgundua mapema sana..
Kimiminika


3. Pia punyeto hii Hufifisha nyota kwa baadhi ya wafanyaji huwa na wakati mgumu kimaisha na kujipatia kipato kutokana na suala hili'''' na hata kuna hata baadhi ya wengine ambao walikuwa vyema,
kimaisha ila ghafla huanza kuyumba baada ya kuendekeza sana mchezo huyo''
ikumbukwe kuwa suala hili limeshamiri zaidi katika hiki kipindi kipya cha utandawazi'''' na hiyo yote ni mitego ya Shetani kuhakikisha anakamilisha mambo yake'''
(Hata kama ukawa ni mmoja tuu uliye na hiyo tabia ukaishi na wenzio watano wasiofanya hicho kitu katika sehemu moja kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na ukata katika kikundi hicho)
Punyeto Ngumu ni punyeto ambayo mfanyaji huifanya kavu kavu bila kutumia kutumia kimiminika chochote laini yeye huweza kufanya punyeto hata darasani au hata ndani ya Gari''!

''TIBA''
Tiba za mchezo huu sugu huchukua mwezi mmoja mpaka miwili kwa mtu ambaye anafuata masharti na kuzingatia vizuri matumizi ya dawa atakazopewa.. Kwa walio mikoani wanaweza kuwasiliana
nasi na tukaweza kuwatumia Dawa popote walipo Tanzania..
Kwa wenye uhitaji wanaweza kuni PM
 
siyo kweli...kwanza hakuna utafiti wowote unaozihilisha ulichokiongea..wanaume karibia 90% wanawake 80 hupitia hiyo stage ya kupiga punyeto ukiwemo na wew.
 
Asante kwa somo. Fahamu ufafanuzi kuhusu hilo tatizo umeeleweka vyema ila ufafanuzi kuhusu dawa zako haujitoshelezi. Dawa zako ni za maji au vidonge!. Dozi yako ni kila siku kwa miezi hiyo miwili au siku ngapi! Unasafisha na nyota ulizosema zimefifia!
 
Mmh huu ni mtego mwingine wa shetani! Kwenye suala la dawa umeniacha hoi! Nachojua punyeto ni tatizo la kisaikolojia zaidi na hivyo tiba yake inakuwa ni ya ushauri zaidi kubadili tabia ya mpiga punyeto.

Najiuliza hizo dawa zako kama ni za kunywa, hazina side effect? Usije ukakuta unatoa dawa yenye kupunguza nguvu za kiume za mpiga punyeto na hivyo kumfanya asiwe na hisia nawewe kujiona kwamba umempa Tiba kumbe umemuongezea tatizo.
 

Mkuu asikudanfanye mtu yeyote kwamba anasafisha nyota. utaliwa pesa zako bure, kama wewe ni mkristo mkabidhi Yesu maisha yako. Epuka kufanya mambo machafu ( dhambi) yenye kufifisha nyota.
 
Haa ha ha...nakumbuka tukiwa shule tumefanya sana hiyo kitu na masomo tukawa tunapasua vibaya na kimaisha mambo yanasonga vizuri maana ilikuwa ukiwa class alafu nyanga hazipandi kwa sababu ya hisia unaenda faster chooni unakojoa vyote kisha unarudi faster kupiga shule sasa kwa nguvu zaidi ukiwa stress free...

..Hivyo hiyo ya usahaulifu wa masomo na nuksi kimaisha sidanganyiki.

Na sidhani kama inahitaji dawa kuacha, ni maamuzi tu magumu ya kusema toka moyoni kuwa "sasa basi".
 
Mkuu asikudanfanye mtu yeyote kwamba anasafisha nyota. utaliwa pesa zako bure, kama wewe ni mkristo mkabidhi Yesu maisha yako. Epuka kufanya mambo machafu ( dhambi) yenye kufifisha nyota.

hiki kitu wanachokiita nyota kinachorandanishwa na matokeo ya mwili k.m. mafanikio ya mtu kwa kikristo kinaitwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…