marahabaaa katoto ake....umeshaanza huu mchezo?
Ahaa ndo mana kuna siku unakuaga mkali halafu huniambiaga hujiskii au ndo kamchezo haka nini
Duh, umenikumbusha mbali sana kwa hili jina la mshika pembe.
Nimekuita uone jinsi nilivyomu-inspire rubii kuacha michezo yake hii, hapo ndo uelewe kwamba kweli ameshikika, soon atakuja na uzi unaokemea kusagana wakati wanaume tupo, then atakuja na uzi wa kunisifu kwa kubadili maisha yake.
Ha ha ha, basi tunakupanikisha kama Omy Dimpozi.
Aisee..., na wakiombwa game hawatoi.
Pole sana bro..Mimi labda nisijueNilishawahi kushika pembe kipindi fulani, ila nikirudisha siku nyuma nasikitika.
Duh mkuu niivunje ndoa na miss chagga nnUkiona miss chagga amekasirika ujue kapiga mzinga umebuma.
Kuvibana vinini mkuu??
Rubii umesimuliwa au unatoa ushuhuda wa uliyoyapitia?Kama ilivyo kwa jinsia ya kiume, kuna wanawake pia ni wahanga wa kufanya punyeto kwa kutumia vifaa tofauti tofauti.
Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua
1/INA HARIBU KIZAZI
2/INA KUFANYA KUA MVIVU MARA KWA MARA
3/UNA KUA UNA KOSA HAMU YA TENDO
4/MAUMIVU UKENI YASIYO NA SABABU
5/UKE KUWA MREGEVU YAANI MTEPETO
6/HUPEREKEA UKE KUTOA MAJI MAJI MARA KWA MARA AU MAJI YALE AMBAYO UTOKA KABLA YA TENDO KUTO KUWEPO IVYO ITAKUFANYA KUPATA MICHUBUKO NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO
7/ UWEZI KUJA KUJUA RAHA YA TENDO UKIZOHEA PUNYETO SANA WW DADA
8/PUNYETO INA FANYA UKE WA MWANA MKE KUKOSA RADHA KABISA IYO ITA PELEA KUKIMBIWA NA MMEO AU MWENZAKO KUTAFUTA KAMCHEPUKO KENYE UKE MTAMU
9/NA UKIZOHEA PUNYETO ITAKUFANYA KUWA MTU WA HASIRA HASIRA KILA MARA
10. PUNYETO NI HATARI KWA AFYA YAKO PIA UKII HIZOHEA SANA ITA PEKEKEA KUFANYA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Pole sana bro..Mimi labda nisijue
Duh mkuu niivunje ndoa na miss chagga nn
Kama ilivyo kwa jinsia ya kiume, kuna wanawake pia ni wahanga wa kufanya punyeto kwa kutumia vifaa tofauti tofauti.
Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua
1/INA HARIBU KIZAZI
2/INA KUFANYA KUA MVIVU MARA KWA MARA
3/UNA KUA UNA KOSA HAMU YA TENDO
4/MAUMIVU UKENI YASIYO NA SABABU
5/UKE KUWA MREGEVU YAANI MTEPETO
6/HUPEREKEA UKE KUTOA MAJI MAJI MARA KWA MARA AU MAJI YALE AMBAYO UTOKA KABLA YA TENDO KUTO KUWEPO IVYO ITAKUFANYA KUPATA MICHUBUKO NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO
7/ UWEZI KUJA KUJUA RAHA YA TENDO UKIZOHEA PUNYETO SANA WW DADA
8/PUNYETO INA FANYA UKE WA MWANA MKE KUKOSA RADHA KABISA IYO ITA PELEA KUKIMBIWA NA MMEO AU MWENZAKO KUTAFUTA KAMCHEPUKO KENYE UKE MTAMU
9/NA UKIZOHEA PUNYETO ITAKUFANYA KUWA MTU WA HASIRA HASIRA KILA MARA
10. PUNYETO NI HATARI KWA AFYA YAKO PIA UKII HIZOHEA SANA ITA PEKEKEA KUFANYA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Miss..Huyu hata aninyimi raha..Mana najua pengo langu hawezi kuliziba hata nikimwachia
Kizazi hakiharibiwi kwa kidole ila 2 379 itakuhusu
Miss..Huyu hata aninyimi raha..Mana najua pengo langu hawezi kuliziba hata nikimwachia