Ushaathirika na puchu nini mzee? Sasa unataka kurejea kama zamani. Hakuna kurejea yakhe ndo ushafunga ndoa na mkono wako pamoja na sabuni. Kila la heri.
Acha kumtisha raia watu tumepiga puli zaid ya miaka kumi baada ya kuacha dudu bado liko gudi tunapiga mama ile laana arif
 
Wanaume kupiga punyeto ni kutokana na kukosa p***y. Kwani wanawake nao kunawakati wanatakaga mb*o wanakosa? Maana sidhani kama kuna mwanamke ambae hapo anapoishi huwa hatongozwi kila mara hivyo akihitaji mb** ni fasta tuu. Inakuwaje mnajipiga selfie na mb** zipo kibao zinakonda kwa kukosa p***y hapo mtaani?
 
Masterbertion yaweza kupunguza uwezo wa mtu kufikiri na kutunza kumbukumbu kwa ubongo.......?????
 
Masterbertion yaweza kupunguza uwezo wa mtu kufikiri na kutunza kumbukumbu kwa ubongo.......?????
Mkuu ndio kitu ulichokuwa unafikiria tu au??? yaani baada ya kujiunga tu, neno la kwanza kupost limekuwa MASTURBATION???. Anyway kuna nyuzi kibao juu ya iyo issue, zitafute uzipitie, coz wakija hapa itakuwa marudio tu.
 
Yah iyo kitu inapunguza sana uwezo wa kufikiri,tena kwa mwanafunzi inampunguzia sana concentration yake wakati wa kujisomea ,kwa kuwa hawezi kusoma muda mrefu bila ya kuvusha

Ila hiyo hali inatibika kwa kula vitu kama ndizi,spinach,avocado,karanga,zabibu,pamoja na chocolate
 
Kwa wanaume wanaiita Punyeto na kina mama wameibatiza ya kwao wanaiita Selfie....So ukisikia demu anawaambia wenzake leo nimejipiga selfie za kutosha...Dont conclude, ask ipi hiyo?
We jamaa ni balaa..ha ha ha ha.
 
Hiyo Makitu ni hatari kabisa, na inamadhara mengi tu, ukiachilia hayo ya kusahau mara kwa mara, kupoteze kumbukumbu, kuna mengine makubwa zaidi (kuna thread nyingi humu zilizo zungumzia punyeto na matatizo yake, zitafute mkuu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…