Nyeto sio nzuri hata kidogo acha mara moja na ukiona unapenda sana huo mchezo ujue wewe mdomo mzito na hakuna mwanaume ambae hajawahi kupitia hio michezo mwarobaiti wa huo mchezo kama umeuzoea ni kuacha no way out ni hayo tu.
Nawasilisha
 
Pole sana Mkuu ebu jaribu kuikataa nafsi inayokusukuma kufanya hiyo kitu huku ukimuomba Mungu wako.
 
mkuu sasa tukusaieje?
maana haujataka kusaidiwa..
 
Wenye upungufu wa nguvu za kiume anitafute kupitia https://jamii.app/JFUserGuide..dawa ni mitishamba asili
 
Story inaanza mwaka 2013 ulipomuona brother wako ukiwa na miaka 6 na mwaka huo huo ukaanza kupiga punyeto! Labda kwa kuwa nimesahau mawani yangu au labda uzee unaniijia vibaya bado sijaelewa hapo.
 
kwaiyo unatoa angalizo afu ww unaproceeed haka kamchezo
 
Story inaanza mwaka 2013 ulipomuona brother wako ukiwa na miaka 6 na mwaka huo huo ukaanza kupiga punyeto! Labda kwa kuwa nimesahau mawani yangu au labda uzee unaniijia vibaya bado sijaelewa hapo.

Yaani jamaa alimuona bro wake akifanya huo mchezo akiwa na miaka 6 lakini huyu kijana alianza kuufanya huu mchezo mwaka 2013....

Labda nami sijaelewa vizuri, nisahihishwe...
 
mi napiga ni muda xx km miaka 8 pia napiga show za kibabe htr ucjrbu
 
nyeto nimepiga miaka 11 tangu form one bording ilikuja niabisha pale ndonga iliposhindwa simama mbele ya papuchi tokea siku hiyo niliacha mazima imenichukua muda kweli kurudia hali ya kawaida ila saivi napiga mama kiroho safi
 
Yaani jamaa alimuona bro wake akifanya huo mchezo akiwa na miaka 6 lakini huyu kijana alianza kuufanya huu mchezo mwaka 2013....


Labda nami sijaelewa vizuri, nisahihishwe...
Ndio hapo tena muda huu na mawani nimevaa ila nachokiona mwaka 2013 umetajwa mara mbili akiwa ana miaka 6 na pia ndo alianza kupiga punyeto afadhali tumefika wawili hili jambo bado linatuchanganya.
 
Sijaomba msaada ni Historia tuu nimetoa angalizo hapo KAMA HUJAWAHI FANYA USIFANYE

Japo hujataka msaada ila mimi nakushauri uache maana punyeto ina madhara makubwa japo wataalamu wanasema ni ngono salama USIDANGANYIKE! Punyeto hulegeza misuli ya uume hivyo ndiyo maana huwa tabu kwako kusimamisha, halikdhalika hata kuweka mimba inaweza kuwa ni vigumu!
Utaachaje?

Kwasababu mpiga punyeto huathirika(addiction) kama ilivyo kwa mvuta sigara, basi ili uache inabidi ujiwekee ratiba ya kupunguza taratibu mpaka kuacha kabisa! Kama wapiga kila siku uanze kujiwekea kupiga weekend tu, ukiweza hivyo jiwekee kwa mwezi mara mbili, taratibutaratibu utaweza kujikuta unapiga mara 3-4 lakini ukiwa na nia utaweza, ukiweza hivyo jiwekee mara moja kwa mwezi, miezi mitatu mara 1 hadi utaacha...hakuna kisichowezekana ni Nia yako tu katika kulitimiza!!!
 
Story inaanza mwaka 2013 ulipomuona brother wako ukiwa na miaka 6 na mwaka huo huo ukaanza kupiga punyeto! Labda kwa kuwa nimesahau mawani yangu au labda uzee unaniijia vibaya bado sijaelewa hapo.
kwa mara ya kwanza kumuona my bro nilianza mwaka 2013
 
tunachoshukuru mungu chama chenu kinazidi kupata wafuasi wapya kila leo

#ChaPuTa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…