Sijakusoma mkuufungukaaa!!!
Mkuu hii kitu nilipigaga nikiwa O-level
Nilikuja kuacha baada ya kuchapa sana mademu, sikuona sababu ya kupiga kwani nikitaka manzi napigaa
Kuna jamaa yangu anamke na bado anapigaa hii mamboo
Mbaya sanaaa
 
Mmmh!!! Madhara hata hayasumbui kuliko faida zake?!
[HASHTAG]#NTAENDELEA[/HASHTAG] KUITUMIA PUNYETO MAISHA YANGU YOTE!
 
Mmmh!!! Madhara hata hayasumbui kuliko faida zake?!
[HASHTAG]#NTAENDELEA[/HASHTAG] KUITUMIA PUNYETO MAISHA YANGU YOTE!
Mkuu....tafuta hata dada poa..wapooo wengi tyuuu wa bei rahisi kitaaaniiii....umalizie ka mchezoo......coz ni kabaya ukiji....chua..........
 
==> Faida zake ( Za kufikirika tu)

==> Hasara zake (Zimethibitishwa)

*** Unapoamua kujadili kitu na kutoa ushauri jaribu kutokuwa biased sana vinginevyo you unknowingly can defeat the whole purpose. Yaani hata faida za punyeto zilizo self evident kama kujikinga na magonjwa ya zinaa na urahisi wake economically nazo ni za kufikirika tu?
 
Mkuu hii kitu nilipigaga nikiwa O-level
Nilikuja kuacha baada ya kuchapa sana mademu, sikuona sababu ya kupiga kwani nikitaka manzi napigaa
Kuna jamaa yangu anamke na bado anapigaa hii mamboo
Mbaya sanaaa

Mkuu unapaswa ujitoe kwake ili uweze kumsalimisha ya hii dhahama. Mpatie sababu za msingi kwa nini wewe uliacha!! mi naamini ataacha tu. Afu kitu kingine watu wanafanya wakiamini yeye ndo mwanzilishi na hakunahata mmoja anaeweza kumgundua, Huku ni kuongopea nafsi zetu!! PUNYETO NI HATARI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…