Ninakusubiri bado utakuja kuelezahapa madhara ya kupiga punyeto muda sio mrefu kuanzia sasa bwana mdogo endelea tu kupiga punyeto madhara yake utakuja kuyaona mbele. Na utavuna kile ulicho kipanda.
Labda kama hauli mlenda na bamia.mishipa na viungio lazima vitakuuma kwa sababu unapungukiwa na ule ute unao lainisha viungo.
Hao Wateja wako labda akina Chid Benz na TID, punyeto haina madhara kama hayo. Hata sasa nimeshamaliza viwili.Wewe ndio muongo mimi karibu wateja wangu wengi wa upungufu wa nguvu za kiume sababu ni ndio hiyo ya kupiga punyeto wewe hupigi punyeto ungelikuwa unapiga punyeto usingesema hivyo.Wengi wa vijana siku hizi wana upungufu wa nguvu za kiume na mimi ninapata pesa toka kwa hao wanaopiga punyeto ndio maana nikakwambia wewe hupigi punyeto laiti ungekuwa unapiga punyeto usingenibishia maneno yangu ninayo yasema.Haya kama ni kweli wewe unapiga punyeto niambie chama cha kupiga punyeto Tanzania kinaitwaje kwa jina?
Wewe ni mshenzi wa tabia kumbe una mke halafu unawasisitiza watu wapige punyeto? ninakuacha wewe wapoteze watu waendelee kupiga punyeto na kumbe wewe una mke?😀Embu niache ww jamaa na lamri zako, shemeji yako anasumbua hapa anataka mgegedo
Hahahah kwa sababu wewe una mke ndio maana unawasisitiza Vijana wapige Punyeto? unataka vijana waharibike na madhara ya kupiga Punyeto? mimi ninataka kuzungumza na Waziri wa Afya apige Punyeto marufuku na Wanaopiga Punyeto Vijana Wakamatwe na watu wanaosisitiza kupiga punyeto, kama wewe utakuwa ni mtu wa kwanza kukamatwa.😀😀😀Hao Wateja wako labda akina Chid Benz na TID, punyeto haina madhara kama hayo. Hata sasa nimeshamaliza viwili.
Mzizi mkavu, punyeto binafsi ndiyo imenisaidia sana kuwa hai hadi leo maana kuvaa condom ilikuwaga ngumu sana kwangu, mtu anayeiponda punyeto hakika naamini atakuwa aidha anatumia madawa ya kulevya na anasingizia punyeto.Hahahah kwa sababu wewe una mke ndio maana unawasisitiza Vijana wapige Punyeto? unataka vijana waharibike nawawe na madhara ya kupiga Punyeto? mimininataka kuzungumza na Waziri wa Afya apige punyeto marufuku na Wakamatwe watu wanaosisitiza kupiga punyeto, na wewe utakuwa ni mtu wa kwanza kukamatwa.😀😀😀
Mimi sipigi punyeto na nina miaka 7 sijafanya mapenzi unaweza kuniamini? Tangu nimemuacha mke wangu mwaka 2010 sijapiga punyeto na wala sitaki kuwa na mwanamke mwengine huku nilipo wapo wanawake wa ki-Ganda lakini ukimwi upo nje nje ... ninawaogopa sana.....Mzizi mkavu, punyeto binafsi ndiyo imenisaidia sana kuwa hai hadi leo maana kuvaa condom ilikuwaga ngumu sana kwangu, mtu anayeiponda punyeto hakika naamini atakuwa aidha anatumia madawa ya kulevya na anasingizia punyeto.
Miaka Saba!!! Ni msaidizi wa Papa?Mimi sipigi punyeto na nina miaka 7 sijafanya mapenzi unaweza kuniamini? Tangu nimemuacha mke wangu mwaka 2010 sijapiga punyeto na wala sitaki kuwa na mwanamke mwengine huku nilipo wapo wanawake wa ki-Ganda lakini ukimwi upo nje nje ... ninawaogopa sana.....
Naona umepinga kwa nguvu zote vp mwanachama nn
uko wrong mkuu punyeto haisababishi mtu kupungukiwa nguvu za kiume wala kupiga bao moja kwanza nikufahamishe kwamba bao moja pia linaweza mridhisha mwanamke ni kitokana na mrivyo jiandaa. pili hakuna uthibitisho wamoja kwa moja kwamba punyeto ina madhara hayo.
Tatizo la Punyeto ni sawa kabisa na madawa ya kulevya Mkuu wa mkoa nae aanzishe msako wa kuwakamata wanaopiga au wanaosisitiza watu wapige punyeto ukiwa unapiga punyeto sio rahisi kuacha hata ukiwa na mke au mpenzi utakuwa unapiga huto acha mimi kupiga punyeto ninavyoogopa utafiri ulevi au madawa ya kulevya ninavyo yaogopa. Nikiwaona wateja wanavyoteseka kwa kuvuta unga huwa ninawaonea huruma sana kwa mateso wanayo yapata Mungu atuepushe na hili janga la kupiga punyeto na Mungu awaachishe wale vijana wanaopiga Punyeto aminhii kitu ni sawa na madawa ya kulevya, makonda ameahidi kutaja list nyingine lakini ni kwa ajili ya hawa wanao Fanya hii kitu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sio kwel impact yake n kupunguza nguvu za kiume na kupiga bao moja tu bas
Nimekonda kiss punyeto aiseeLogically tiba yake nadhani itahusisha kuacha punyeto...
Yaani watu mnapiga punyeto mpaka magoti yanalegea? Kazi ipo!
Nimekonda kisa punyeto aiseeLogically tiba yake nadhani itahusisha kuacha punyeto...
Yaani watu mnapiga punyeto mpaka magoti yanalegea? Kazi ipo!
Nimeokoka na madhambi.....................Miaka Saba!!! Ni msaidizi wa Papa?