Du ww hujaacha ulikua unaweza had kuhesab siku duuuuu.... Ujaacha
 
Asante kwa uzi wako ataa mimi inabidi nifate nyayoo zako mkuu

Mungu akubariki kwa kuleta huu uzi
 

Hahahaaa hakawii kufanya sursprise akarudi kundini.
 
daaah yani bada ya kumaliza mtihani ukaona ujipongeze na bao la mkono[emoji3][emoji3][emoji3]iseee ulikuwa bonge la mumini ila chama bado kinahitaji uwepo wako
 
Nakupa tu mda utakud tu mm nlikaa miaka miwili ila nliporud ilo balaa Lake hatariii
 
daaah yani bada ya kumaliza mtihani ukaona ujipongeze na bao la mkono[emoji3][emoji3][emoji3]iseee ulikuwa bonge la mumini ila chama bado kinahitaji uwepo wako
nimecheka sana jinsi ulivyonielewa, yaan hapa wananiuliza "unacheka nn" nmekosa cha kuwajbu
 
Nimeshangaa hujapata hata LIKE moja, Japo Umetoa Ushuhuda na Elimu ya bure (Hata kama umetuingiza chaka)...

Ndio nimekupa LIKE ya KWANZA.

Hongera sana Mdogo wangu, Umenikumbusha Mbali Sana.
haaahaa! nashukuru mkuu ila hii ni true story yang
 
Sawa, nakushauri ukumbushie kwa kupiga punyeto moja kama maadhimisho ya birth day yako
 
Dah!
Hongera sana aisee!
Ila nadhani tuna binadamu tuna utofauti.
Mie nilipiga hiyo nyeto miaka kama tisa, lakini nilikuwa nikikutana na nimpendae mwendo ule ule mpaka yeye ananitoa kwa kunisukuma kwamba ametosheka na amechoka.
Mpaka nilipooa sikuweza kupata madhara yoyote ilikuwa napiga punyeto kila siku asubuhi na usiku nikimisi sana zinapita siku mbili
 
Nimekubali bro punyeto huponi chini miezi 3 karibu katika raha ya dunia ...
 
Hongera sana mkuu, kwa juhudi zako za kujitolea kumsaidia mwanaume mwenzetu.


Asante mkuu,ujue jambo hili linapokukuta kiukweli unachanganyikiwa sana,tena ukisikiliza au kusoma post za watu hum jf,,huelewi ushike lipi uache lipi

mwisho wa siku mimi nikiwa kama shuhuda na nimepambana nalo,niko tayari kumpa ushauri mwanaume mwenzetu
 
kweli kabisa tunatofautiana, hafu kuna wengine hawajawahi kupiga punyeto kabisa ila wanashindwa kusimamia show vizur. sema ishu nzima ya mapenz asilimia kubwa Inabidi kujiamini usiwe na msongo wa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…