Napenda kupewa ushauri kwa ari hii, kwani mimi nafanya Sex kwa week yaweza kuwa mara mbili au tatu ila cha ajabu na ambacho siwezi vumilia kuacha ni kupiga PUNYETO sasa nifanye nini ili niweze kuacha?

Note; ila bado sijaoa.
When you start masturbating you can't leave it until you die

There is no way you can use to stop that habit may be by cutting your hands or your penis
 
Laiti kama huo uboro lako lingeweza kufika huko nyuma yako, si ungejilamba kila siku.

Ila mungu ana makusudio yake bhana. Ila huo upuuzi wako achana nao kabisa
 
😀😀😀
 
Leo katika pita pita zangu nilikutana na rafiki yangu wa muda mrefu lakin kutokana na pirika za maisha tulipoteana, baada ya salamu nilimkuta rafiki yangu akiwa na huzuni nyingi lkn ckutaka kukaa kimyaa nikamuuliza kulikoni mbona kama hupo sawa kama nilivokuzowea??
Akasema kwamba tatizo la kufika kileleni mapema na anakua na hisia kali sana wakati wa tendo katika kichwa cha uume wake na tatizo hili limekua linamtesa sana mpaka kwenye ndoa yake kiasi kwamba mama mwenye nyumba anaanzisha ugomvi sasa, nilipomuuliza nini kilifanya iwe anafika kileleni mapema akajibu tangia alipojua kupiga punyeto basi alifanya kama ndio njia rahisi kwake ya kujitosheleza kimatamanio kwa muda wa miaka 13 mpk alipo funga ndoa,baada ya kutambua kwamba tatizo lake limesababishwa na kupiga punyeto sasa anatafuta tiba.
Kwahy mwenye kujua tiba yake naomba aniwasilishie hapa ili kijana mwenzentu na yy aondokane na tatizo hilo.
 
Ngoja wataalam wa punyeto waje..!!
 
Umeamua uje huku kuomba tiba rafiki.
 
Mpe pole sana mwambie ale vyakula vya asili maji mengi pia na mazoezi ataludi kwenye hali yake ya kawaida.


vita ya punyeto aijawai kumwacha mtu salama.
 
wengine bado wanafanya na bado wana wake mungu tusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…