Nibora kuliko kubaka au kua shoga
umri wako tafadhali, pia dawa ya kumaliza matatizo sio kuyakimbia nikuyasimamia sisi wwnye upeo wa kukemea mambo ya kipumbavu tumekuwa wabinafi mpaka taifa linaenda kuodha kwa style hii inaonyesha wwe nmtu wa kukata tamaa kila kukicha kama wewe unashawishi watu wakate tamaa kwa vitu vidogo na wale walio fkria kutawala dunia kisayansi wangakuwepo kweli???? je navitu kama magari,umeme,internet vingekuwepo??? vijana tumekuwa watu wakujikita kwenye vitu mfuu,mawazo vinyu, nawala siwalaumu waliopita nalaumu waliopo!!!! kwasababu vyanzo vya mawazo finyu ni KATIBA, SERA, MAPOJA NA MALEZI.
 
29 years
 
hili tatizo mwisho w siku halitaacha mtu salama
 
Punyeto nlikuaga napiga kipindi nko skul ilikuaga ni tamu ila nliacha baada ya kula ila napiga mzigo fresh
 
Me naona kupunguza hilo tatzo la nyeto ni kutoa elimu ya madhara yake na jinsi ya kukabiliana nayo na pia watu wawahi kuanza wakiwa na umri mdogo ili wanapokua wanabalehe wawe wamefika mbali kielimu na sio secondary mfano mtu akiamalza form four akiwa na miaka 14 or 15 hii itasaidia kwani akimalza elimu ya secondary ataenda chuo ambapo ataeza kuchanganyika na jinsia nyingine na hii itapunguza ile hali ya makundi rika ya kupotoshana
 
Huu mchezo niliuanza wakati nipo primary wakati ule tunakwenda kuchek movie za kihindi kwenye mabanda ya video,basi navizia usiku mida ya SAA 4,natoroka home nakwenda kucheki movie za x,nimepiga nyeto mpaka namaliza form6,,,baadaye niliona ni ubwege kupiga nyeto,nikatafuta girlfriend,ikawa kama nimejichongea kwani ndio napiga nyeto ya kufa mtu,asubuh,mchana usiku,,,sina raha na hii kitu.punyeto a.k.a nyeto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…