Si kweli,mwanamke anaweza kuvumilia muda mrefu bila kusex haina maana anapiga punyeto,second most of girls (ukiacha wala wachunaji)wanapenda ku have sex na watu wanaowapenda.... sio kama mwanaume anataka kufanya sex kwa kujiridhisha tuIla all in all tuwa laumu girls wanaotupiga vibuti maana wakisha tupiga vibuti wao wanaenda kusagana ((((correct me if am wrong))))))))))))
Na kupelekea hayo yote.
Umeeleweka sana mkuu,,Yeah. Tule vizuri na mazoezi tufanye. Kuna watu humu hawajala matunda ata wiki inafika sasa. Tikiti maji, nanasi, matango, chungwa, embe, stafeli, papai. Maji ya kunywa. Mtu anakalia chips soda. Chips soda ni moja ya mlo unaotakiwa kuusapoti mlo mkuu. Nyama kilo moja kumaliza kazi. Lazima upate tabu kisaikolojia, kisiasa, kiuchumi, kijamii, na hata kidini. Huwezi kusali vema kama hujaridhika. Nakushauri mtoa mada endelea na puchu tafta na demu badili mwenendo wa maisha yako.
Sababu za kupiga puchu ni zipi?second hurudi na harufu ya wazungu ofcn?Mwaka wa 10 huu napiga punyeto. Sijapata hayo madhara yako. Kutongoza wanawake niwapendao. Mwili wangu hauna madhara yoyote. Kiakili niko poa sana hata ofisini wananijua kwa outputs zangu. Na hapa nikiamua kupiga puchu naenda ndani ya gari langu napiga narudi ofisini. Wewe unapiga puchu huli vizuri hufanyi mazoezi mboga mboga unazionea kwa mama ntilie saladi hujawahi kula kazi kabeji. Push up 100 unaskiaga tuu. Mimi bao sijawahi kupiga moja ni nne na kuendelea. Tena nikipiga puchu na demu awe anamvuto bao saba hadi 10.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahhaha.....mimi ni MUHAMASISHAJI MKUU...
Kwa hiyo ni bora usex na mtu kuliko puchu,ukisea uache na Mawazo hay ni ngumu huwez ku control hisia za kutaka kufanya mapenzi?Mkuuu nakushauri achana nayo ...acha kupiga punyeto janna nilisoma kwenye kitabu flani hivi kuwa kupiga punyeto ni sawa na kumdhalilisha mungu na uumbaji wake so ushauri wangu acha kupiga punyeto .pia tuungane tuka tubu dhambi ya udhalilishaji wa uumbaji wetu. Ni hayo juu
Mimi binafsi naamini kua nyeto haina madhara kabisa bali iko hivi:Hii ni baada ya kuona madhara yake
1. Goli moja chalii
2. Mwili kudhoofu ,
3. Uti wa mgongo kuuma
4. Mawazo kedekede ,
5. Kuchukia wasichana walio nikataa kushiriki nao tendo
6. Matatizo ya akili kama mwendawazimu
Ni hayo tuu ila mengine nimeyaacha maana siyo mazuri
Baada ya yote ninapenda kushukuru kwa yote hasa wale girls walo nitosa na kupelekea mimi kuji-selfie. Ndugu zangu wanaume ACHANENI NA PUNYETO NI HATARI SANA KWA AFYA.
Ni hayo tuu kwa leo.
Hapa umemjibu vizur sana kaka istoshe wadada wasiku hizi wanaweza kukunyonya au kukusugua kwa mikono au miguu yao hadi ukojoe sasa hii si punyeto tuSo hata kupiga mashine sana ina madhara?
Je,kufanya mapenzi si punyeto tu,in and out unapata msuguano mpaka unamwaga?
Ukilijutia tendo hilo utaathirika kisaikolojia..ila kama linakupa raha na unalifurahia wala huathiriki hata roboo...Kukojoa ni kule kule ama kwa mkono ama kwenye njia ya mwanamke. Madhara ya kweli ni ya kisaikolojia tu.
Basi tuu wana mawazo ya kuchekesha na kufurahisha[emoji13]Wehu kivipi mumu
Mkuu piga kwa afya kama mimi napiga kimoja baada ya siku tatu au nne..[emoji4][emoji4]Hii ni baada ya kuona madhara yake
1. Goli moja chalii
2. Mwili kudhoofu ,
3. Uti wa mgongo kuuma
4. Mawazo kedekede ,
5. Kuchukia wasichana walio nikataa kushiriki nao tendo
6. Matatizo ya akili kama mwendawazimu
Ni hayo tuu ila mengine nimeyaacha maana siyo mazuri
Baada ya yote ninapenda kushukuru kwa yote hasa wale girls walo nitosa na kupelekea mimi kuji-selfie. Ndugu zangu wanaume ACHANENI NA PUNYETO NI HATARI SANA KWA AFYA.
Ni hayo tuu kwa leo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kwaiyo bado ujaacha mkuuMi nshaacha siku mingi, nakumbushiaga mojamoja[emoji56]
Duh!!!Mwaka wa 10 huu napiga punyeto. Sijapata hayo madhara yako. Kutongoza wanawake niwapendao. Mwili wangu hauna madhara yoyote. Kiakili niko poa sana hata ofisini wananijua kwa outputs zangu. Na hapa nikiamua kupiga puchu naenda ndani ya gari langu napiga narudi ofisini. Wewe unapiga puchu huli vizuri hufanyi mazoezi mboga mboga unazionea kwa mama ntilie saladi hujawahi kula kazi kabeji. Push up 100 unaskiaga tuu. Mimi bao sijawahi kupiga moja ni nne na kuendelea. Tena nikipiga puchu na demu awe anamvuto bao saba hadi 10.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Puchu ilinifanya nipate division 1 form 4. Div one form six. First class chuo kikuuu. Mfanyakazi bora mara mbili mfululizo.
We hujapata wa kukukalia sawa shoo yangu hyo papuch nitainyonga nyonga mpaka isahau punyeto,Usahuri wako namba moja nimeukubali. Huo namba mbili wa kukutafuta means unayo dawa au? Maana dushe haitibu hii kitu....nitapata dushe lakini nitakumbuka tu kufanya.