Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza apo juu, huu ni mwaka wangu wa tisa napiga punyeto, nimeshindwa kuacha kabisa pamoja na jitihada zangu zote, ata jana jioni nimetoka kujipiga kimoja, uwezo wa kuhimili mwanamke mwisho wangu ni bao mbili, kama nikilala nae basi ni 3 tena kwa tabu, japo kila bao moja hunichukua zaid ya dakika 35 hii ndo afadhali yangu, naombeni ushauri namna ya kuachana na hii kitu, maungio ya mikono na miguu vinaanza kuuma kwasababu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unatumia mafuta/Sabuni, jaribu kubadilisha mbinu.. tumia super glue .... utaacha tu wewe mwenyewe.
 
Ukitaka kuacha puchu kata uume wako mkuu,that is the only available option.Vinginevyo ushakuwa addicted.
 
Kama mwanamke unae unapiga puchu ya nini tena nenda kanisani kaombewe utolewe hiyo roho kingine ebu anza kuikataa hiyo hali ya kupiga puchu ukijisikia kutaka kupiga nenda kwa mkeo tu jaman au mwanamke wako
 
Uwezi acha mkuu hivi hivi mpaka uaibike pale mashine ikigoma kusimama
 
Nyeto hutakiwi kuiendekeza, kwa wiki ukipiga mara moja au mbili inakua fresh..

Ukitaka kuona balaa lake piga kila siku na sio chini ya bao tatu, hauchukui raundi..
 
Habari wakuu...

Wakuu kuna jambo limenitatiza leo...Tangia nizaliwe nimewahi kula papuchi za wadada wawili wa kwanza alikuwa housgel wetu hapa mambo yalienda sawa kwa kuwa ndo alikuwa wa kwanza...

Huyu wa pili mimi hata sikuelewa nimefanya nini maana sikuingiza ndani ila wazungu walitoka hapohapo.....

Sasa jambo linalonitatiza leo nimemchukua mtoto mrembo kufika muda wa kufanya yetu mhogo hausimami kabisa nimejaribu mara kadhaa ila nimeambulia patupu...nilichoamua kumwambia aondoke kwanza siko vizuri..

Wakuu hapa nilipo nimebaki najiuliza tatizo nini mbona nikipiga punyeto inasimama vizuri...nimebaki kuchanganyikiwa hapa wakuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…