Upumbavu wa kuchekesha watu uache umesababisha hadi nimealika majirani mbavu zinaniuma
 
Sipiti ng'o mwanaume mzima hana self control analeta utoto JF mleta mada hujakua akili njoo nikufundishe uache tabia za kutokujielewa
Bado sijakuelewa...

Kupiga nyeto ni aibu kivipi..!?
 
Au kuanzisha uzi wa aina hii ni aibu kivipi!??
 
Naona Mtoa Mada Hajaeleweka Kabisa. Me Naona Alikuwa Na Lengo Zuri.
Lakini Kwa Sababu Tumetofautiana Uelewa Ndo Yametokea Hayo
KULA MIA, nilizan kwa sbb nilikunywa uji asubuh nimekua mgumu kuelewa, Nashangaa wanaokurupuka nakat ukiangalia mtoa mada lengo lake si kuhamasisha bali n kuachana na hili tatzo kwa kufundshana madhara,
ukitulia utagundua huu uzi una umuhm karbun kuliko nyuz zote unazoziona kwenye hii page, Mana una lengo la kujenga na kuokoa

Naanza kuamin ya kua kweli kuna watu wana kisirani na ID fake, na mtu kama huyo ana stress ukimuuz humu anagomba na chochote kilicho karbu yake, hata vibakuli, anagombana na mtetea uliotembea na jogoo au anaona jogoo linakimbiza mtetea nae anaunga, unaweza uwe umetulia sehem unaona mtu mzima anapiga mateke vifuu unazan kachanganyikiwa kumbe n stress.

KUKOSA KWING FURAHA N KUJITAKIA

chakushangaza naona Mods wameumerge na manyuz mengne yanayohamasisha nyeto na kat huu n tofaut
 
Naona Mtoa Mada Hajaeleweka Kabisa. Me Naona Alikuwa Na Lengo Zuri.
Lakini Kwa Sababu Tumetofautiana Uelewa Ndo Yametokea Hayo
KULA MIA, nilizan kwa sbb nilikunywa uji asubuh nimekua mgumu kuelewa, Nashangaa wanaokurupuka nakat ukiangalia mtoa mada lengo lake si kuhamasisha bali n kuachana na hili tatzo kwa kufundshana madhara,
ukitulia utagundua huu uzi una umuhm karbun kuliko nyuz zote unazoziona kwenye hii page, Mana una lengo la kujenga na kuokoa

Naanza kuamin ya kua kweli kuna watu wana kisirani na ID fake, na mtu kama huyo ana stress ukimuuz humu anagomba na chochote kilicho karbu yake, hata vibakuli, anagombana na mtetea uliotembea na jogoo au anaona jogoo linakimbiza mtetea nae anaunga, unaweza uwe umetulia sehem unaona mtu mzima anapiga mateke vifuu unazan kachanganyikiwa kumbe n stress.

KUKOSA KWING FURAHA N KUJITAKIA

chakushangaza naona Mods wameumerge na manyuz mengne yanayohamasisha nyeto na kat huu n tofaut
 
@kariha ntakutafuta tufanye kitu.
 
Ni kadawa fulani ka bei nafuu kanakokuepusha na ukimwi na magonjwa yote ya zinaa
 
Hahahaaaaaaaaa yani nimecheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…