Ilikua shule ya bweni, muda kama wa miezi miwili mfululizo kibamia kilikua kinani simama kila dakika. Kama kifimbo cha bendera, nikawa sielewi elewi.

Kuingia kuoga jioni wakati najipaka sabuni mara paap kikasimama dede tena, chaajabu nikipitisha mkono naskia hisia za ajabu sijawahi kupata. Mara wazungu hao.

Nlikaa kama nusu saa nikishangaa wale wazungu na kujiuliza ni usaha au vipi? Nikahisi labda itakua na jipu kwa ndani lisilokua na maumivu.

Kuja kushtuka kumbe DOM kuna wanachama kibao wa chama CHAPUTA, kuanzia hapo ni mwanzo mwisho kuazimana picha za ma model na kwenda kujichua asubuhi, mchana na jioni.

(Kipindi hicho JLO a.k.a Jenifer Lopez yupo kwenye chart kinoma, alipata tabu sana na mimi bafuni yule mwanamama)[emoji18]
 
Sasa ina nini cha ajabu hii avatar mpaka upigie nyeto
Ndo maana nikasema kipindi cha balee. Hicho kipindi vijana wa kiume hua tunapata tabu sana, yani hata ukiona MBUZI au PAKA kakaa mkao wa kichokozi kibamia lazima kisimame dede. Sembuse hio AVATAR yako.

Ila nahisi kama stim za balee bado ninazo, maana bora nsiseme #Sanchi mungu anakuona[emoji18]
 
Mkuu umenena vyema kabisa
 
Mimi najiuliza hawa wanaosema Puli inamaliza nguvu za kiume, mbona mimi napiga puli tangu mwaka 2005 lakini last week demu wangu baada ya kunisumbua sana kuwa anaumwa tumbo nikampeleka kucheki kwenye ultra sound akakutwa na na mimba ya watoto mapacha? Au mimi Mungu amenijalia nguvu za kipekee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…