Mkuuni kitu ngumu kuacha huyu kapumzika tuHongera kwa kuacha uchafu na robo za mufilisi. pambana shikilia hapo hapo kila kitu kinawezekana, nia ya dhati kutoka ndani ndio msingi. ukigundua wewe ni roho inayoishi katika huo mwili hutarudia kufanya mambo machafu katika huo mwili ambao ni hekalu la roho mtakatifu, wewe si huo mwili bali huo mwili umeivaa roho ambayo ni wewe , kwa hio ongoza huo mwili usikubali mwili uongoze roho.
Nmeacha rasmi punyeto, mungu nisaidie
duh hahaha asa ina radha gan mkuu hyo kitu.....Hongera mimi mwenzio nina siku ya pili leo target ni one week nione kama nitaweza
Mkuu nilishanunua dada poa,nina record ya kuka miezi mitatu bila hio kitu,pia nina demu nimempa ujauzito miezi miwili na bado.sina kazi.duh hahaha asa ina radha gan mkuu hyo kitu.....
dada poa wapo kibao kuwasaidia vjana ni buku 2 tyyuuuyyu
Nakuapia huwezi kuacha.Nmeacha rasmi punyeto, mungu nisaidie
Feeling guilty rafiki..Na uje Pm nikunyooshe vilivyo.
Yaani akivua nguo tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado hujaacha mpaka uache kuisikia ile sauti inayohamasisha sikioni!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ni mapunziko mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado hujaacha mpaka uache kuisikia ile sauti inayohamasisha sikioni!
Don't feel guilty at all. Sitaki ukae Kae na mawazo while am here. Reach out to me whenever you feel down.Feeling guilty rafiki..
Nisamehe bure 2020 siyo mchezo
Coming sweetheartDon't feel guilty at all. Sitaki ukae Kae na mawazo while am here. Reach out to me whenever you feel down.
2020 sio kwako tu. Inatunyoosha *****.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kichwa kichafu weweCHAPUTA tuna masikitiko makubwa kukupoteza mwanachama hai!