iko hivi

Mosi ,wanawake wengi kwenye ndoa wanapitia halingumu hasa wenye umri huu miaka 45 _kuendelea
Nimekuelewa mkuu, na nimeona zile sababu zina mashiko yawezekana ni kweli waliopo ktk ndoa ni wapiga nyeto sana kuliko wasio ktk ndoa
 
Hizi si takwimu za Musiba hizi?
 
Mkuu kiswahili kinakupa tabu hivi unajuwa maana ya Uraibu.Afu mkuu pisi nnazotafuna ukiziona utahadithia kijijini kwenu
Uraibu ni ulevi (kuathirika) kama ulivyoathirika wewe na ndiyo maana nimekuuliza na ukubwa ulionao mpaka leo bado unapiga punyeto? Kudate wanawake wazuri si issue anybody can do that, tofauti inakuja kwenye shoo au performance ambayo inakusumbua kutokana na kauli yako. Kuna vijana wengine ( I think you fall into this category too) wanapenda kuwa na urafiki na wanawake wazuri ili tu wawe wanapiga punyeto wakiwafikiria. Anyways, pole sana kwa uraibu hue, it's not too late unaweza kubadilika kama ukipata demu wa kweli atakayekusaidia.
 
Ongea taratibu basi sa mbona unantemea mate .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…