Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?

Una mke?

Una demu?

Kama majibu ya hayo maswali mawili ni hapana'' sasa uache mastablesheni ili iweje? Ongeza bidii' kama ulikua unajichua mara moja' saiz piga maratatu!

Kama jibu ni ndio basi unapata wapi mda wa kufanya hivyo?
 
KWANZA acha kuangalia video za x.Ukiacha hilo ndio ushughulikie kuacha punyeto,it will be easier i think.
 
pole sana ndugu....acha kuangalia video na picha za x..fanya mazoezi na usiwe mpweke mara nying jichanganye na watu...zaid sana maombi ni muhimu
 
Naomba nikujuze kama inasimama chin ya nyuzi 90 kutoka mapajan wewe tena ndio basi.
Kama inasimama 90 wewe nii kagoli kamoja tu na utakimbiwa na wanawake waliowahi kuonjeshwa dawa hapo kuoa bikra asiyetaka kuringanisha au kujaribu jaribu.
Kama ina simama 45 juu juu basi nakushauri uache na kama vp tenga pesa na kondom kwa ajili ya machangu si una domo zege?
 
Mpe talaka huyo shetani wa "Mastableshen" maana naona umetawaliwa sana na huyo shetani. Ndiyo nyienyie mafuta ya kujipaka yanaisha wiki mbili au mtu anaingia na Geisha soap bafuni inaisha siku moja. Kikubwa hiyo kitu ina madhara sana. Punguza udomo zege uepukane na hiyo mechi yako
 
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?


Kwanza kabisa hongera kwa bidii uliyokuwa nayo ya kukataa kuacha kujichua kuhofia utakufa usipofanya hivyo. Mshikaji unatisha, yaani mpaka unaombewa na baba mtakatifu/paroko? Ila kama kweli unadhamilia kuachana na huo mchezo, wewe jisomee tu JF au la kunywa chai ya tangawizi na wazo la kujichua likikujia tu basi wewe waza CCM na unyanyasaji wao utapona tu.
 
Mastablesheni ndio nini!!!!!!!!!!!

Rudi tena kwenye maombezi kama yali work out mara ya kwanza

na sasa yanaweza kuwork out pia!!!


Huyu kavunja rekodi ya kujichua tena nafikiri alikuwa anawalamba hata masista pale kanisani akiwa anajichua bafuni.
 
futa hizo picha za ngono m2wang fanya mazoezi na punguza kuwafaza ngono kwa xana kisha kula matunda kwa wingi
 
habarini wanajamvi,eti jamani punyeto inaweza kusababisha utasa kwa mwanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…