habari za uongo hizi.wengi wasingekuwa na watoto haswa wanaotoka ........boys
 
Not true, punyeto ina kusababishia matatizo ya kisaikolojia.Kama pre mature ejaculation,failure to maintain erection, yote hii ni kutokana na hofu unayojijengea wewe mwenyewe.
 
^^
Ikiwa hiyo ni tafsiri ya neno eti,, basi najiweka mahali salama kwa kusema, Lisemwalo lipo, kama halipo lipo njiani linakuja.
Mleta mada punyeto ina madhara makubwa zaidi ya unachohofu, hivyo kaa mbali na moto huo hauotwi!
Cc EDOARDO ndetichia mbiza
^^
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo utasa sio outcome ya kupiga sana masturbation!
 
punyeto ukipiga kwa mwezi mara 2 haina madhara. lakin wewe wa mara 3 kwa siku moja upo hatarini.
Punyeto hata wa kwenye ndoa wanapiga na ingekuwa na madhara waliosoma boys wasingekuwa na watoto
 
Sasa si wangejaa mitaani humu

tuna mashoga wengi mitaani kuliko unavyofikiri, kama ingekuwa si kuona aibu wangejitangza kibao,.halafu si mashoga wote wenye tabia za kishoga, wengi ni maofisa kabisa wanaoheshimika, ukiwakuta wameulamba utasema du brazamen si ndo huyu
 
Mimi cjui itakuwaje kwa sababu tangia nipo darasa la sita hadi sasa hv nipo chuo kikuu mwaka wa tatu napiga punyeto na naipenda sana,hata ikitokea nikampata demu wa kuwa ananipa mara kwa mara bado napiga punyeto nikiwa mwnyewe
 
Not true, punyeto ina kusababishia matatizo ya kisaikolojia.Kama pre mature ejaculation,failure to maintain erection, yote hii ni kutokana na hofu unayojijengea wewe mwenyewe.

nisingeshauri mtu kuendekeza hii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…