izi dawa mngekuwa mnatoa mtu atumie akiwa fiti ndo alipe ingekuwa poa wengi wametumia bila mafanikio yoyote na wameliwa ela nyingi na wametembea sehemu mbalimbali kutafta dawa bila mafanikio nashauri watu waende hospitali wakaonane na washauri wakati mwingine ni matatizo ya saikolojia tu
 
Kumbe shida yako ni kujitangaza kama unauza dawa za nguvu za kiume ,mbona umetumia njia ndefu xana
 
acheni kudanganya watu , ma regendar wa punyeto ndio tuna majibu
wengine mnaongea kuhusu madhara ya punyeto wakat wala hamna experince na mbinu za kutumia hii kitu
punyeto inahitaj mtu mwenye afya zake , sio una afya mbovu.. hata diet ya kubangaiza, unakurupuka na kujichua
ndio maana baada ya mda unaanza kulalama punyeto inaathiri, wakati unajiathiri mwenyewe kwa kubeba vitu vinavyokuzid uwezo kiafya!
 
Labda huko Manyara walikosema wanaume ndio wengi zaidi. Mwanaume hana sababu ya msingi ya kufanya hivyo. Fanya mazoezi ukiona hali inazidi.
 
achana n punyeto ina mdhara makubwa sana ikiwemo uume kusinyaa.fanya sana mazoezi.kula vzr hasa mihogo na vyakula vya kujenga mwili na nguvu. utarudi ktk hali yako ya zamani
 
Mijitu mingine bana inajitutumua kumkashifu mleta mada, kumbe wao ndiyo wa kwanza kumpigia simu na kuomba wauziwe hiyo dawa!
 

Tatizo umetaja hata sehemu zisizohusiana na punyeto unayoijadili. Mtu hawezi kuishiwa nguvu miguuni kwa kupiga punyeto, hakuna uhusiano. Hayo yaliyofuata katika orodha yako pia ni completely unrelated. Ungesema kuwa punyeto ni physical attack to the male organ na inaweza kusababisha michubuko tungekuelewa. Punyeto haitumii tun du laini kama viungo alivyo navyo mwanamke. Ni shambulio la kiganja cha binadamu ambacho hakina hali ya kimaumbile kwa ajili ya kazi hiyo. Mengine yote uliyoyataja ni hekaya za mtu asiyejua madhara halisi.

Ni sawa na mwanamke anapotumia ndizi. Ndiyo maana wazungu wametengeneza mpaka viungo vyenye kufanana na mazingira halisi ya kingono.Kanunue!
 
Mimi ni mvulana mwenye miaka 25, kwa kweli nimeanza kupga punyeto zaidi ya miaka mitano nyuma, inafikia huamua kuacha punyeto lkn haifik hata mwezi narudia, nimejaribu kutumia njia mbali mbal kama mazoez nimeshindwa. Naomba ushauri wa namna gani ya kuondoa hili tatizo?
 
J.A.Y ; Una evil spirit......atakusumbua sana. Utajikuta unakwama katika maisha yako bila kujua tatizo ni nini.

Atakukwamisha kwenye kazi...biashara..masomo etc


Hutapata raha katika maisha yako.


Hata kama utapata raha itakua kwa muda mfupi.


Kila jambo utakalokua unafanya ni lazima utumie nguvu


I mean, hata kama utapigiwa mchongo...au kurahisishiwa maisha na ndugu; bado hutakua na raha.



#Advice : Watch #EmmanuelTv
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wanawake kibao mjini hapa bado unafanya maneno ile kwa mikono a cha hiyo kitu kabisa
 
mkuu, asubuhi huwa unasimamisha kweli mashine yako??

una mpenzi kweli??

dawa ya dushe ni papuchi, sio sabuni kitu kingine!

we utakuwaje na nyege halafu eti dawa yake iwe ni mazoezi?? WIZI MTUPU!

eti mfano mtu ana njaa, umwambie akapige pushapu, haiwezekani kabisa!
 
Mi mwenyewe nilikuwa na hilo tatizo huwa najikeep busy ..nikiweka mawe,x,porn kwe kompyuta au cd..nikiamka lazima nifute kutokana na guilt conscious fanya mazoezi na epuka kukaa peke yako na kupiga sana stori za mapenzi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…