Wewe vipi umeacha?kweli ni tatizo kubwa ambalo watu hujiingiza bila kujua impacts zake, kwanza ile ukishaanza huachi hata kama utazani umeeacha si kweli ila umesimama which means soon utaanza tena, hata kama una mkeo ikitokea amekuacha au amesafiri teyari unapiga nyeto, sio nzuri jamani ushahuri wa bure tusijiendekeze!!!!
Lazima ukutane kimwili na nyani mweusi ndio hali yako itatengemaa
nimecheka mpaka nimesahau la kukushauri haya bhana siku.nyingine!
Ndo maana nikanyimwa Elimu maana hili bichwa ningepewa elimu ingekuwa hatari, nina kichwa kimoja chepesi sana.upo fasta HARUFU
faida ya kwanza...una uwezo wa "kumshughulikia" mwanamke yeyote duniani awe beyonce,malkia elizabeth au hata kongosho wa jf,unavuta hisia unamfanya mambo!lol
Siwezi taja shughuli yanguKweli wewe ni harufu,kwani unafanya shighuli gani maana ulivyotupia misifa
Usihofu kijana ilikua ni kwa nia njema just talking nothing seriousSiwezi taja shughuli yangu
Wewe unataka nivamiwe na majambazi, ila usijali mimi mkulima