Putin: Acheni kunywa Coca Cola, ni kemikali tupu, ni sumu

Putin: Acheni kunywa Coca Cola, ni kemikali tupu, ni sumu

Sumu tunaila kwenye vitu vingi sana saivi. Yani kama tukisema tuache kula vitu vyenye sumu, hatutakula kila kitu cha dukani
Kwahiyo tulage tu hata vitu ambavyo tunao uwezo wa kuviepuka?
Usipokunywa soda,utakufa?
Mi nakusihi uepuke vile unavyoona unaweza kuepuka,mfano chumvi chache,kutokunywa soda,na vinywaji vingine vya viwandani.Magonjwa ya figo na mengine mengi,yametamalaki sana,pitia hospitali kubwakubwa ujionee.Usijikatie tamaa,kua kufa utakufa,mimi mwenyewe siogopi kufa,lakini kwa magonjwa yapi.. ndo najitahidi kuyakwepa,ikitokea ito kenzo tu,lakini siyo kwa kujitakia.
 
Bora chumvi au bora sumu?
Maji yenye chumvi nyingi kama yale ya Dodoma,inatakiwa yachemshwe kwanza,ndiyo yatumiwe,lasivyo ile chumvi huenda kuweka mawe kwenye sijui ini,hivyo mtumiaji hulazimika kutibiwa kwa kufanyiwa surgery.Ila bora unywe hayo ya kuchemsha kuliko sumu za kujitakia.
 
Kwa hiyo masheikh wanataka kutuambia kwamba na wenyewe wataanza rasmi kunywa "vodka" kwa sababu Putin amewaambia coca cola ndio ina sumu.
Kwa sababu wanamuamini Shekhe Putin watakunywa zile Vladimir Vodka zenye 43% Alcohol
 
Fikiri nje ya box kwanini amesema hivyo.
Kasema kwa kukurupuka tuuuu. Putin sio mwanasayansi, Hana chochote kwy sayansi. Yeye kasomea Sheria lakini ni mvunjaji wa Sheria. Yeye na sayansi wapi na wapi, ameongea kama mwana siasa asiyejua sayansi
 
duh Na Coca cola wanaathirikaj wengine
Utawapa shida wengine kukuuguza kwa magonjwa ya figo na ini. Kibaya zaidi ni pale hela zako ni tia maji (hauna uhuru wa kifedha).
 
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.

Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.

Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
Mountain dew Na 7 up zishapigwa marufuku marekani toka 70s
 
Kasema kwa kukurupuka tuuuu. Putin sio mwanasayansi, Hana chochote kwy sayansi. Yeye kasomea Sheria lakini ni mvunjaji wa Sheria. Yeye na sayansi wapi na wapi, ameongea kama mwana siasa asiyejua sayansi
Hata kama si mwanasayansi lakini si ana watalaam wanasayansi ambao waweza kumpa taarifa za kisayansi?

Ndo maana ya kufikiri nje ya boksi.
 
Mtasubiri sana, mtasubiri sana mtasubiri sana mtasubiri ooooh. Na viti mkae
 
Thibitisha wazungu walijua hivyo
Wazungu walipotangaza kuwekea vikwazo gas na Mafuta kutoka Russia walijua Russia ni kama Congo ya kinshasa sasa hivi wamemtuma Kijakazi wao Saudia anunue Gas hiyo ya Russia ili wainunue tena kwa black market
 
Back
Top Bottom