Driver proffesional
JF-Expert Member
- Feb 18, 2022
- 372
- 1,042
Mleta mada umebanwa naona unakorofuka kama una mimba changa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama akili yako inafanya kazi sawa sawa na haina mihemuko utagundua kuwa niliye m-quote ameandika kuhusu PK na kaleta hoja bila mihemuko km huyo mwingine soma kwa makini acha kukurupuka.Hahahahaaa,kuna sehemu thread imemtaja PK au DRC?Ulipogusiwa kuhusu Israel,ukaja juu kuwa ni nje ya mada uliyoweka!Nadhani mlengo wako umeshajulikana!
Nimebanwa wapi?? Na kukorofuka ni nini kiongozi?Mleta mada umebanwa naona unakorofuka kama una mimba changa.
Ina maana Putin anaweza kuichakaza Ulaya nzimaTrump kasema Putin katumia asilimia 20 ya nguvu zake
Hao si unawajua? Pitia post zao na kuwapitezeaNionyeshe source aliyosema atashika Ukraine within 48 hours
Nionyeshe source aliyosema atashika Ukraine within 48 hours
Habari yenyewe inasema inafikiriwa kuwa Putin alidhani,hahahaaa!Kwa sababu wewe inaonekana ni kilaza basi soma hata hiyo ili uwe unaandika vitu vya maana.![]()
Putin's plan to conquer Ukraine in 48 hours in tatters leaving him 'humiliated'
Vladimir Putin was confident that Ukraine would surrender within two days of the invasion but his forces have instead faced intense resistance and a united EUwww.mirror.co.uk
Hivi hizi IQ za bata mnazitoleaga wapi? Kwenye hiyo umeisoma vizuri na yote na ni kipi hapo kwenye hiyo taarifa hukielewi ili ku-clarify matakwa ya Putin? Na hata tukikutelea quote ya Putin kutamka hayo maneno utakataa utasema ni propaganda za Europe. Kichwa ni kigumu 😷Habari yenyewe inasema inafikiriwa kuwa Putin alidhani,hahahaaa!
Kwahiyo waliamuangalia Putin wakihisi hivyo na wala hawakuwahi kumsikia akitamka hayo popote pale!Ndio maana wengine wanasema 24hrs,wengine 72 hrs na wengine wiki mbili!Sasa tushike lipi?
Tumeomba ushahidi kwa miaka 3 na hakuna aliyeweza kuja na ushahidi huo!
Lete hiyo quote na si habari ya "Putin thought"!Hivi hizi IQ za bata mnazitoleaga wapi? Kwenye hiyo umeisoma vizuri na yote na ni kipi hapo kwenye hiyo taarifa hukielewi ili ku-clarify matakwa ya Putin? Na hata tukikutelea quote ya Putin kutamka hayo maneno utakataa utasema ni propaganda za Europe. Kichwa ni kigumu 😷
Zingatia andiko langu lilopita.Lete hiyo quote na si habari ya "Putin thought"!
Watu siku hizi mna vipaji vya kujua mawazo ya mtu mwingine,hahaha
Viongozi hao majabali walitoa kauli hizo wakiwa wanajiamini sana. Lakini pia najiuliza kauli hizo walizitoa kwa back up ya intelijensia zao au kwa minajili ya umaarufu tu wa kisiasa?
Je tunapaswa kuendelea kuwaamini na kauli zao nyingine katika kutafuta amani huko Ulaya na viunga vya Gaza?
Trumpism and Putinism theories will take over the world??
Nimesha kushauri ukae kimya kuficha ujinga wako naona uelewi ona sasa ulicho leta hata Kingereza uelewi ,unaletq habari za mawazo ya waandishi na sio statements ya putin nacho taka ni ulete statement ya Putin au ya russia officials maana toka mwaka 2022 hamleti mna baki kubwaja bwaja.Kwa sababu wewe inaonekana ni kilaza basi soma hata hiyo ili uwe unaandika vitu vya maana.![]()
Putin's plan to conquer Ukraine in 48 hours in tatters leaving him 'humiliated'
Vladimir Putin was confident that Ukraine would surrender within two days of the invasion but his forces have instead faced intense resistance and a united EUwww.mirror.co.uk
Sitaki kurudia tena maelezo yangu yanajitosheleza km hukuyaelewa ya nini niendelee kukuelimisha mambo makubwa wakati yale madogo tu umeshindwa kuyang'amua laiti akili yako ingekuwa ni kubwa ningefanya ulivyotaka tatizo siwezi kufanya hivyo coz akili zetu zimepishana mbali km hilo andiko unasema ni maoni ya waandisha ukiliza wako uko below zero 🤭🤭Nimesha kushauri ukae kimya kuficha ujinga wako naona uelewi ona sasa ulicho leta hata Kingereza uelewi ,unaletq habari za mawazo ya waandishi na sio statements ya putin nacho taka ni ulete statement ya Putin au ya russia officials maana toka mwaka 2022 hamleti mna baki kubwaja bwaja.
Sababu ni sio Putin wala russia officials walio wahi kusema watashinda within 24hr,48hrs wala 72hrs zaidi ya operation
Km-kamaSitaki kurudia tena maelezo yangu yanajitosheleza km hukuyaelewa ya nini niendelee kukuelimisha mambo makubwa wakati yale madogo tu umeshindwa kuyang'amua laiti akili yako ingekuwa ni kubwa ningefanya ulivyotaka tatizo siwezi kufanya hivyo coz akili zetu zimepishana mbali km hilo andiko unasema ni maoni ya waandisha ukiliza wako uko below zero 🤭🤭
Tubaki kwenye hoja bado tunapima uelewa wako na hoja zako. Hivyo vingine sio vya msingi snKm-kama
Coz-becouse
Nimesikitika kuona nasumbuana na teenager nenda Facebook bwana mdogo na ujifunze kuandika
Mtoa madaa baada ya kutoka kitambaa cheupe jana umeleta uzi kutoka facebook.
Lini Putin alitoa ayo matamko??
Nionyeshe source aliyosema atashika Ukraine within 48 hours