Putin aliahidi kuikamata Ukraine ndani ya saa 48 na Trump aliahidi kumaliza vita hiyo ndani ya saa 24. What went wrong?

Putin aliahidi kuikamata Ukraine ndani ya saa 48 na Trump aliahidi kumaliza vita hiyo ndani ya saa 24. What went wrong?

(Putin ally) mkuu una elewa maana ya ally ? hamna pahala putin alisha wahi kusema ayo maneno toka 2022 hamjaweza kuleta clear source hizi source mnazo leta sio za putin wala hazi mquote putin ni mawazo binafsi kwa nini hamtaki kukubali
 
(Putin ally) mkuu una elewa maana ya ally ? hamna pahala putin alisha wahi kusema ayo maneno toka 2022 hamjaweza kuleta clear source hizi source mnazo leta sio za putin wala hazi mquote putin ni mawazo binafsi kwa nini hamtaki kukubali
Kwa uwezo wa akili yako mimi siwezi kukulaumu hata darasani kuna wanafunzi ambao ni slow leaners na fast leaners.

Kwenye ulimwengu wa kijasusi hakuhitajiki akili za Buza ni pure and highly thinking brains hata huyo Putin ni Spy mbobezi, ushauri tu tafuta kitabu kinaitwa Secret Agent soma neno kwa neno ukikielewa rudi hapa, no wonder unapata shida kuelewa hiyo makala.

Otherwise soma hizo wuotes hapo chini labda zitakusadia.
 

Attachments

  • 20250224_082202.jpg
    20250224_082202.jpg
    35.6 KB · Views: 1
  • 20250224_082247.jpg
    20250224_082247.jpg
    27.5 KB · Views: 2
Kwa uwezo wa akili yako mimi siwezi kukulaumu hata darasani kuna wanafunzi ambao ni slow leaners na fast leaners.

Kwenye ulimwengu wa kijasusi hakuhitajiki akili za Buza ni pure and highly thinking brains hata huyo Putin ni Spy mbobezi, ushauri tu tafuta kitabu kinaitwa Secret Agent soma neno kwa neno ukikielewa rudi no wonder unapata shida kuelewa hiyo makala.

Otherwise soma hizo wuotes hapo chini labda zitakusadia.
Kwa uwezo wa akili yako mimi siwezi kukulaumu hata darasani kuna wanafunzi ambao ni slow leaners na fast leaners.

Kwenye ulimwengu wa kijasusi hakuhitajiki akili za Buza ni pure and highly thinking brains hata huyo Putin ni Spy mbobezi, ushauri tu tafuta kitabu kinaitwa Secret Agent soma neno kwa neno ukikielewa rudi no wonder unapata shida kuelewa hiyo makala.

Otherwise soma hizo wuotes hapo chini labda zitakusadia.
Hata robot lenu lina shangaa , don't use quotes to support your stupidity unacho takiwa ni kukiri umekosea
 

Attachments

  • Screenshot_20250224_083423_Chrome.jpg
    Screenshot_20250224_083423_Chrome.jpg
    215.8 KB · Views: 2
Hata robot lenu lina shangaa , don't use quotes to support your stupidity unacho takiwa ni kukiri umekosea
Son read between the lines and read recommended book mbona una kichwa kigumu 🤔
 
Son read between the lines and read recommended book mbona una kichwa kigumu 🤔
😅unaanza kubadilika mkuu mwanzo ulisimamia kwamba Russia(putin) walisema wata maliza operation within 48 hours kitu ambacho mwenye akili timamu hawezi fikiria ukaleta na source zako za mchongo.

Saiv una nishawishi niwaze kwa akili ya kijasusi kwamba nijiongeze kama mlivyo ongezwa na propaganda za West 🙌 na log out tapitia kitabu kuongeza kitu ila sio kubadili ukwel
 
😅unaanza kubadilika mkuu mwanzo ulisimamia kwamba Russia(putin) walisema wata maliza operation within 48 hours kitu ambacho mwenye akili timamu hawezi fikiria ukaleta na source zako za mchongo.

Saiv una nishawishi niwaze kwa akili ya kijasusi kwamba nijiongeze kama mlivyo ongezwa na propaganda za West 🙌 na log out tapitia kitabu kuongeza kitu ila sio kubadili ukwel
Usijikite kwenye post moja na kufanya conclusion soma na majibu yangu nyuma kwa mtiririko sahihi ujue kwanini tumefikia hapa. Kwa jinsi unavyohoji mambo lazima tukurudishe darasani ili hata ukipewa unachotaka usije tena kuruka.

Watu wa aina yenu lazima mtu aende na nyie kwa njia hii. Mtu anaetaka mavuno bora kabla ya kulima lazima umfundishe namna ya kusafisha shamba ili apate anachotaka bila kutoa kisingizio hata akikosa
 
Back
Top Bottom