sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
- #21
Umeonesha kwamba umepitwa na mengi, any way wacha nikujuze tu kwamba, Ripoti ya Mueller (Mueller Report) baada ya uchunguzi ilifikia conclusion kwamba Urusi hakuhusika kwa namna yoyote kumsaidia Trump katika uchaguzi wa 2016 kama ilivyozuswha, kumbuka hapa waliochunguza walikuwamo chama pinzani ambao walikuwa wanamchukia Trump.Yani kusema sijui chochote hiyo ni hitimisho la ubongo wako haifanyi ni sijue chochote..
Huwa siangalii channel za wazayuni(zion) mpendwa!!!
Propagand ni somo pendwa kwangu.
Ipitie vizuri Russia uipe heshima yake...
Kwa sasa ripoti ya Durham (Durham Report) imejikita kwenye kuchumguza alieanzisha huo uzushi wa Trump kusaidiwa na Russia, Ripoti imeonesha wazi kwamba mama Clinton alilipa pesa ndefu majasusi na hackers ili kuingilia mifumo ya mawasiliano ya tehama ikulu white house ili kupandikiza data ya kubambikiza connection kati ya Trump na Russia. Kwa lugha nyepesi Clinton alihusika kutengeneza hio skendo ya Russia na kuipush kwenye media.
Nakuonea huruma tu vyanzo vyako vya habari ni very far left, huwa hawaripoti habari ambazo zinawakosoa kwa kile walichoaminisha watu hapo zamani.