NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Siwezi kusema Putin alimuogopa Trump lakini ni wazi alimpa heshima yake kwa kutojaribu kufurukuta kama alivyozoea.
Putin aliitwanga Georgia kipindi cha Bush, aliichukua Crimea kipindi cha Obama, Ahakufanya vurugu kwa Trump, kaivamia Ukraine kipindi cha Biden.
katika historia nzima ya marekani ni kipindi cha Trump jeshi lilikuwa bora zaidi na liligharamiwa sana kufanikisha peace through strength.
magaidi watukutu wa ISIS waliovuma sana kipindi cha obama walisambatishwa bila huruma wala kulemba ndani ya mwaka moja tu Trump akiwa madarakani.
uchumi wa marekani ulifufuliwa ukawa juu sana, mfano mdogo tatizo la kukosa ajira lilipungua kwa viwango vilivyovunja rekodi kwa wamarekani weusi, walatino, wa asia, mavererani, wenye ulemavu na wenye elimu ya chini.. haya yalikuwa ni matamanio hata kwa Putin.
jenerali Solemni wa Iran alikuwa akiongea sana akidhani Trump ni kama wengine, Alijibiwa kwa vitendo na kilichomkuta ni history.
Trump aliweza kwenda hadi kwa kiduku Kim jong un wa Korea Kaskazini katika makubaliano endelevu, makubaliano yalileta ahueni na hili ni jambo la kihistoria, kwa sasa kiduku kashaanza vituo cyake chini ya Biden.
Mataifa ya Nato ya ulaya yalikuwa yanachangia kidogo kwenye bdget ya ulinzi lakini Trump aliwapa makavu kuwachana live waanze kuchangia fair share yao, na kweli ikawa hivyo mataifa ya ulaya yaliongeza michango yao.
Ni mengi sana aliyafanya Trump kuiheshimisha Marekani lakini ni kazi sana kuvisikia kwasababu mambo ya Marekani watu wengi walio nje hutegemea vyombo vya habari maarufu kama Cnn ambao wapo left wing kusapoti itikadi za chama pinzani cha Democrats, Ndio waliopika na kutrendisha kwamba Russia walidukua matokeo kumweka Trump kwa lengo la kumchafua, uchunguzi ulifanyika kwa bilioni 70 chini na kubaini hakuna ushahidi lakini vyombo hivvo mpaka leo wamepiga kimya.
Putin aliitwanga Georgia kipindi cha Bush, aliichukua Crimea kipindi cha Obama, Ahakufanya vurugu kwa Trump, kaivamia Ukraine kipindi cha Biden.
katika historia nzima ya marekani ni kipindi cha Trump jeshi lilikuwa bora zaidi na liligharamiwa sana kufanikisha peace through strength.
magaidi watukutu wa ISIS waliovuma sana kipindi cha obama walisambatishwa bila huruma wala kulemba ndani ya mwaka moja tu Trump akiwa madarakani.
uchumi wa marekani ulifufuliwa ukawa juu sana, mfano mdogo tatizo la kukosa ajira lilipungua kwa viwango vilivyovunja rekodi kwa wamarekani weusi, walatino, wa asia, mavererani, wenye ulemavu na wenye elimu ya chini.. haya yalikuwa ni matamanio hata kwa Putin.
jenerali Solemni wa Iran alikuwa akiongea sana akidhani Trump ni kama wengine, Alijibiwa kwa vitendo na kilichomkuta ni history.
Trump aliweza kwenda hadi kwa kiduku Kim jong un wa Korea Kaskazini katika makubaliano endelevu, makubaliano yalileta ahueni na hili ni jambo la kihistoria, kwa sasa kiduku kashaanza vituo cyake chini ya Biden.
Mataifa ya Nato ya ulaya yalikuwa yanachangia kidogo kwenye bdget ya ulinzi lakini Trump aliwapa makavu kuwachana live waanze kuchangia fair share yao, na kweli ikawa hivyo mataifa ya ulaya yaliongeza michango yao.
Ni mengi sana aliyafanya Trump kuiheshimisha Marekani lakini ni kazi sana kuvisikia kwasababu mambo ya Marekani watu wengi walio nje hutegemea vyombo vya habari maarufu kama Cnn ambao wapo left wing kusapoti itikadi za chama pinzani cha Democrats, Ndio waliopika na kutrendisha kwamba Russia walidukua matokeo kumweka Trump kwa lengo la kumchafua, uchunguzi ulifanyika kwa bilioni 70 chini na kubaini hakuna ushahidi lakini vyombo hivvo mpaka leo wamepiga kimya.