Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Vita hivi vinapiganwa kihuruma na kidugu.

Ingekuwa miaka ile dunia ni kama shamba LA bibi . Putin anaangusha mabomu 2000000hapo Finland alafu Ukraine analambwa nuclear sita kwisha habari.


FSB wote Ulaya na US wanajitwika Nuclear kma kwenye series ya 24 wale magaidi. Mchezo kwisha.


Anajitapa hivyo maana anajua atapigwa kidogo kidogo, na kabla hajamaliza watakuja NATO wambackup
 
Watumishi wa NGOs za kuhamasisha ush... Wanaofadhiliwa na wamagharibi mna tabu kweli. Msipotetea upuuzi na wapuuzi mnanyimwa ufadhili

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Nonsense!..anyway upeo wako ndo umeishia hapo
 
Amepigwa na bado yupo Ukraine na sio Urusi?.hii kweli kali
Taifa kubwa kama Urusi kutangaza masaa 72 kuichukua Ukraine ikashindwa na kashindwa iondoa serikali ya Kyiv kama alivyojitapa

Imepoteza Mageneral 7 katika kipindi Cha mwezi mmoja tu

Sasa hivi kakubali mazungumzo ya amani wakati mwanzoni alikua anakwepa

Kifupi KAPIGWA. mbona Marekani alikaa Vietnam na Bado alikuwa kapigwa mpaka mwishoni wakaona vita inaleta hasara akabeba virago akasepa

Ndio kimempata Urusi
 
Usichokijua kutokana na kushindwa huko kwa Russia miaka ile, ili warusi kuondoka ulitengenezwa mkataba ambao Finland iliachia 10 percent. Ardhi hii Ni sehemu ya Russian Federation. Hiyo huitwa Keralia.
Rudi class shee
 
Hivi masaa 72 alitangaza Nani?
tokA lini general akaingia vitani?
 
taifa kubwa kama US halikuweza kufanya hivyo kwa LIBYA nchi dhaifu
UKRAINE imebakia vifusi endeleeni kushinda kwenye MEDIA
 
Tuwekee hapa source inayoonyesha Putin alisema watachuikua Ukraine kwa masaa 3.

Ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na useme kwa sauti Mara 3 huku ukijipiga piga kifua ukisema 'hakika Mimi nilipewa fuvu kwa ajili ya kushikilia meno tu'.
 
Russia maandazi kabisa....watu walikuwa wanaogopa Bure kumbe urojo kabisa.... Ukraine tu Russia hajakubwa imetokea hivyo hovyo [emoji1787][emoji1787]
 
Wale waRussia wa kibaha Kwa mfipa Kwa Mathias...na ruvu darajani link inawahusu hii[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Hao NATO pamoja na baba yao US na mama yao England wamenyooshwa na Putin.
Hawajathubutu kuingia kwenye mipaka ya Ukraine licha ya Ukraine kulawitiwa mchana kweupe na Mrusi.
Libya kuna NATO?
Vipi NATO haikutia mguu ndani ya Libya?
If yes, mbona hawajatia mguu Ukraine?
 
Sasa Finland kama ni wababe kama unavyotaka kutuaminisha kuna haja gani ya kujiunga NATO si asimame yeye kama yeye au.
mbona Urus hakuvamiwa NATO aliyosaini nayo mikataba ya kutojitanua ila kaenda kuvamia Ukraine
 
Nasikia Putin akiamua kutoa kikosi chake cha makomando wanaweza kuiteka mpaka Ujerumani[emoji205]
kipind hicho makomando wa ujerumani wanaokota maembe bolibo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…