Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

ww ni kipengelee , kaandika masaa 72 ila ww umeandika masaa 3, ttzo lilianzia hapo
 
Finland anapigwa mimba na Urusi asubuhi na inaingia yote, Finland si nchi hata kidogo ya kuwa na ubavu kwa Russia.
 
Mambo mengine utadhani anaandiks mtoto wa darasa la 4,hivi kwa akili ya kawaida kabisa ukiacha ushabiki.
Nchi za NATO zote zinaiogopa Urusi,halafu anakuja MTU anakwambia Nchi Fulani tu Finland ndio Urusi anaiogopa.Yani Urusi asiohope USA aje aigope Finland hizi ni akili au matope???
 
Finland anapigwa mimba na Urusi asubuhi na inaingia yote, Finland si nchi hata kidogo ya kuwa na ubavu kwa Russia.
Haya yote kayataka Russia mwenyewe kachokoza ugomvi na mtoto mdogo(Ukraine)matokeo yake mtoto kamtoa nundu🤣....Kila mtu ameona udhaifu wa mkubwa kwenye ugomvi na haya ndo matokeo yake Kila mtu anaomba sparing🥊🥊na yeye atest bahati yake🤣🤣
 
Umelipwa shilingi ngapi kueneza propaganda?
Thread sijui ya 10 hii.

Alafu ile thread mama ya huu mgogoro haitaki. Anaikimbia maana kule ukija na habari za kugushi na uchambuzi uchwara unapigwa na 'facts' unatulia.

Kaona aanzishe thread independent kila baada ya dk 5.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Unaota
 
Kwa jinsi tu ulivyoandika hapo..jerumani..hajiimalishe! Yatosha kutambua kwamba huna uelewa wowote katika chochote! Urudi tu porini ukaokote matunda kama wenzio kule hifadhi ya gombe.
Nikategemea uonyeshe utofauti wa 'uelewa' wako vs unayemkosoa.Kumbe unaishia kuleta maneno matupu.
 
ibaki tu wazi Russia katandikwa Shinda diplomasia kwa influence lakini sio intimidating jirani zako kisa una Nukes

Amepigwa imeisha hiyo
Na huu ndiyo ukweli,Pro Russia hawaamini kilichotokea Ukraine
 
taifa kubwa kama US halikuweza kufanya hivyo kwa LIBYA nchi dhaifu
UKRAINE imebakia vifusi endeleeni kushinda kwenye MEDIA
Huo ndiyo ushindi mnaojivunia,vifusi.Lakini Putin lengo lake kuu limefail vibaya sana
 
[emoji16][emoji16] yaani mtu aliyepigwa na bado ameimega ardhi ya Ukraine kwa 40% yaani hio ardhi ilishakua Ni Mali ya warussi forever.

Hakika Ukraine inashinda Vita.
Maneno matupu,mtu mzima kalambishwa mchanga na Zelensky,mengine ruksa kujifariji hasa hapa JF
 
NATO wanajiongeza kutoukuza mgogoro
 

Endeleeni tu kuwanyenyekea wamarekani na washirika wake, mafuta yashapanda bei leo babaa,,, this time mtanyooka tu. Walijifanya kumuwekea vikwazo mwanaume, kumbe jamaa anawalia timing tu 😁 sasa wamebaki kulialia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…