Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow

Finland ni wapole sana sidhani kama wanajua vita.
Wapole wakati ndiyo nchi insyoongoza kwa raia wake kuwa na furaha? Ogopa sana nchi ambayo raia wote wako extremely happy with their country, yaani ukianzisha vita nao kila mmoja atashika silaha kutetea nchi yao tena buree
 
Hajiimalishe [emoji3582]
Ajiimarishe [emoji3581]
 
Wapole wakati ndiyo nchi insyoongoza kwa raia wake kuwa na furaha? Ogopa sana nchi ambayo raia wote wako extremely happy with their country, yaani ukianzisha vita nao kila mmoja atashika silaha kutetea nchi yao tena buree

Kuwa serious, Finland na urusi wapi na wapi? Marekani na Nato wangelikua na ubavu wangemsaidia ukrein. Huo ubavu hawana, sembuse kafinland!! Acheni story za vijiweni bwana.
 
putin ni beberu hatari sana!
Hana tofauti na hitler
 
Usichokijua kutokana na kushindwa huko kwa Russia miaka ile, ili warusi kuondoka ulitengenezwa mkataba ambao Finland iliachia 10 percent. Ardhi hii Ni sehemu ya Russian Federation. Hiyo huitwa Keralia.
Rudi class shee
Hiyo ilitokea baada ya kipigo bila kipigo USSR wasingekubali. Alichakazwa vibaya sana.
 
... Na mwaka 1903 pia Urusi ilipigwa vibaya sana na Japan hadi akanyang'anywa vile visiwa vya Kurill Islands. Hawa warusi wana historia ya kupigwa na vinchi vidogo vidogo sana na tuweke macho hata hapa kwa Ukraine atakula kipigo cha kufa mtu,
 
Russia alitakiwa avamie mataifa ya Nato yanayoifadhili Ukraine kwa fedha na silaha, lakini hawezi kuthubutu kwani wanafahamu itasababisha historia ya Russia iandikwe upya.
 
Russia alitakiwa avamie mataifa ya Nato yanayoifadhili Ukraine kwa fedha na silaha, lakini hawezi kuthubutu kwani wanafahamu itasababisha historia ya Russia iandikwe upya.
Na hao NATO walitakiwa wakampige Mrusi nyumbani kwake yaani wakafanye special operation huko ndipo watakapotekenywa na mzee baba Putin
 
Hahaha...yaani pamoja na kujikunja kote huko bado umekosea kuandika!! Ilo ndo mdudu gani??? Unaonekana hata kiswahili hujafunza wewe! Unapaswa kuandika Hilo badala ya ilo!! Nchi hii ni ngumu sana kupiga hatua kimaendeleo mana watu wake hawajui hata basics za lugha yao!
 
Kuwa serious, Finland na urusi wapi na wapi? Marekani na Nato wangelikua na ubavu wangemsaidia ukrein. Huo ubavu hawana, sembuse kafinland!! Acheni story za vijiweni bwana.
sijui huwa wana waza nini apo mwenyewe Ukraine wametoa misaada yote ya silaha bado wana twangwa kweli kweli na sasa hivi ndio kichapo haswa kina tembezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…