Putin asaini amri inayowapa urahisi wananchi wote wa Ukraine kuomba uraia wa Urusi

Putin asaini amri inayowapa urahisi wananchi wote wa Ukraine kuomba uraia wa Urusi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Putin.JPG
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ametia saini amri ya kupanua mchakato wa kupata uraia wa Urusi kwa raia wote wa Ukraine.

Amri hiyo inaamuru kuwa ‘raia wote wa Ukraine’ wapewe haki ya kuomba kuandikishwa kuwa uraia wa Shirikisho la Urusi kwa njia rahisi zaidi.

Awali utaratibu kama huo ulikuwa ukitumika kwa wakazi wa maeneo Donetsk na Luhansk yaliyopo Mashariki mwa Ukraine ambao ni washirika wa karibu na Urusi.

===

Putin signs decree giving all Ukrainians path to Russian citizenship
Russian President Vladimir Putin has signed a decree extending a simplified Russian naturalisation process to all citizens of Ukraine, a document published on the Kremlin’s website shows.

The decree orders that “all citizens of Ukraine” be given “the right to apply for admission to the citizenship of the Russian Federation in a simplified manner”.

Previously, a simplified procedure for acquiring Russian citizenship applied only to residents of the self-proclaimed breakaway territories of the Donetsk People’s Republic (DPR) and Luhansk People’s Republic (LPR) in eastern Ukraine, Russia’s TASS news agency reported.

Source: Aljazeera
 
Back
Top Bottom