green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Upeo wako mdogoKwamba vita imemshinda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upeo wako mdogoKwamba vita imemshinda?
Mjinga pekee ndo atatamani kuwa raia wa Urusi. Hao warusi wenyewe ndoto zao kuishi ulaya na Marekani.Kwamba soon hakutakuwa na taifa linaloitwa Ukraine.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Kimetumika kile kikokotoo cha mtake msitake mitano tena[emoji1787]Mjinga pekee ndo atatamani kuwa raia wa Urusi. Hao warusi wenyewe ndoto zao kuishi ulaya na Marekani.
Urusi ni Africa iliyochangamka.
Mie niweke nambari wani.Team putin tunakutana wapi tupongezane
Belarus ameshasema anaisubiri Poland ijichanganye kwny Hilo Jambo Ione shughuli yake.Poland ndio inazengea zengea kuchukuwa sehemu iliyokuwa
Itabidi mzoee[emoji16][emoji23][emoji16]Mtu anavamia nyumba yako, anawatandika, anaharibu vitu halafu anatoa nafasi kwa mke, watoto, ndugu na wafanyakazi kubadili jina lao la ukoo na kutumia la kwake. Okey ngoja tushuhudie.......
Hiki Ni kichekesho kingine.
Marekani ikitangaza hivi kwamba Raia yeyote wa Urusi anaruhusiwa kujipatia Uraia wa Marekani ndani ya masaa 6 TU,Nakwambia huko Urusi,Putin atabaki peke Yake.
Kuna mtu amesema vita vimemshindq na.mimi nasema vinemshindq kweli mpaka anaomba waukraine wawe raia wa urusi tena duu dunia simama nishukie sirilankq aiseeHii inaashiria siku za mbele hakutokuwa na taifa linaloitwa Ukraine tena... Safi sana mwamba wa dunia
Ni kweli vimemshinda.Kuna mtu amesema vita vimemshindq na.mimi nasema vinemshindq kweli mpaka anaomba waukraine wawe raia wa urusi tena duu dunia simama nishukie sirilankq aisee
Haitatokea hii . Na ikitokea Kati ya watu million 1 was mwanzo laki tano watakuwa mashushushuHiki Ni kichekesho kingine.
Marekani ikitangaza hivi kwamba Raia yeyote wa Urusi anaruhusiwa kujipatia Uraia wa Marekani ndani ya masaa 6 TU,Nakwambia huko Urusi,Putin atabaki peke Yake.
Akili kubwa sana[emoji1][emoji1] hakuna nchi tena itaitwa Ukraine,ukibaki "Ukraine ya zamani" sharti uombe uraia wa Russia.Wale wakimbizi wa Ukraine walioko Huko duniani ndio basi tena.
Ndo unaamka mzee baba.. unajadili matukio ya mwezi AprilMasahabiki wa Urusi mnapenda Sana kujiliwaza .Hivi kweli Kwa akili ya kawaida tu bila ushabiki urusi anawezeje kushinda hii vita? Nendeni kwa facts,Urusi alivoivamia Ukurein aliteka mikoa 14 na waukurein kwa usaidizi wa mataifa ya Ulaya kapambana hadi kaikomboa mikoa 12 na Bado miwili ambayo ni inaitwa Donabos manake Luhansk na Donetsk.Na ndiko vita inaendelea ili waikomboe kabla hawajahamia kuikomboa Crimea.
Pia tukumbuke kwa hali halisi hii vita Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anasaidiwa na mataifa yenye nguvu yakiongozwa na USA na haya mataifa ndiyo nayaongoza Dunia kiuchumi na kiteknolojia .
Ukishawekewa vikwazo vikubwa vya kiuchumi kama alivofanyiwa Rusia lazima uanguke tu.
Nakubli kwamba Ukurein kama nchi imehalibiwa miundombinu yake na Wananchi wake wengi wamekufa lakini hatimae Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anapata usaidizi kutoka westerners na huenda huu ndiyo ukawa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Anaebisha asubili muda utupe majibu.
Kwani na hao magay wa russia wamefura kama wewe [emoji1787][emoji1787]Lwiva kikwetu ni makalio yaliyoiva mpaka yakatepeta … Russia kuna magay mpaka wengine wanajirusha ghorofani kisa wivu wa kimapenzi…mpo kila mahali sio USA tu, mpaka huko kwenu tandale..
Na kuwa raia wa Russia.Kwamba Zelensky anaenda kung'olewa wadhifa