Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Aisee unapata wapi guts zakumuita mwenzio gay?Naona gay umefura hatari[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Familia yako ina shida sana katika malezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee unapata wapi guts zakumuita mwenzio gay?Naona gay umefura hatari[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wangemsumbua akili bora kaibeba yote.Hii inaashiria siku za mbele hakutokuwa na taifa linaloitwa Ukraine tena... Safi sana mwamba wa dunia
Apana, huo ni werevuUjinga
Pia itakuwa funzo kwa viherehere wengineWangemsumbua akili bora kaibeba yote.
kwa nini asishinde kwa siku tano?Dalili nzuri ya ushindi. Ameona anashinda siku chache zijazo
Hiki Ni kichekesho kingine.Rais wa Urusi, Vladimir Putin ametia saini amri ya kupanua mchakato wa kupata uraia wa Urusi kwa raia wote wa Ukraine.
Amri hiyo inaamuru kuwa ‘raia wote wa Ukraine’ wapewe haki ya kuomba kuandikishwa kuwa uraia wa Shirikisho la Urusi kwa njia rahisi zaidi.
Awali utaratibu kama huo ulikuwa ukitumika kwa wakazi wa maeneo Donetsk na Luhansk yaliyopo Mashariki mwa Ukraine ambao ni washirika wa karibu na Urusi.
===
Putin signs decree giving all Ukrainians path to Russian citizenship
Russian President Vladimir Putin has signed a decree extending a simplified Russian naturalisation process to all citizens of Ukraine, a document published on the Kremlin’s website shows.
The decree orders that “all citizens of Ukraine” be given “the right to apply for admission to the citizenship of the Russian Federation in a simplified manner”.
Previously, a simplified procedure for acquiring Russian citizenship applied only to residents of the self-proclaimed breakaway territories of the Donetsk People’s Republic (DPR) and Luhansk People’s Republic (LPR) in eastern Ukraine, Russia’s TASS news agency reported.
Source: Aljazeera
Kama anaweza atangazeHiki Ni kichekesho kingine.
Marekani ikitangaza hivi kwamba Raia yeyote wa Urusi anaruhusiwa kujipatia Uraia wa Marekani ndani ya masaa 6 TU,Nakwambia huko Urusi,Putin atabaki peke Yake.
Poland ndio inazengea zengea kuchukuwa sehemu iliyokuwa[emoji1][emoji1] hakuna nchi tena itaitwa Ukraine,ukibaki "Ukraine ya zamani" sharti uombe uraia wa Russia.Wale wakimbizi wa Ukraine walioko Huko duniani ndio basi tena.
Ukurein tena ....lahaula 🙆Masahabiki wa Urusi mnapenda Sana kujiliwaza .Hivi kweli Kwa akili ya kawaida tu bila ushabiki urusi anawezeje kushinda hii vita? Nendeni kwa facts,Urusi alivoivamia Ukurein aliteka mikoa 14 na waukurein kwa usaidizi wa mataifa ya Ulaya kapambana hadi kaikomboa mikoa 12 na Bado miwili ambayo ni inaitwa Donabos manake Luhansk na Donetsk.Na ndiko vita inaendelea ili waikomboe kabla hawajahamia kuikomboa Crimea.
Pia tukumbuke kwa hali halisi hii vita Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anasaidiwa na mataifa yenye nguvu yakiongozwa na USA na haya mataifa ndiyo nayaongoza Dunia kiuchumi na kiteknolojia .
Ukishawekewa vikwazo vikubwa vya kiuchumi kama alivofanyiwa Rusia lazima uanguke tu.
Nakubli kwamba Ukurein kama nchi imehalibiwa miundbinu yake na Wananchi wake wengi wamekufa lakini hatimae Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anapata usaidizi kutoka westerners na huenda huu ndiyo ukawa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Anaebisha asubili muda utupe majibu.
Anawasaidia wahanga!Kwamba vita imemshinda?
Una ndoto mbaya sana kama zombie.Masahabiki wa Urusi mnapenda Sana kujiliwaza .Hivi kweli Kwa akili ya kawaida tu bila ushabiki urusi anawezeje kushinda hii vita? Nendeni kwa facts,Urusi alivoivamia Ukurein aliteka mikoa 14 na waukurein kwa usaidizi wa mataifa ya Ulaya kapambana hadi kaikomboa mikoa 12 na Bado miwili ambayo ni inaitwa Donabos manake Luhansk na Donetsk.Na ndiko vita inaendelea ili waikomboe kabla hawajahamia kuikomboa Crimea.
Pia tukumbuke kwa hali halisi hii vita Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anasaidiwa na mataifa yenye nguvu yakiongozwa na USA na haya mataifa ndiyo nayaongoza Dunia kiuchumi na kiteknolojia .
Ukishawekewa vikwazo vikubwa vya kiuchumi kama alivofanyiwa Rusia lazima uanguke tu.
Nakubli kwamba Ukurein kama nchi imehalibiwa miundombinu yake na Wananchi wake wengi wamekufa lakini hatimae Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anapata usaidizi kutoka westerners na huenda huu ndiyo ukawa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Anaebisha asubili muda utupe majibu.
Kwahiyo tuwaitaje mbona hata marekani, misikitini na makanisani wanaitwa hivyo au kuna jina jingineAisee unapata wapi guts zakumuita mwenzio gay?
Familia yako ina shida sana katika malezi
Hiki nacho ni kichekeshoHiki Ni kichekesho kingine.
Marekani ikitangaza hivi kwamba Raia yeyote wa Urusi anaruhusiwa kujipatia Uraia wa Marekani ndani ya masaa 6 TU,Nakwambia huko Urusi,Putin atabaki peke Yake.
Mno mnoSafi sana
Lwiva kikwetu ni makalio yaliyoiva mpaka yakatepeta … Russia kuna magay mpaka wengine wanajirusha ghorofani kisa wivu wa kimapenzi…mpo kila mahali sio USA tu, mpaka huko kwenu tandale..Naona gay umefura hatari[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787]