Putin asaini amri inayowapa urahisi wananchi wote wa Ukraine kuomba uraia wa Urusi

Hiki Ni kichekesho kingine.

Marekani ikitangaza hivi kwamba Raia yeyote wa Urusi anaruhusiwa kujipatia Uraia wa Marekani ndani ya masaa 6 TU,Nakwambia huko Urusi,Putin atabaki peke Yake.
 
Masahabiki wa Urusi mnapenda Sana kujiliwaza .Hivi kweli Kwa akili ya kawaida tu bila ushabiki urusi anawezeje kushinda hii vita? Nendeni kwa facts,Urusi alivoivamia Ukurein aliteka mikoa 14 na waukurein kwa usaidizi wa mataifa ya Ulaya kapambana hadi kaikomboa mikoa 12 na Bado miwili ambayo ni inaitwa Donabos manake Luhansk na Donetsk.Na ndiko vita inaendelea ili waikomboe kabla hawajahamia kuikomboa Crimea.
Pia tukumbuke kwa hali halisi hii vita Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anasaidiwa na mataifa yenye nguvu yakiongozwa na USA na haya mataifa ndiyo nayaongoza Dunia kiuchumi na kiteknolojia .
Ukishawekewa vikwazo vikubwa vya kiuchumi kama alivofanyiwa Rusia lazima uanguke tu.

Nakubli kwamba Ukurein kama nchi imehalibiwa miundombinu yake na Wananchi wake wengi wamekufa lakini hatimae Urusi atashindwa kwa Sababu Ukurein anapata usaidizi kutoka westerners na huenda huu ndiyo ukawa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Anaebisha asubili muda utupe majibu.
 
Ukurein tena ....lahaula 🙆
 
Mtu anavamia nyumba yako, anawatandika, anaharibu vitu halafu anatoa nafasi kwa mke, watoto, ndugu na wafanyakazi kubadili jina lao la ukoo na kutumia la kwake. Okey ngoja tushuhudie.......
 
Una ndoto mbaya sana kama zombie.
 
Naona gay umefura hatari[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lwiva kikwetu ni makalio yaliyoiva mpaka yakatepeta … Russia kuna magay mpaka wengine wanajirusha ghorofani kisa wivu wa kimapenzi…mpo kila mahali sio USA tu, mpaka huko kwenu tandale..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…