Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Panic mode activated,futa povu mdomoni.Hii akili hata ng’ombe hawezi kuwa nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panic mode activated,futa povu mdomoni.Hii akili hata ng’ombe hawezi kuwa nayo.
[emoji3][emoji3] Anaijua basi hata Ruble yenyewe sasa,pesa inaishia tu hapo Russia ya kazi gani?Embu tafuta Ruble kanunue mdafu hapo Ukonga tukale.
EU wali-ban import kwa ngano ya Urusi, ngano sio chakula?Anaongelea vikwazo kwa ujumla ila chakula hakija wekewa vikwazo labda ivyo vikwazo vingine kuna namna vina adhiri usambazaji wa chakula ila hakuna kikwazo cha moja kwa moja kwenye chakula
Ni huruma tu nakutokuwa na roho mbaya maana anaona ni ubinafsi kula na kusaza na kukimwaga chakula wakati wasio na hatia wanateseka! Nadhani wanaona ni dhambi pia!Sasa kwanini aanze kulia kuondolewa vikwazo,si atulie ili hao 'wanaoumia na vikwazo' wateseke.Yani huumizwi na vikwazo na hapo hapo unataka vitolewe,vikwazo viko pale pale
Vikwazo alivyowekewa vinaakisi mpaka usafirishaji na malipo yake! Hagawi chakula bure!Hakuna vikwazo kwenye chakula
Sio kwamba analia bali anawaonea huruma mabeberu jinsi wanavyoganga kupata huduma muhimu ikiwemo chakula. God bless Russia, God bless Putin 😎Warusi wa JF wanasema vikwazo havimtishi Putin, sasa kama ni hivyo kwa nini analia lia wamuondolee? Akae na chakula chake ikiwezekana alishe hadi kunguni wa nyumbani kwake,vikwazo viko pale pale.
kwani aliyelalamika njaa Putin au wewe? Tutarudisha stoo sis....Warusi wa JF wanasema vikwazo havimtishi Putin, sasa kama ni hivyo kwa nini analia lia wamuondolee? Akae na chakula chake ikiwezekana alishe hadi kunguni wa nyumbani kwake,vikwazo viko pale pale.
Hiyo sija sikia mkuuEU wali-ban import kwa ngano ya Urusi, ngano sio chakula?
Uwe unauliza kama hujaelewa.Warusi wa JF wanasema vikwazo havimtishi Putin, sasa kama ni hivyo kwa nini analia lia wamuondolee? Akae na chakula chake ikiwezekana alishe hadi kunguni wa nyumbani kwake,vikwazo viko pale pale.
Pole [emoji23][emoji16][emoji3]Warusi wa JF wanasema vikwazo havimtishi Putin, sasa kama ni hivyo kwa nini analia lia wamuondolee? Akae na chakula chake ikiwezekana alishe hadi kunguni wa nyumbani kwake,vikwazo viko pale pale.
@Nyamizi atakua dada angu huyu tuu nasimwengineKuna mwana anafuvu gumu kuelewa
huyu jamaa akili yake iko kinyumenyumeHadi sasa haujajua nani analialia?
Kama zile panya zilizokua zimejificha kule shimoni[emoji35][emoji23][emoji35]Uwe unauliza kama hujaelewa.
Ni hivi hao waweka vikwazo ndio walimpiga Putin si, u wajiomba aachie misosi; nayeye akasema ataachia misosi watakapoondoa vikwazo.
Hakuna Baunsa mbele ya njaa.
Unahakika mbona malalamiko mabeberu Kwa mrusi🚶Hakuna vikwazo kwenye chakula
Hajui kama ruble Dili Sasa ehhEmbu tafuta Ruble tukanunue madafu hapo Ukonga tule.
Analia au dunia ndio inalia umeelewa lakini basi kila mtu akaze uone atakayeumia naniWarusi wa JF wanasema vikwazo havimtishi Putin, sasa kama ni hivyo kwa nini analia lia wamuondolee? Akae na chakula chake ikiwezekana alishe hadi kunguni wa nyumbani kwake,vikwazo viko pale pale.
Mrusi ana taka aondolewe vikwazo vingine ambavyo labda kweli vina husiana na usambazaji na malipo ya chakula ila hakuna kikwazo cha moja kwa moja kwenye chakula.Unahakika mbona malalamiko mabeberu Kwa mrusi🚶
Ukiona hivyo jua vikwazo vimemshika pabaya mrusi
Huyu ndugu naona ubongo hana kabaki na fuvu tu msiba mzito kwa familia yake.Hadi sasa haujajua nani analialia?