Putin atahadharisha ataingamiza NATO kwa WWIII au Nyuklia

Uwapokee mara mbili. Wapo warusi wa kutosha wameingia hapa bongo nyie endeleeni kushangilia simba n yanga. Time haiko upande wetu aisee. Tujiandae. Wewe unaona mwarabu anajitanua Africa sisi bado tumelala. Mchina kajitanua Africa bado tumelala.
Eeeh bwana eeh!!!
Kwahiyo Warusi wameshaanza kukimbia nchi yao!?
 
Hizo ni kelele za Chura hawezi tikisa kiberiti
 
Putin ana akili kuliko wewe na babake mm achana na mm kabisa ,kuwa third world country sio kigezo cha kukosa akili ,labda useme mpaka leo amefanikiwa nini tangu aivamie Ukraine zaidi ya kujaza makaburi na sasa anaomba mamluki wa DPRK na iran hata juzi Naredra modi amemcha kuwa hawezi kufanikiwa hadi anakimbilia kwa kina Tulia Acksoni ,yule ni mjinga kama wewe tu


USSR
 

Attachments

  • IMG-20240712-WA0003.jpg
    72.7 KB · Views: 1
Binadamu wajinga sana kila siku kutaka kupigana , kila mtu abaki kweny nchi yake ndio kupunguza matatizo
Kweli ila haiwezekani kabisa kabisa. Rasilimali na maliasili ndio tatizo. Toka enzi na enzi. Nchi kuvamiana ndio hulka ya binadamu tupore, tunyang'anye ardhi, tubake, tunyanyase na ukatili wa kila aina na usiokuwa na mfano!
Atakayeangamiza dunia ni binadamu!
Binadamu ni mnyama hatari sana kuliko wote!
 
Nafikiri ujinga wako umeonekana kuptia hii coment yako ..!!
 
Rubbish for trashcan 🖕
 
Sawa, wewe kubaini hivyo itasababisha Russia aishi vizuri na majirani zake?
 
Advancing sio kizembe kama kukaanga chips acha ujinga nimekuambia juzi wameshambulia ndani ya urusi wewe unasema maeneo kumbe majadili na kiazi sasa

USSR
Taratibu basi mkongwe!
Mbona povu tena!?
Okay, nijibu maswali yangu vizuri, acha ubinafsi!
Kwahiyo Ukraine wameanza kushambulia ndani ya Urusi lakini bado hawajafanikiwa kurudisha hata heka moja ya eneo lao?
Vipaumbele vyao ni nini hawa Ukraine? Mbona wanatuchanganya!
 
Wewe bila kuingiza topic za mabwana zako wa kiarabu husikii raha kabisa?!
Nenda basi ukaolewe a Sinwar maana naona unamuhusudu sana uyo gaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…