passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Hujitambui atakaye ishambulia urusi ndo itakuwa mwisho wake kuexistAtatumia nini maana haya mavitu kwenye hii picha kama kayapoteza yote, amebakia na manyuklia tu na ambayo yapo yanaliwa timing, siku akithubutu kushambulia kwa nyuklia ndio itakua mwisho wa Urusi......Magharibi hukesha wakimpima na hayo manyuklia yake
Una sh ngapi nimloge aokote makopo?Hakuna wa kumroga putin jaman?
Tutaona na kusikia mengi, Malawi Hawa Hawa??Halafu huyu mrusi si alionywa na malawi asijekuthubutu kufanya huo ujinga?
Sio wakuwapuuza, Putin atakipata cha mtema kuniTutaona na kusikia mengi, Malawi Hawa Hawa??
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nashangaa!!!Mbona yeye anampiga Ukraine, au anataka asirudishiwe?
Eh bhanae! Ukiona mbabe amelia kwa kilugha chake ujue ameshikwa pabaya.Vita ya tatu ya dunia bado sana..
Usiwe mjinga,NATO wamo ukreini siku nyingi,hii dunia banah, yaan wakulima wanapigana na taifa kubwa zaidi ya siku 50 halafu ngoma bado ngumu
Hujitambui atakaye ishambulia urusi ndo itakuwa mwisho wake kuexist
Kwani yeye shida yake ni taifa lililopo NATO?alafu uwezo anao he is strong than All Europe countries.Mwambie ashambulie kataifa kamoja ka NATO kama kweli ana mapumbu....
Fake newzPutin mouthpiece declares World War III started after Russia ship sunk
VLADIMIR Putin's leading propagandist claimed the invasion of Ukraine has now effectively evolved into "World War 3" after Russia's flagship Moskva was sunk in the Black Sea.www.express.co.uk
Kumbe Urusi siku zote hizo walikuwa hawataki kumtowa madarakani?Kuzamishwa kwa hile meli inawezekana ukawa mpango maalum uliofanywa ili kumfanya Putin awe aingie vitan kiujumla na hili nazani ndo hili ndilo litalomtoa comedian madarakan very soon
Kwani yeye shida yake ni taifa lililopo NATO?alafu uwezo anao he is strong than All Europe countries.
Kakalishwa kivipi maiti imetapaka Kiev miji imegeuka magofu.Uwezo upi kalishwa makamasi na kataifa kadogo Ukraine.
Lugha mbovu kabisa hii. Mods tulindieni jukwaa letu.Mwambie ashambulie kataifa kamoja ka NATO kama kweli ana mapumbu....
Mimi hapo ndio ananishangaza kabisa tena sana, eti ukraine akipiga bomu russia, putin analalamika ukraine kanishambulia ntamshambulia zaidi, najiuliza ni ugomvi gani usio na majibizano!!??!!Mbona yeye anampiga Ukraine, au anataka asirudishiwe?
Pole sana, yatapita tuu, kaza moyo, hayanga muongozo...Alipue tu...we don't care anymore...mechoka mimi
Kwamba wengine hawataishambulia au?Hujitambui atakaye ishambulia urusi ndo itakuwa mwisho wake kuexist
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nchi hii vituko haviishi aiseeHuo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.