Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kwa ndumba[emoji23][emoji23]
Kwa mikuki, au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ndumba[emoji23][emoji23]
Kwa mikuki, au?
Tatizo Ni original au vya mchongo?
Mimi ndio kwanzaa naanza maisha wao ndo wanaleta vita.Yaani walivyo mahasidi wataelekeza kwetu hayo mabomu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
Tutamloga...Huo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
Kama hii ilivyofutwa kwenye uso wa DuniaInatakiwa sasa nyuzi kama hizi zifutwe .
Fikra potofu hizo, japo ni mawazo yako!!yaani li ji meli lile alizamishe eti kuhararisha kitu, kwani mangapi ameyafanya bila kuangalia matokeo yake?Kuzamishwa kwa hile meli inawezekana ukawa mpango maalum uliofanywa ili kumfanya Putin awe aingie vitan kiujumla na hili nazani ndo hili ndilo litalomtoa comedian madarakan very soon
Kabisa Mkuu ...Huo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
😂😂Kama hii ilivyofutwa kwenye uso wa DuniaView attachment 2189948
Mkuu,....we don't care anymore...mechoka mimi
Uchumi unanigonga hakuna mfanoMkuu,
Sababu ya kuchoka?!
jmn si urusi imesema meli ilipata hitilafu tu haikushambuliwa sasa hasira yann?
Pesa yako tu.. Nasikia Kigoma na Sumbawanga wanajua kutuma radi !Hakuna wa kumroga putin jaman?
Duh..Atatumia nini maana haya mavitu kwenye hii picha kama kayapoteza yote, amebakia na manyuklia tu na ambayo yapo yanaliwa timing, siku akithubutu kushambulia kwa nyuklia ndio itakua mwisho wa Urusi......Magharibi hukesha wakimpima na hayo manyuklia yake
![]()
Mimi ndio kwanzaa naanza maisha wao ndo wanaleta vita.
Na anga halifungwi anasubiliwa kwenye Kona akatwe mkia na kichwa tuone kiwiliwili chake kazi kitafanyaAtatumia nini maana haya mavitu kwenye hii picha kama kayapoteza yote, amebakia na manyuklia tu na ambayo yapo yanaliwa timing, siku akithubutu kushambulia kwa nyuklia ndio itakua mwisho wa Urusi......Magharibi hukesha wakimpima na hayo manyuklia yake
![]()