Kakalishwa kivipi maiti imetapaka Kiev miji imegeuka magofu.
Russia hawezi hii, kavukavu hata UK anamnyoosha vizuri tu.Wapigane kavu kavu bila NYUKLIA! _!
Tatizo Ni original au vya mchongo?Hii vita sio ya Mrusi tu ni dunia nzima
Kama likitokea la kutokea maana Hakuna aijuae kesho
Mara karusha kombora na kajibiwa na huko Pakistan na India kikanuka hujakaa vizuri Manowari zilizopo Djibouti zikaanza kutandikwa
Naijua vita vizuri sana maana nimeahiriki mbili sehemu
Wengi tunaamini hakuna WW3 lakini hata sasa inafukuta taratibu au tumo kabisa
Nimeangalia mauzo na watu wananunua vifaa vya kujihami na nuclear nyie pigeni miluzi tu ohoooo
Jipatie hii kwa Tsh 2m tu full kila kitu View attachment 2189499
haaaa haaa Ila naweza amini sio kwa show mbovu ya UkraineSio wakuwapuuza, Putin atakipata cha mtema kuni
Sio rahisi kuchanganyikiwa halafu sio yukureni sema nato na iyuuMr. Putin atakuwa amechanganyikiwa baada ya ukraine kumkazia.
Kuzimu ni kubaya sanaAlipue tu...we don't care anymore...mechoka mimi
Una biti hatariHuo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
Urusi si taifa kubwa, Urusi ni Skonzihii dunia banah, yaan wakulima wanapigana na taifa kubwa zaidi ya siku 50 halafu ngoma bado ngumu
Tujiandae kupokea wakimbiziHii vita sio ya Mrusi tu ni dunia nzima
Kama likitokea la kutokea maana Hakuna aijuae kesho
Mara karusha kombora na kajibiwa na huko Pakistan na India kikanuka hujakaa vizuri Manowari zilizopo Djibouti zikaanza kutandikwa
Naijua vita vizuri sana maana nimeahiriki mbili sehemu
Wengi tunaamini hakuna WW3 lakini hata sasa inafukuta taratibu au tumo kabisa
Nimeangalia mauzo na watu wananunua vifaa vya kujihami na nuclear nyie pigeni miluzi tu ohoooo
Jipatie hii kwa Tsh 2m tu full kila kitu View attachment 2189499
Afrika hawana time na lolote wao wanasubiri wapelekeshwe... kwa statement hiyo ya Putin; nilitegemea hadi muda huu wakuu wa AU wawe njiani kuelekea Addis kwenye kikao cha dharura ikiwa ni pamoja na Samia kukatisha ziara yake Marekani kuelekea Addis kujadili na wakuu wenzake. Hili jambo ni zito sana!
Urusi muoga, anatumia nukes kutishia watuWapigane kavu kavu bila NYUKLIA! _!
Ukraine angekuwa na long range weapons lazima angefungua anga la Urusi tuMwambie ashambulie kataifa kamoja ka NATO kama kweli ana mapumbu....
Putin mouthpiece declares World War III started after Russia ship sunk
VLADIMIR Putin's leading propagandist claimed the invasion of Ukraine has now effectively evolved into "World War 3" after Russia's flagship Moskva was sunk in the Black Sea.www.express.co.uk
... japo kukemea tu kwa umoja wao wanashindwa? Very sad!
Hatuendi mstari wa mbeleVita vya dunia vya awamu hii watapigana wenyewe.
Sisi sio watumwa wao
πππ et show mbovu , kama namuona vile babu Putin akishindwa mechi kwa mtoto mzuri .....πππhaaaa haaa Ila naweza amini sio kwa show mbovu ya Ukraine
Afrika hainaga msaada duniani, wao ni wa kusaidiwa tu, hivyo wanaogopa chagua upande... japo kukemea tu kwa umoja wao wanashindwa? Very sad!