kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Putin kachanganyikiwa anunuliwe simu dunia ya Sasa hanasimu yamkononi pengine tungempa taarifa Mana anadanganywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Really?Kwani yeye shida yake ni taifa lililopo NATO?alafu uwezo anao he is strong than All Europe countries.
Kama amechaguq vita ya 3 ya dunia basi Biden alishamuonya kwamba vita hiyo itapigwana Russia kwenye ardhi yao na sio Ukraine, mfikishieni hii habari ndugu Putin![]()
Putin mouthpiece declares World War III started after Russia ship sunk
VLADIMIR Putin's leading propagandist claimed the invasion of Ukraine has now effectively evolved into "World War 3" after Russia's flagship Moskva was sunk in the Black Sea.www.express.co.uk
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Zile mig zetu zinazopitaga siku ya maonyesho tuhakikishe mafuta yapo full tank, tumwadabishe mkuu.
Russia hauwi raia usiwe unameza propaganda bila kuchenjuaKiev imeshindikana, ubabe wa kuua raia na watoto sio dili, angeiteka kabisa Kiev, sasa kageuzwa wanajeshi wake wameuawa kama makondoo....
Alisikika mpuuzi mmoja wa manzese akisemaMpumbavu sana huyu nyau. Amejitegesha tegesha na hayo ma-nuclear yake. Anataka awe anapiga asirudishiwe ni kama mtoto tu. Anatamani sana aandikwe kwenye historia kwa kuonyesha uwezo wa nuclear tu,vita vya kawaida vimemshinda
Hujui simu ndio ilimuuwa Hugo Chavez.....!?Putin kachanganyikiwa anunuliwe simu dunia ya Sasa hanasimu yamkononi pengine tungempa taarifa Mana anadanganywa
Alijibu kenge mmoja mrusi wa mtogoloAlisikika mpuuzi mmoja wa manzese akisema
Wanapigana wao uku sisi Africa tunakufa na njaaa kwa kukosa dawa na chakula. Mfano USA na Wazungu wenzake wakiacha kutoa Chanjo na madawa apa Africa itakua zaidi ya vita ya duniaVita vya dunia vya awamu hii watapigana wenyewe.
Sisi sio watumwa wao
Putin kajinyea Haishi na mke na family kwa kuogopa kuuwawa. Kwa ana msongo wa mawazo sanaPutin kachanganyikiwa anunuliwe simu dunia ya Sasa hanasimu yamkononi pengine tungempa taarifa Mana anadanganywa
Amini usiamini, hakuna tatizo lisilo na suluhisho..Uchumi unanigonga hakuna mfano
Hakika mkuuAmini usiamini, hakuna tatizo lisilo na suluhisho..
Ukiona shida imedumu ujue kuna jambo hujafanya sawa.
Hivyo, take it easy mkuu!
Jidanganye tu vita haina macho kwani Osama alipigaje ndani Marekani yale majengo ya WTc ni mbinu tuKuzamishwa kwa hile meli inawezekana ukawa mpango maalum uliofanywa ili kumfanya Putin awe aingie vitan kiujumla na hili nazani ndo hili ndilo litalomtoa comedian madarakan very soon
Ndio mavitu gani tujuzeAtatumia nini maana haya mavitu kwenye hii picha kama kayapoteza yote, amebakia na manyuklia tu na ambayo yapo yanaliwa timing, siku akithubutu kushambulia kwa nyuklia ndio itakua mwisho wa Urusi......Magharibi hukesha wakimpima na hayo manyuklia yake
![]()
Acheni matisho dunia na wenye akili wanamchekiiiiHujitambui atakaye ishambulia urusi ndo itakuwa mwisho wake kuexist
Wanapigana wao uku sisi Africa tunakufa na njaaa kwa kukosa dawa na chakula. Mfano USA na Wazungu wenzake wakiacha kutoa Chanjo na madawa apa Africa itakua zaidi ya vita ya dunia
Unapiga bit huku unamtegemea marekani ndo akusaidieHuo upumbafu wake aufanyie huko huko asije akajaribu kutugusa huku Africa atajuta.
maisha yenyewe ya tanzania hayana tofauti na vita.Hii vita sio ya Mrusi tu ni dunia nzima
Kama likitokea la kutokea maana Hakuna aijuae kesho
Mara karusha kombora na kajibiwa na huko Pakistan na India kikanuka hujakaa vizuri Manowari zilizopo Djibouti zikaanza kutandikwa
Naijua vita vizuri sana maana nimeahiriki mbili sehemu
Wengi tunaamini hakuna WW3 lakini hata sasa inafukuta taratibu au tumo kabisa
Nimeangalia mauzo na watu wananunua vifaa vya kujihami na nuclear nyie pigeni miluzi tu ohoooo
Jipatie hii kwa Tsh 2m tu full kila kitu View attachment 2189499