Putin atangaza Vita ya 3 ya Dunia baada ya meli yake kuzamishwa

Putin atangaza Vita ya 3 ya Dunia baada ya meli yake kuzamishwa

Kiev imeshindikana, ubabe wa kuua raia na watoto sio dili, angeiteka kabisa Kiev, sasa kageuzwa wanajeshi wake wameuawa kama makondoo....
Russia hauwi raia usiwe unameza propaganda bila kuchenjua
 
Mpumbavu sana huyu nyau. Amejitegesha tegesha na hayo ma-nuclear yake. Anataka awe anapiga asirudishiwe ni kama mtoto tu. Anatamani sana aandikwe kwenye historia kwa kuonyesha uwezo wa nuclear tu,vita vya kawaida vimemshinda
Alisikika mpuuzi mmoja wa manzese akisema
 
Vita vya dunia vya awamu hii watapigana wenyewe.
Sisi sio watumwa wao
Wanapigana wao uku sisi Africa tunakufa na njaaa kwa kukosa dawa na chakula. Mfano USA na Wazungu wenzake wakiacha kutoa Chanjo na madawa apa Africa itakua zaidi ya vita ya dunia
 
Putin kachanganyikiwa anunuliwe simu dunia ya Sasa hanasimu yamkononi pengine tungempa taarifa Mana anadanganywa
Putin kajinyea Haishi na mke na family kwa kuogopa kuuwawa. Kwa ana msongo wa mawazo sana
 
Kuzamishwa kwa hile meli inawezekana ukawa mpango maalum uliofanywa ili kumfanya Putin awe aingie vitan kiujumla na hili nazani ndo hili ndilo litalomtoa comedian madarakan very soon
Jidanganye tu vita haina macho kwani Osama alipigaje ndani Marekani yale majengo ya WTc ni mbinu tu
 
Atatumia nini maana haya mavitu kwenye hii picha kama kayapoteza yote, amebakia na manyuklia tu na ambayo yapo yanaliwa timing, siku akithubutu kushambulia kwa nyuklia ndio itakua mwisho wa Urusi......Magharibi hukesha wakimpima na hayo manyuklia yake

main-qimg-541c7d42abee0333589258a7d84677b2
Ndio mavitu gani tujuze
 
Tuanze kujitegemea Sasa
Tuache dhana bila wao hatuwezi
Wanapigana wao uku sisi Africa tunakufa na njaaa kwa kukosa dawa na chakula. Mfano USA na Wazungu wenzake wakiacha kutoa Chanjo na madawa apa Africa itakua zaidi ya vita ya dunia
 
Hii vita sio ya Mrusi tu ni dunia nzima
Kama likitokea la kutokea maana Hakuna aijuae kesho
Mara karusha kombora na kajibiwa na huko Pakistan na India kikanuka hujakaa vizuri Manowari zilizopo Djibouti zikaanza kutandikwa
Naijua vita vizuri sana maana nimeahiriki mbili sehemu

Wengi tunaamini hakuna WW3 lakini hata sasa inafukuta taratibu au tumo kabisa
Nimeangalia mauzo na watu wananunua vifaa vya kujihami na nuclear nyie pigeni miluzi tu ohoooo
Jipatie hii kwa Tsh 2m tu full kila kitu View attachment 2189499
maisha yenyewe ya tanzania hayana tofauti na vita.
 
Back
Top Bottom