Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Usa alitumia siku mbili afghan pia kawatawala wataliban
 
Kishaminywa kende mwenzako, kumtia umaskini ndio njia muafaka kabisa ya kummaliza adui yako, shambulia mifuko yake kwanza na ndicho anachofanyiwa Putin sasa, hii vita hatoboi soon ataomba poo, mnyamwezi akihisi una criminal au misheni zisizoeleweka anaanza kuvamia account zako na income zako and freeze them kabla hata kesi haijaanza, utakata deal tuu hata kama hujafanya kosa

Marekani mpka jana ameendelea kununua mafuta urusi lita milioni 170, sasa ndio utajua haujui

Russia ina impact kubwa kwenye uchumi wa dunia acheni ushabiki maandazi, kuiwekea vikwazo russia madhara yatakuwa makubwa zaidi kwa uraya magharibi,
 
Marekani mpka jana ameendelea kununua mafuta urusi lita milioni 170, sasa ndio utajua haujui

Russia ina impact kubwa kwenye uchumi wa dunia acheni ushabiki maandazi, kuiwekea vikwazo russia madhara yatakuwa makubwa zaidi kwa uraya magharibi,
Yani ulipoandika 'uraya' ndio imenifanya nisiamini taarifa yako
 
kama huna uwezo, ukiwa nao kumpangia mtu ni raha sana
Ukimkubalia hili siku nne mbele atakuambia naingia vitani niletee wanajeshi wako waje kupigania nchi yangu. Maana nzima ya sovereignty inakua haipo.
 
Rais Putin wa Russia kaeleza masharti yake juu ya kuimaliza vita yake inayoendelea na Ukraine wakati alipozungumza kwa simu jana na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron. Mazungumzo hayo ya simu yalifanyika baada ya kikao cha mazungumzo ya amani kilichofanyika kati ya wajumbe wa Ukraine na Russia.

Putin kasisitiza kuwa amani nchini Ukraine itarejea tu kama madai ya msingi ya usalama wa Russia yatazingatiwa pasi na masharti yoyote, ikiwemo kutambua jimbo Crimea kama sehemu ya Russia, kuondoa silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine, kuondoa waNazi ktk Ukraine, na kutoa hakikisho kuwa Ukraine haitojiunga na NATO.

======

Russian President, Vladimir Putin has laid out his conditions for stopping the ongoing war with Ukraine.

Russian forces have shelled Ukraine’s second city and Western nations are preparing even more sanctions.

A peace talk was held between Moscow and Kyiv in the Belarusian borders on Monday, being the first meeting since last Thursday when the war broke out.

The meeting ended with both sides merely agreeing to hold a second round of negotiations “soon”.

However, the Russian leader was able to pass the message on the only conditions under which he would consider withdrawing his troops from the neighbouring country during a phone conversation with France President, Emmanuel Macron on Monday.

“Putin stressed that a settlement is possible only if Russia’s legitimate security interests are unconditionally taken into account, including the recognition of Russian sovereignty over Crimea, the demilitarisation and denazification of the Ukrainian State and ensuring its neutral status,” CNN quoted a Russian statement via UK medium, PA News agency after the telephone conversation between the two leaders.

The war started on Thursday when President Putin ordered the invasion of Ukraine over some political reasons.

Even as the dialogue was underway on Monday, at least 11 people were killed by Russian attacks in Ukraine’s second largest city of Kharkiv.

Source: Russian President, Putin gives conditions to end war with Ukraine
Russia is in clear breach of its international obligations. Its actions are blatantly against the rules and principles on which the United Nations was founded. All members of the United Nations should condemn that conduct unequivocally.
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
tulieni msumari uwaingie vzr ,mercinaries wenu mliowaleta tumewafyeka wote na tunaendeleza kipigo mpk mnye ....ni lazima mkubwa na mdogo ajulikane
 
Mimi swali ninalojiuloiza kuwa akishalishinda jeshi la Ukraine itakuwaje? maana ndio kazi nzito iliyopo hapo
Itabidi aweke serikali itakayotii matakwa yake na kuijenga UKRAINE? maana hii task ni ngumu sana kuliko kushinda vita, hasa ukiweka vikwazo na resistance waliyompa Ukraine
Putin mwenyewe ataijenga UKRAINE kwa kutumia viongozi watakaowekwa hapo madarakani nchini Ukraine.

Putin ni mzoefu kurekebisha hali ya nchi, aliikuta Russia ikiwa na hali mbaya kiuchumi na mambo mengine mengi na ameweza kurekebisha mambo mengi hadi sasa nchi imesimama, japo hii vita itamrudisha nyuma kidogo
 
Tofautisha EU na NATO ni vitu tofauti kabisa unaeza ukajiunga EU ila usiruhusiwe kajiunga NATO. muulize uturuki anamiaka mingapi hadi Leo amekataliwa kujiunga EU ndo itakua huyo Ukraine.

Kwanza France and German wameshakataa Ukraine isijuinge EU. Wamesema itamchukua at least 7 years za reform ndo afikiriwe kujiunga EU

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Haijalishi sana kuchelewa kujiunga au kukataliwa kabisa lakini lazima ukubali kwamba EU wamepeleka mizigo kule ukraine ya kupambana na adui russia
 
Soma historia .ussr- walichukua Yogoslavia mwaka 1968 chini ya masaa 24 .Putin na jeshi lake wamaonyesha udhaifu mkubwA.
Aisee, yaani mtu afananisha USSR (muungano wa mataifa/nchi 15 ikiwemo Russia) na Russia nchi moja.

Muwe basi mwajifunza kwanza vitu mnavyoongelea kabla ya kutoa hoja.
 
Breaking news
Roman Abramovich to receive bids for Chelsea this week as pressure mounts on owner
Exclusive: Potential buyers believe Russian could be open to selling club for the first time.
 
Mkuu Ukraine unadhani kama Zanzibar Au unaongea kwa nguvu ya togwa?
Putin Pamoja na ubabe atapoteza vita na Ukraine sababu kuu mbili
Ukubwa wa Ukraine pili uzalendo wa raia wa Ukraine.
 
Haijalishi sana kuchelewa kujiunga au kukataliwa kabisa lakini lazima ukubali kwamba EU wamepeleka mizigo kule ukraine ya kupambana na adui russia
Eu wanachekesha sana. Wanajua kabisa Russia tayari yupo ndani ya Ukraine na mwisho wa hii vita Russia ataibuka mshindi. Hizo siraha zote wanazotuma zitaishia mikononi mwa Russia. Eu itakuwa kama vile wamewapa bonus Russia kwa kazi nzuri
 
Eu wanachekesha sana. Wanajua kabisa Russia tayari yupo ndani ya Ukraine na mwisho wa hii vita Russia ataibuka mshindi. Hizo siraha zote wanazotuma zitaishia mikononi mwa Russia. Eu itakuwa kama vile wamewapa bonus Russia kwa kazi nzuri
Ingekuwa hivyo unavyoongea isingefika leo ya 7 russia hajatangaza kuipindua Ukrain, jua kazi inaendelea tena kwa umakini sana kumbuka majigambo ya russia tulijua hardly angechukua siku 2 tu
 
Back
Top Bottom