Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Putin atoa masharti yake ya kumaliza vita yake na Ukraine, na hivyo kuondoa majeshi yake kwenye nchi hiyo

Soma historia .ussr- walichukua Yogoslavia mwaka 1968 chini ya masaa 24 .Putin na jeshi lake wamaonyesha udhaifu mkubwA.
imeichukua miaka 50s toka hio vita mpaka hii ya leo
nadhani umenielewa
 
Ingekuwa hivyo unavyoongea isingefika leo ya 7 russia hajatangaza kuipindua Ukrain, jua kazi inaendelea tena kwa umakini sana kumbuka majigambo ya russia tulijua hardly angechukua siku 2 tu
kama walivyochukua NATO kule IRAQ?
 
Tofautisha umbali wa Iraq mpaka Marekani, ukizingatia Iraq ilikua taifa kubwa lenye zana za kila aina. Urusi hapo jirani katafa kadogo kanamtoza kamasi kwenye all-out war.....aibu sana hii.
Wakati Marekani anavamia Iraq tayari Iraq alikuwa amewekewa vikwazo kwa zaidi ya miaka 10. Walikuwa hoi.

Iraq ya 1991 na ya 2003 ni tofauti.

Ukraine ya Sasa ina nguvu kuliko Iraq ya 2003.
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
vita ya iraq marekani alitumia siku ngapi kufika mji mkuu na washirika wake?
 
Sasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.

Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Urusi imetia aibu kubwa sana, kwa jeshi hili ni vizuri vile Putin hataki NATO wamsogelee zaidi kwani siku wakimwamkia ndani ya wiki wanakamata nchi yote. Anapigana bega kwa bega na Belarus ila output kubwa mpaka sasa ni kuvunja majengo. Zaidi ya nuclear warheads alizonazo hana maajabu yoyote.
 
Putin kishaminywa makende anatafuta pa kutokea na inaonekana hakujiandaa kiuchumi, ukiona central bank wameanza kuhaha ujue kinachofuata ni vita ya ndani, nasikia wamepandisha interest rate to 20% kutoka 9% na international bank zote sasa ni useless kutokana na sanctions alizopigwa, subiri warusi waanze kubeba pesa kwenye matoroli kwenda kununua mikate ndio utajua tumbo halina uzalendo
Tayari kashaweka ukomo wa kutoa pesa bank na ukomo wa kiasi cha kusaforisha pesa nje ya Urusi, ni wazi vikwazo vinakaba pumzi.
 
vita ya iraq marekani alitumia siku ngapi kufika mji mkuu na washirika wake?

Ukraine ni jirani wa Urusi, huyo Urusi amewekeza wanajeshi 120,000 na kutumia zana za kila aina lakini mji wa Kiev umekua mfupa uliomshinda fisi, kule nyumbani Putin ametaharuki na kutahamaki, hapa nawaza anavyofoka.
 
Urusi imetia aibu kubwa sana, kwa jeshi hili ni vizuri vile Putin hataki NATO wamsogelee zaidi kwani siku wakimwamkia ndani ya wiki wanakamata nchi yote. Anapigana bega kwa bega na Belarus ila output kubwa mpaka sasa ni kuvunja majengo. Zaidi ya nuclear warheads alizonazo hana maajabu yoyote.
Aisee mkuu yawezekana wewe ukawa na intelijensia na ufahamu mkubwa zaidi juu ya jeshi la Russia kuliko hata Defense Secretary wa Marekani General Lloyd Austin anayesema kuwa Russia bado wana uwezo na nguvu kubwa mno ya kuishambulia Ukraine ambayo bado hawajaamua kuitumia.

 
Duh jamaa unaandika kama unatapika..
Muwe mnafanya research kabla ya kuandika.
Umeambiwa ile ni evacuation mission?
Soma historia iliwachukua muda gani US ku conquer Iraq, Afghanistan.
Au unafikiri ile ni game pale?
Ile ni vita ya ardhini kwa asilimia kubwa. Sio rahisi kama unavyowaza. Huyo US aliona cha moto alipoingia Somalia kipindi hicho 1990's au ulikua hujazaliwa? Vita ya ardhini ni ngumu.
Kuna alisema ugali hudumaza akili, aliyechangia kasema Urusi ilisema inafanya operation ya masaa 24 itakuwa imemaliza kazi yake. Sasa wewe unakuja na mifano ya Somalia sijui na Afghanistan, hoja ya kumpinga ilikuwa ni wewe kuonesha kwamba Russia haikuwahi kutoa tamko la vile au kutaka aweke chanzo cha habari yake.
 
Masharti ya kumaliza vita au kumaliza uvamizi??.... ok!km haitoshi! Ka Rais ka -Ufaransa kale !!! yeye naongea na Rais Putin km nani??....yeye ndo Mwakilishi wa NATO??......Mbona kwa sasa hao wasjhirika wa NATo hatuwasikii tena huko

Al Jazeera BBC, CNN km vile mwanzo tulivo wasikia kwa mbwembwe!! nacho ona na kusikia ni Russia kusonga mbele tu kivita! NATO wamepata kigugumizi cha wapi? haya majamaa hayana kitu zaidi ya mwembwe tu!! lkn pia jamani km siyo uchokozi wa wazi tuu!!

nchi km USA mbaali kule unataka nini huku?? yaani ningekuwa mie ndo Putini wangejua kuwa hawajui!......na wasingerudia huo mchezo!! wa kunijaribu hovyo!
Punguza munkari, uongozi wa NATO ni rotational na sasa uongozi upo kwa Ufaransa, ndio maana unaona Macron anafanya mawasiliano kwa niaba ya NATO.
 
Western media propaganda zinashindwa to capture global attention. Kila nikipitia websites zao naona bado habari ni zile zile za a 'dying horse'
Na huko urusi je, unafahamu masharti waliyopewa vyombo vya habari?!!jana mama mmoja anaishi urusi anahojiwa kwanini urusi inashambulia majengo na wananchi, alikataa kabisa akasema yeye anachokiona kwenye tv, magazeti ya urusi ni kuwa wamekwenda kulinda amani hawawezi kuwaua ndugu zao wa ukraine!!hicho unachosema ni propaganda za ulaya magharibi!!
Hatuwezi kumlaumu huyo mama kwani anachoonyeshwa na kukisikia kupitia vyombo vya habari vya Urusi ni hicho alichokisema!!
Putin anaamini kwwnye mabavu zaidi lakini wengine wanaamini kwenye kubana kwa akili, na hilo litamuumiza sana!!kwani hadi sasa wananchi wake wameanza kuonja machungu.
 
Back
Top Bottom