Putin hakujifunza baada ya kilichomkuta Ukraine, ameamsha ugomvi mwingine na Japan

Putin hakujifunza baada ya kilichomkuta Ukraine, ameamsha ugomvi mwingine na Japan

Haya mahaba yanapotosha, hivi unajua Japan inaizidi Ukraine kijeshi kwa mbali sana, hiyo Ukraine ambayo imemtoza makamasi Urusi, bajeti ya kijeshi ya Japan ni $50.3b huku ya Ukraine ikiwa $5.4b na Urusi $69b, Japan wana hadi aircraft carrier.
Urusi kwa sasa hivi ameyumbishwa, akiguswa kidogo anadondoka, sema alichosalia nacho ni manyuklia tu, ndio yanasababisha asipokee kipodo.
Limsafara lake kwenda Ukraine liliwa lote.
... lile limsafara la Warusi kuelekea Kyiv lilikuwa noma sana; nilidhani dunia ndio inafikia mwisho. Kumbe mikwara mbuzi zaidi ya vitisho vya minyuklia hamna kitu mule. Hasara aliyoingia dikteta Putin hatasahau.
 
Baada ya vita vya pili vya dunia, Urusi na Japan hawakutia saini mkataba wa kumaliza vita, ina maana mpaka leo hayo mataifa mawili yako vitani licha ya kuishi kwa amani, wamekua wakiongea na kuelewana kimsingi na kwa namna ya kusaini mkataba.
Sasa juzi Urusi imekwenda kuvamia nchi ya watu Ukraine, ambapo Japan ilitoa tamko la kulaani huo uvamizi, Urusi wakachukia hilo tamko na kusema wamejiondoa kutoka kwenye mazungumzo ya amani na Japan, maana kwamba muda wowote wanaweza kuliamsha amsha, makombora baina ya hayo mataifa mawili yanaweza kuchafua anga kisa visiwa ambavyo huwa vimekaliwa na Urusi kimabavu.
======================

Russia said it was withdrawing from negotiations with Japan aimed at signing a formal World War II peace treaty because of Tokyo's tough stance against Moscow's invasion of Ukraine.

"The Russian side, in the current conditions, does not intend to continue talks with Japan on the peace treaty," the Russian Foreign Ministry said in a statement on March 21.

Russia and Japan have never signed a peace treaty to formally end World War II.

One of the key issues is competing claims over territorial rights to the Kurile Islands, which Tokyo calls its Northern Territories. Soviet troops seized them from Japan at the end of the war, and Russia still occupies the island group.

Following Russia’s brutal invasion of Ukraine, the authorities in Tokyo voiced strong condemnation and have joined with Western partners in placing sanctions on Moscow.

The Russian Foreign Ministry said it broke off talks "due to the impossibility of discussing the core document on bilateral relations with a country that has taken an openly hostile position and is striving to cause harm to the interests of our country."

The statement also said Russia was ending a visa-free regime for Japanese people to visit the disputed islands. Many Japanese had traveled to the visit the graves of their ancestors.
Sasa wajapan si wachumba na wanavyoogopa Nuke
 
Huyu Japan apunguze kisebengo kwanza hana ubavu wa kupigana na Urusi maana alifungwa speed governor na mme wake US.
Pili akianza pigana vita sisi tunaonunua gari used za dollar 1500, 2000 tutanunua wapi sasa.
Aache kisebengo asije tutia matatizoni aendelee tu kutufyatulia mitoyota Viete
We sema limekuuma la bei za gari zetu kuwa juu. Hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari, lol!
 
We sema limekuuma la bei za gari zetu kuwa juu. Hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari, lol!
Mkuu si unajua tena kwa sisi ndio tegemeo letu sasa akipigana na russia vits na IST tutapata wapi? Au singapore na dubai?
 
Narudia tena kukwambia kuwa Japan huyu wa baada ya vita ya pili ya dunia siyo Japan wa enzi zile.
Huyu kafungwa speed governor hata hatengenezi silaha za maana kwa ahadi ya kulindwa na US. Japan wa vita ya pili ya dunia alikuwa wa moto hata US alichezea sana na alikuwa hasalimu amri mpaka alipopigwa ma atomic, japo taarifa ni kwamba alikuwa ashaamua kusurrender na US alikuwa tayari ana taarifa ila kwakuwa US ni vichaa bado wakadondosha nukes.
Huyu Japan wa sasa hata mchina anamwogopesha
Japo ni kweli Japan ya sasa sio ya miaka ile ila sio kweli kwamba hawana Jeshi imara. Walikuwa na Jeshi flani dhaifu lakini akina Kim Jong Un ndio waliwashtua jamaa wakaanza kuunda Jeshi forma. Nakumbuka miaka kadhaa nyuma walipeleka mswada wa kuunda Jeshi lanulinzi. Sikumbuki iliishia wapi ila kwa uwezo wao kiuchumi, uhokozi wa anko Kim na ufadhili wa Uncle Sam atakuwa na jeshi sio la kitoto.

Kwa maneno mengine Russia hawezi kulianzisha Japan kwa sababu itakuwa mwanzo wa mwisho wake bila kujali matokeo ya vita.

Na Urusi inapaswa kubakia kwa sababu ina miadi yenye nwisho wake!
 
Mkuu si unajua tena kwa sisi ndio tegemeo letu sasa akipigana na russia vits na IST tutapata wapi? Au singapore na dubai?
Hapo nakuelewa vizuri boss! Ni point ya msingi sana hiyo 😂
 
Narudia tena kukwambia kuwa Japan huyu wa baada ya vita ya pili ya dunia siyo Japan wa enzi zile.
Huyu kafungwa speed governor hata hatengenezi silaha za maana kwa ahadi ya kulindwa na US. Japan wa vita ya pili ya dunia alikuwa wa moto hata US alichezea sana na alikuwa hasalimu amri mpaka alipopigwa ma atomic, japo taarifa ni kwamba alikuwa ashaamua kusurrender na US alikuwa tayari ana taarifa ila kwakuwa US ni vichaa bado wakadondosha nukes.
Huyu Japan wa sasa hata mchina anamwogopesha
Hakua amesarenda, baada ya us kupigika sana ndani ya washington ( wkati huo japan ndo mkali wa ndegevita) pakawa na usitishaji vita huku mazungumzo yanaendelea, kumbe ktk kipindi hicho us anamalizia project yake ya nuke.

Mazungumzo yalivokwama ndo akamfanyia kitu mbaya' wajapan walilia sana kuona nchi yao ikisarrender'
 
Japan ilimtandika Urusi wako huyo mwaka 1905 na Rais wa Marekani akawa msuruhishi. Kasome Russo-Japanese war. Urusi mnamuona anajua vita kwa sababu anajua kupiga porojo, Japan historically washapigana vita nyingi mno tena zote za kuvamia wenyewe. Russia alipigana vita za kujitetea ambazo lazima ujitume la sivyo huna maisha, kama anavyofanya Ukraine.

Finland mwenyewe ashamkomalia USSR na akamshinda
Na hivyo visiwa wanavyo gombania walivitekaje sasa kutoka japan?

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hutaki au? Sasa kama nchi zoote za NATO wanapeleka silaha na fedha ukraine dhidi ya nchi moja tu ambayo ni Urusi, sasa kama wazungu wanalijua hili sasa wewe unaebisha ni kama nani ukiwa huko kijijini Diukizula? Hata huyo Us akizungumzia vita dhidi ya Urusi utamsikia akisema " we will retalliate aggressively against Russia with our allies with full strengh" unadhani kwanini hua anajifichia kwenye kichaka cha umoja wa kujihami wa nchi za magharibi? Urusi ni maji marefu hasa kwenye vita hata wakubwa zako wanalitambua hili we nenda kale tunda kimasihara.
Ni bora zaidi mbakie kushabilia mpira kuliko kuleta ushabiki kwenye maisha ya watu, so kama Urus ana nguvu za kijeshi what is the benefit on you. Kwani haiwatoshi kushabikia mipira mpaka mnashabikia vita
 
Baada ya vita vya pili vya dunia, Urusi na Japan hawakutia saini mkataba wa kumaliza vita, ina maana mpaka leo hayo mataifa mawili yako vitani licha ya kuishi kwa amani, wamekua wakiongea na kuelewana kimsingi na kwa namna ya kusaini mkataba.
Sasa juzi Urusi imekwenda kuvamia nchi ya watu Ukraine, ambapo Japan ilitoa tamko la kulaani huo uvamizi, Urusi wakachukia hilo tamko na kusema wamejiondoa kutoka kwenye mazungumzo ya amani na Japan, maana kwamba muda wowote wanaweza kuliamsha amsha, makombora baina ya hayo mataifa mawili yanaweza kuchafua anga kisa visiwa ambavyo huwa vimekaliwa na Urusi kimabavu.
======================

Russia said it was withdrawing from negotiations with Japan aimed at signing a formal World War II peace treaty because of Tokyo's tough stance against Moscow's invasion of Ukraine.

"The Russian side, in the current conditions, does not intend to continue talks with Japan on the peace treaty," the Russian Foreign Ministry said in a statement on March 21.

Russia and Japan have never signed a peace treaty to formally end World War II.

One of the key issues is competing claims over territorial rights to the Kurile Islands, which Tokyo calls its Northern Territories. Soviet troops seized them from Japan at the end of the war, and Russia still occupies the island group.

Following Russia’s brutal invasion of Ukraine, the authorities in Tokyo voiced strong condemnation and have joined with Western partners in placing sanctions on Moscow.

The Russian Foreign Ministry said it broke off talks "due to the impossibility of discussing the core document on bilateral relations with a country that has taken an openly hostile position and is striving to cause harm to the interests of our country."

The statement also said Russia was ending a visa-free regime for Japanese people to visit the disputed islands. Many Japanese had traveled to the visit the graves of their ancestors.
Japan inaweza kuwa laboratory ya kutest nyuklia nyingine kwa mara ya pili. Ikumbukwe ni Japan pekee ndio imewahi kupigwa na nyuklia

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Haya mahaba yanapotosha, hivi unajua Japan inaizidi Ukraine kijeshi kwa mbali sana, hiyo Ukraine ambayo imemtoza makamasi Urusi, bajeti ya kijeshi ya Japan ni $50.3b huku ya Ukraine ikiwa $5.4b na Urusi $69b, Japan wana hadi aircraft carrier.
Urusi kwa sasa hivi ameyumbishwa, akiguswa kidogo anadondoka, sema alichosalia nacho ni manyuklia tu, ndio yanasababisha asipokee kipodo.
Limsafara lake kwenda Ukraine liliwa lote.
Usiseme liliwa, sema liliwa na waingereza na madude mapya yanayoitwa Javelin. Hatujui hiii dunia kuna silaha gani mpya
 
Japo ni kweli Japan ya sasa sio ya miaka ile ila sio kweli kwamba hawana Jeshi imara. Walikuwa na Jeshi flani dhaifu lakini akina Kim Jong Un ndio waliwashtua jamaa wakaanza kuunda Jeshi forma. Nakumbuka miaka kadhaa nyuma walipeleka mswada wa kuunda Jeshi lanulinzi. Sikumbuki iliishia wapi ila kwa uwezo wao kiuchumi, uhokozi wa anko Kim na ufadhili wa Uncle Sam atakuwa na jeshi sio la kitoto.

Kwa maneno mengine Russia hawezi kulianzisha Japan kwa sababu itakuwa mwanzo wa mwisho wake bila kujali matokeo ya vita.

Na Urusi inapaswa kubakia kwa sababu ina miadi yenye nwisho wake!
Ukizungumzia majeshi bora duniani, huwezi muondoa mjapan. Mrusi hanusi hapo.
 
Hakua amesarenda, baada ya us kupigika sana ndani ya washington ( wkati huo japan ndo mkali wa ndegevita) pakawa na usitishaji vita huku mazungumzo yanaendelea, kumbe ktk kipindi hicho us anamalizia project yake ya nuke.

Mazungumzo yalivokwama ndo akamfanyia kitu mbaya' wajapan walilia sana kuona nchi yao ikisarrender'
Achana na nuke, lazima uweke silaha chini.
 
Putin Yuko hoi bin taabani huko Ukraine.Hana ubavu wa kuanzisha vita nyingine . Nimegundua huyu jamaa ni mropokaji kuliko kiduku.Nimeacha kuchukulia maneno yake seriously [emoji848]
Vijana wa putin humu ndani hawajui kuwa hata sisi zamani tulikuwa tunaikubali mno russia ktk nyanja ya vita kutokana n show off za silaha zake, siku zilivyoenda tukajua russia ni wa kawaida tu, na kupitia vita hii ndo kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom