MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #61
NYUKLIA c zake mbna mnapenda kuziweka pembeni
hata KOWAD wenu US alitumia kwahio kaeni kwakutulia
kwahio akiguswa tu anaanguka ila NATO wanashindwa kumgusa akaanguka wakati jamaa anaua tu watu bure huko UKRAINE
Ha ha ha!! Sheikh nawaza hapo unavyotokwa povu na likanzu lote, sawa aendelee kuua raia maana ameshindwa kuteka Kiev kijeshi, walau hayo mauaji kwa raia kidogo yanawakosha nyie na kuwapa kitu cha kujiliwaza, ila ameumbuka hata wale wenye dini yao waarabu wanamshangaa alivyo legelege kijeshi....