Putin hakujifunza baada ya kilichomkuta Ukraine, ameamsha ugomvi mwingine na Japan

Putin hakujifunza baada ya kilichomkuta Ukraine, ameamsha ugomvi mwingine na Japan

NYUKLIA c zake mbna mnapenda kuziweka pembeni
hata KOWAD wenu US alitumia kwahio kaeni kwakutulia
kwahio akiguswa tu anaanguka ila NATO wanashindwa kumgusa akaanguka wakati jamaa anaua tu watu bure huko UKRAINE

Ha ha ha!! Sheikh nawaza hapo unavyotokwa povu na likanzu lote, sawa aendelee kuua raia maana ameshindwa kuteka Kiev kijeshi, walau hayo mauaji kwa raia kidogo yanawakosha nyie na kuwapa kitu cha kujiliwaza, ila ameumbuka hata wale wenye dini yao waarabu wanamshangaa alivyo legelege kijeshi....
 
Sema wewe ni zuzu unajua urussi anazo nuclear submarine ngapi na hadi sasa zimeteketea ngapi ,je unajua bomu la father of all bomu la urussi limetumika wapi mpaka sasa ,unajua viwanda vya kijeshi vya urussi vinaunda nini kwa sasa? Je unajua ukubwa wa jeshi la urussi na askari wangapi mpaka sasa wamekufa? Kwa kifupi kujidanganya kuwa urussi ni dhaifu wakati ujaua hata askari wake milioni 1 ni ujinga mtupu ,marekani ndiyo inadanganya kuhusu nguvu zake za kijeshi. Marekani kivita na urusi marekani ni dhaifu tu

Hehehe!!! Yaani vita na kataifa kadogo kama Ukraine kamemshinda Urusi eti tusubiri mpaka wanajeshi wake wauae milioni moja ndio tujue kama kashndwa.....
 
Na wakuelewe. Statistics za Nguvu za kijeshi ni Siri kubwa. Nashangaa mtu ana ng'ang'ana na statistics za Propaganda. Hao NATO wanazo estimate ya kuwa Russia ni hatari sana na anawazidi. Hapo wameungana huko ukrain lakini wanapigika tu. Au hamuoni kama NATO ipo vitani ?? Yawezekana kuna hata siraha hatari zaidi ya Nuclear zipo store, zikitumiwa ndo na sisi tunaongeza propaganda za Uchambuzi wa Vita!

Statistics za nini kama Kiev imewashinda kuteka na kubadilisha uongozi kama mlivyotishia, useless kabisa.....
Kwenye medani za vita, matokeo ndo statistics za kweli, muiteke Kiev ndio tuwaelewe, ila kichapo kilisababisha msafara wote ukaliwa.
 
Huyu Putin kichaa nduli amalizane kwanza na Ukraine.

Mei 9 inakaribia, sikukuu ambayo Urusi husheherekea ushindi wao dhidi ya Hittler na hutumia hiyo siku kuonyesha zana zao na ubabe, ila kwa aibu ya Ukraine, Putin hana cha kuwaambia Warusi, hivyo anatafuta pakutokea, sababu za kutumia nyuklia, maana kawaida yeye kama yeye hawezi kuamrisha matumizi ya nyuklia, lazima majenerali wamuelewe kwanza kabla ya wao kukubali vitufe vibonyezwe, sasa akilianzisha na Japan, itakua rahisi kuwashawishi Warusi kwamba wanavamiwa na dunia.
 
Mei 9 inakaribia, sikukuu ambayo Urusi husheherekea ushindi wao dhidi ya Hittler na hutumia hiyo siku kuonyesha zana zao na ubabe, ila kwa aibu ya Ukraine, Putin hana cha kuwaambia Warusi, hivyo anatafuta pakutokea, sababu za kutumia nyuklia, maana kawaida yeye kama yeye hawezi kuamrisha matumizi ya nyuklia, lazima majenerali wamuelewe kwanza kabla ya wao kukubali vitufe vibonyezwe, sasa akilianzisha na Japan, itakua rahisi kuwashawishi Warusi kwamba wanavamiwa na dunia.
Ameshidwa kumtoa madarakani comedian zelensky ndio atawaweza Japan aka wazee wa Kamikaze?!
Mpuuzi sana huyu nduli
 
Kama Ukraine amemshindwa, huyo mjapan atamfata mpaka Kremlin Putin.
Ina maana hujui Ukraine ameshapigwa vibaya.Ama unasuburi uone kichwa cha Zelensky kimeng'olewa ndio uamini Ukraine kapigwa
project ya delimitalize imeshakamilika
 
Putin Yuko hoi bin taabani huko Ukraine.Hana ubavu wa kuanzisha vita nyingine . Nimegundua huyu jamaa ni mropokaji kuliko kiduku.Nimeacha kuchukulia maneno yake seriously 🤔
Who are you!?
eti sitachukulia maneno ya Putin seriously!
are you serious !
 
Hata Ujerumani hana nukes, alisaini mikataba na Marekani na hapendi militarisation kama Japan ila silaha zake hizi kina Panzerfaust na nyingine si zinaisaidia Ukraine.

Russia leo siku ya 67 sijui anapigana na Ukraine na hata nusu ya nchi hana. Akikutana na spirit ya Japanese kwenye kupigana na superior weapons zao ambazo hawajahi ziuza wala kufanya deployment nchi nyingine si watahangaika.

Ujerumani alipigwa hivihivi kwa ujinga wake wa kupigana two fronts. Alipigana na UK hajashinda then akaivamia USSR kisa aliona wanyonge
Hv hujui kwamba NATO tayari wapo Ukraine na Russia anapigana na NATO
 
Kumbe Japan ni dunia nzima? Kuelewa nacho kipaji!
ww ni kilaza , Urusi huyo huyo mnamsifia kuwa anawapiga NATO huyo huyo mnamsifia anampiga Finland pia huyo huyo mnamsifia anampiga Japan pia huyo huyo mnamsifia anaeza ipiga Ukraine , ila huko Ukraine kakimbia ground war anatapatapa na strikes tu wakimsogelea anakimbia
 
Kwani hutaki au? Sasa kama nchi zoote za NATO wanapeleka silaha na fedha ukraine dhidi ya nchi moja tu ambayo ni Urusi, sasa kama wazungu wanalijua hili sasa wewe unaebisha ni kama nani ukiwa huko kijijini Diukizula? Hata huyo Us akizungumzia vita dhidi ya Urusi utamsikia akisema " we will retalliate aggressively against Russia with our allies with full strengh" unadhani kwanini hua anajifichia kwenye kichaka cha umoja wa kujihami wa nchi za magharibi? Urusi ni maji marefu hasa kwenye vita hata wakubwa zako wanalitambua hili we nenda kale tunda kimasihara.
angalia ukubwa wa Urusi na Ukraine , huon Urusi alikiwa anaionea Ukraine ? kwann asingewaface wakubwa wenzie
 
Marekani huyu!!! Tena kaenda kuwachonganisha Japan na Urusi wapigane ili aibe gesi na mafuta.
Marekani mbaya sana.
nahis hata ukijamba utasema ni MAREKANI , akili hamnaga kbs yaan unasikia Urusi alikalia maeneo ya Japan kimabav ila kwa unyumb wako bado unasena Marekan kachonganyisha
 
ww ni kilaza , Urusi huyo huyo mnamsifia kuwa anawapiga NATO huyo huyo mnamsifia anampiga Finland pia huyo huyo mnamsifia anampiga Japan pia huyo huyo mnamsifia anaeza ipiga Ukraine , ila huko Ukraine kakimbia ground war anatapatapa na strikes tu wakimsogelea anakimbia
Kelele mtapiga wenyewe kipondo kinaendelea gas wananunua kwa rubles mwisho kilaza atajulikana ni nani.
Man of actions
 
Toa habari ya uhakika chuki zako na Russia usiziweke kwenye Uzi unaoandika umekuwa kama kimbelembele falni Russia ilijitoa toka mwanzo japani ilivyoanza kuweka vikwazo Kwa benk za urusi tunasaini vipi makubaliano wakati unaniweke vikwazo izo akili au utoto
kwahiyo ulitaka Japan ichekeleee tu Urusi inavo ua wa ukraine
 
Japan ilimtandika Urusi wako huyo mwaka 1905 na Rais wa Marekani akawa msuruhishi. Kasome Russo-Japanese war. Urusi mnamuona anajua vita kwa sababu anajua kupiga porojo, Japan historically washapigana vita nyingi mno tena zote za kuvamia wenyewe. Russia alipigana vita za kujitetea ambazo lazima ujitume la sivyo huna maisha, kama anavyofanya Ukraine.

Finland mwenyewe ashamkomalia USSR na akamshinda
Mkuu huoni aibu kudanganya umma,?
Urusi anajuwa Porojo yet Tank lake ndio User name yako.
Alipigwa na Finland ila alimega eneo, analikalia mpaka leo.
Mtu aliyepigwa huwa anamega maeneo?
 
Hv hujui kwamba NATO tayari wapo Ukraine na Russia anapigana na NATO
Sio mara ya kwanza NATO na Russia kuwa pande tofauti za vita wala sitarajii iwe mara ya mwisho.

Korean war, Vietnam, vita mbili za Israel vs Arabs hizo ndio escalations kubwa ambazo wamekutana hao mahasimu. Vietnam ilifikia hatua marubani wa Urusi wakaenda kuendesha Mig zao anga la Vietnam maana Vietcong hawakuwa na marubani.

Hapa NATO haijaingia bado inapeleka silaha. Kuwepo kwa foreign legion sio NATO ile hata wabongo wanaweza jiunga
 
Hata Ujerumani hana nukes, alisaini mikataba na Marekani na hapendi militarisation kama Japan ila silaha zake hizi kina Panzerfaust na nyingine si zinaisaidia Ukraine.

Russia leo siku ya 67 sijui anapigana na Ukraine na hata nusu ya nchi hana. Akikutana na spirit ya Japanese kwenye kupigana na superior weapons zao ambazo hawajahi ziuza wala kufanya deployment nchi nyingine si watahangaika.

Ujerumani alipigwa hivihivi kwa ujinga wake wa kupigana two fronts. Alipigana na UK hajashinda then akaivamia USSR kisa aliona wanyonge
Vita iliyodumu miaka 8 ulitaka Urussi aje aimalize siku moja?.
 
NYUKLIA c zake mbna mnapenda kuziweka pembeni
hata KOWAD wenu US alitumia kwahio kaeni kwakutulia
kwahio akiguswa tu anaanguka ila NATO wanashindwa kumgusa akaanguka wakati jamaa anaua tu watu bure huko UKRAINE
NATO wana malengo sio kama Urusi hanaga malengo ,ndio maana anazidiwa uchumi hata na dona country
 
Mei 9 inakaribia, sikukuu ambayo Urusi husheherekea ushindi wao dhidi ya Hittler na hutumia hiyo siku kuonyesha zana zao na ubabe, ila kwa aibu ya Ukraine, Putin hana cha kuwaambia Warusi, hivyo anatafuta pakutokea, sababu za kutumia nyuklia, maana kawaida yeye kama yeye hawezi kuamrisha matumizi ya nyuklia, lazima majenerali wamuelewe kwanza kabla ya wao kukubali vitufe vibonyezwe, sasa akilianzisha na Japan, itakua rahisi kuwashawishi Warusi kwamba wanavamiwa na dunia.
Urusi aliwahi tumia Nuke wapi?
Mbona mnalazimisha ionekane kwamba yeye ndio mtumiaji wa Nuke?
Taifa pekee lililowahi tumia Nuke ni US, tena thidi ya taifa dogo Japan ( walikuwa washachoka kivita).
 
Back
Top Bottom