kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
[emoji2]Kabisa kazi ya Putin kwa sasa ni kuoga ,kupaka mafuta,kupaka poda,kula na kulala Kremlin!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2]Kabisa kazi ya Putin kwa sasa ni kuoga ,kupaka mafuta,kupaka poda,kula na kulala Kremlin!!
Hivi unaelewa hara ulichoandika? Libya na Iraq zilipigwa kwa azimio.la umpja wa mataifa lililotoa agizo la kuundwa kwa Jeshi la kimataifa coalition army kwenda kutandika Saddam Hussein na GhadafiObama alienda libya? Na Bush kule iraq kule afganistan hata trump hakufika mpaka wanajesh wameondoka mwakajana
US hajawahi peleka mwanajeshi LibyaObama alienda libya? Na Bush kule iraq kule afganistan hata trump hakufika mpaka wanajesh wameondoka mwakajana
Marekani huwa wanaenda vita wenyewe?huna wanaenda na wenzao.coalition chini ya umoja wa mataifa ya upuuzi Tu.Mwanaume urusi anaenda vitani mwenyewe.Wewe ndio .Vita ya Iraq na Libya alifanya na coalition army chini ya Umoja wa mataifa
Usilinganishe na uvamizi wa Urusi kwa ukraine
Unaongea kitu ambacho hujui.au Kwa sababu USA anateteaga haki zenu.US hajawahi peleka mwanajeshi Libya
Putin kama mwanaume si alitishia yeyote atakayemsaidia Ukraine atamwonyesha cha mtema kuni Mbona kaufyata wababe wanatangaza mchana kweupe kuwa tunamsaidia Ukraine .Yeye kajificha kwenye mashimo hataki hata kwenda kutembelea Askari wake vitani.Marekani huwa wanaenda vita wenyewe?huna wanaenda na wenzao.coalition chini ya umoja wa mataifa ya upuuzi Tu.Mwanaume urusi anaenda vitani mwenyewe.
Kweli ana majukumu mengi sana mpaka anaogopa kushiriki misiba tena ya kitaifa, kwenye vikao ofisin kwake anakaa mbali mnoo na wenzake.Putin ana majukumu mengi, Zelensky Kwa Sasa jukumu lake ni Moja tu,Vita!
😜🤪😆🤣🤪🤪👻Sisi kama warusi wa morogoro kilosa hatuungi mkono jambo hili. Haiwezekani kipondo tupewe na bado mnamtaka mtume wetu putin aje vitani mumuue, hili haliwezekani. Takbiirrrrrr!
Hivi amiri jeshi akiingia kuwatembelea askari wake vitani lazima ninyi raia wa periphery mjue? Najaribu kuwaza kwa sauti kwa kuwa najua wajua kuwa Media za Magharibi hazitangazi habari za Urusi vitani na RT imechomolewa hewani.Vita ikilipuka amiri Jeshi mkuu huwa ana kawaida kuwatembelea wapiganaji walio msitari wa mbele vitani kuongea nao na kuwatia moyo na kuwasikiliza
Raisi Zelensnkyy wa Ukraine amekuwa akiwatembelea mara kwa mara Askari wake walio mstari wa mbele na kupokelewa kwa shangwe na Askari wake
Putin katelekeza wanajeshi wake toka vita ianze miezi 8 sasa hajawahi watembelea askari wake walio msitari wa mbele hata kukanyaga tu maeneo ambayo Urusi inasema imeyateka yako mikononi mwao.Putin hajawahi kanyaga msitari wa mbele uwanja wa vita.Katelekeza watoto wa watu vitani yeye anakula kuku kwa mrija Kremlin akiangalia vita kwenye Television vijana wake wakitwangwa na makombora ya Himars
Putin ni Amiri .jeshi mkuu wa ajabu kuliko wote.Yeye anaogopa kwenda halafu anasokomeza watoto wa wenzie waende.Au hajiamini na hawaamini wanajeshi wake kuwa akienda aweza asirudi ?
Bush aliwai kwepa kiatu uarabuni, uenda wewe wakati huo ulikuwa bado mdogo😂😂.Obama alienda libya? Na Bush kule iraq kule afganistan hata trump hakufika mpaka wanajesh wameondoka mwakajana
Mazishi ya Raisi Mstaafu wa Urusi Mikhail Gorbachev ,Raisi Putin hakwenda mazishi hapohapo Moscow hakwenda anaogopa kudunguliwa.Warusi kwa maelfu wamemzika Raisi wao mstaafu siku kadhaa ziliizopita tarehe Tatu mwezi huu.Yeye kajichimbia kwenye mahandaki kusikojulikana!!Kweli ana majukumu mengi sana mpaka anaogopa kushiriki misiba tena ya kitaifa, kwenye vikao ofisin kwake anakaa mbali mnoo na wenzake.
Gorbachev aliitwa msaliti wa taifa..Mazishi ya Raisi Mstaafu wa Urusi Mikhail Gorbachev ,Raisi Putin hakwenda mazishi hapohapo Moscow hakwenda anaogopa kudunguliwa.Warusi kwa maelfu wamemzika Raisi wao mstaafu siku kadhaa ziliizopita tarehe Tatu mwezi huu.Yeye kajichimbia kwenye mahandaki kusikojulikana!!
Tatizo hujui chochote hiyo ni kawaida nchi hizi Kubwa kuipelekea nchi hasimu silaha mfano Syria urusi aliwapa silaha serikali na marekani aliwapa silaha waasi au Korea war.urusi na China waliwasaidia NK na marekani waliwasaidia SK Kwa hiyo haya ni mambo ya kawaida.shida yenu nyie Team NATO sijui hamjui Historia.Putin kama mwanaume si alitishia yeyote atakayemsaidia Ukraine atamwonyesha cha mtema kuni Mbona kaufyata wababe wanatangaza mchana kweupe kuwa tunamsaidia Ukraine .Yeye kajificha kwenye mashimo hataki hata kwenda kutembelea Askari wake vitani.
Putin anaweza akaenda Ukraine na RT isitangaze?Hivi amiri jeshi akiingia kuwatembelea askari wake vitani lazima ninyi raia wa periphery mjue? Najaribu kuwaza kwa sauti kwa kuwa najua wajua kuwa Media za Magharibi hazitangazi habari za Urusi vitani na RT imechomolewa hewani.
Vv