Putin kuwania tena Urais kwa mara ya 5 mwaka 2024

Putin kuwania tena Urais kwa mara ya 5 mwaka 2024

Ujue kuna watu wanataka kila nchi ifuate wanavyotaka wao ukienda kinyume unaitwa kila aina ya majina
Nandio watu wa jf hapa walivyo karirishwa yaani
Wanataka Russia aende kama anavyoenda us
Hawajui kama Russia ni giant anaenda anavyoona yeye inafaa nakwamaslahi yake
Ila watetezi wa haki za binaadam hapa jf wanaona Russia wanakosea
Wakat wao nademokrasia yao hata kama Russia itasimama hapo hapo ilipo isipige hatua yeyote ya maendeleo itawachukua karne saba ama kumi kuwakaribia sio kuwafikia
 
Nandio watu wa jf hapa walivyo karirishwa yaani
Wanataka Russia aende kama anavyoenda us
Hawajui kama Russia ni giant anaenda anavyoona yeye inafaa nakwamaslahi yake
Ila watetezi wa haki za binaadam hapa jf wanaona Russia wanakosea
Wakat wao nademokrasia yao hata kama Russia itasimama hapo hapo ilipo isipige hatua yeyote ya maendeleo itawachukua karne saba ama kumi kuwakaribia sio kuwafikia
Russia ni taifa kongwe kuliko hao majambazi america
Russia kufikia hapo walipo wamepitia mengi sana ambayo america hajayapitia
 
Kaguta napata mfano mwingine wa kumfanya asiondoke madarakani.Huyu Putin nimewahimsikia aliwahi kuwa waziri mkuu pia
 
Kiongozi huyo aliyetawala tangu mwaka 2000 akichukua madaraka kutoka kwa Boris Yeltsin ametangaza nia yake leo Desemba 8, 2023 huku akidai ana uhakika wa kushinda Urais kwa zaidi ya 80% ya Kura.

Mwaka 2020, Serikali ya Putin mwenye umri wa miaka 71 ilifanya mabadiliko ya kuondoa ukomo wa mihula ya Urais ambapo sasa inampa nafasi kutawala taifa hilo hadi mwaka 2036 kama atashinda Uchaguzi wa mwaka 2024.

Tangazo hilo linakuja wakati ambapo mpinzani wake mkuu, Alexei Navalny ambaye yuko Gerezani ambako anatumikia kifungo cha miaka 30, akikabiliwa tena mashtaka mapya.

===========

Russian President Vladimir Putin has announced that he will run in the 2024 presidential election.

Putin announced his decision to seek to extend his rule on Friday. He is almost certain to win a fifth term as president, allowing him to continue leading Russia’s invasion of neighbouring Ukraine.

If elected, the 71-year-old will extend his 24-year leadership of Russia, albeit with an eight-year stint spent formally as prime minister. His tenure is now the longest of any ruler of Russia since Josef Stalin.

The decision comes as little surprise, with Russia’s military campaign in Ukraine seen as having boosted patriotic support for the president.

Putin announced his plan at an awards ceremony at which he presented veterans of the war with Russia’s highest military honour, state-run news agencies reported.

State media reported that one recipient of the Hero of Russia gold star, a lieutenant colonel named Artyom Zhoga, had asked the president to run again.

“He will run,” the soldier told reporters afterwards.

Earlier, Kremlin spokesperson Dmitry Peskov had said that many people have urged Putin to run.

Russia’s Federation Council upper house approved on Thursday a date of March 17 for the vote.

Opposition politicians have cast the election as one that threatens democracy amid claims that Putin has tunred Russia into a corrupt dictatorship.

AL JAZEERA

Anastahili aisee huyo Mwamba Ana strategy za kutosha
 
Wawe na adabu kwa kuacha kukashifu watu wasiowafahamu kwa kuwaita mashoga. Umuite shoga mtu anayemfahamu kwamba ni shoga.
Pole kijana
Unadhani uislam ndio unaokuita wewe shoga kijana
Siungi mkono wanaokuita hvyo ila sio sababu yakuutukana uislam
Ila pole sana kijana
 
Huyo siyo mpinzani ni purpet tu
Katika himaya yoyote ya kidikteta kila mpinzani mwenye nguvu huhusishwa na ukibaraka.

Kwahiyo wakati mnapozungumzia propaganda za magharibi (mnaopenda hii blah blah) mkumbuke pia hii nayo ni propaganda nyingine katika siasa, ni propaganda itumiwayo na hao madikteta.

Mfano Tz miaka mingi tumeishi bila kusikia habari za vibaraka, ila awamu iliyopita kwa udikteta uchwara ikawamezesha watz wavivu wa kufikiri kuwa wapinzani ni puppets. Na ajabu mitanzania mingi ikaamini! Hiyo ikatoa fursa kwa udhalimu kutawala na wapinzani kupokea mateso ya kila namna huku majority ya wananchi ikiamini kuwa ni halali yao kunyanyasika kwakuwa wanatuhujumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika himaya yoyote ya kidikteta kila mpinzani mwenye nguvu huhusishwa na ukibaraka.

Kwahiyo wakati mnapozungumzia propaganda za magharibi (mnaopenda hii blah blah) mkumbuke pia hii nayo ni propaganda nyingine katika siasa, ni propaganda itumiwayo na hao madikteta.

Mfano Tz miaka mingi tumeishi bila kusikia habari za vibaraka, ila awamu iliyopita kwa udikteta uchwara ikawamezesha watz wavivu wa kufikiri kuwa wapinzani ni puppets. Na ajabu mitanzania mingi ikaamini! Hiyo ikatoa fursa kwa udhalimu kutawala na wapinzani kupokea mateso ya kila namna huku majority ya wananchi ikiamini kuwa ni halali yao kunyanyasika kwakuwa wanatuhujumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Navalny ananguvu gani mbele ya rais wa dunia PUT IN
Yaani hako kakibaraka ukikaeka kwa PUT IN kanaelea elea tu hakipati hata 5% ya PUT IN
Navalny kaishajulikanika kama kibaraka nandio maana anapigwa sana spana za utosi
Unadhani asingekua wakwao wamagharibi wangetumia nguvu wanazotumia kumlinda
Navalny na Gorbachev baba mmoja mama mmoja tena Navalny kamzidi Gorbachev kwa ukibaraka
 
Katika himaya yoyote ya kidikteta kila mpinzani mwenye nguvu huhusishwa na ukibaraka.

Kwahiyo wakati mnapozungumzia propaganda za magharibi (mnaopenda hii blah blah) mkumbuke pia hii nayo ni propaganda nyingine katika siasa, ni propaganda itumiwayo na hao madikteta.

Mfano Tz miaka mingi tumeishi bila kusikia habari za vibaraka, ila awamu iliyopita kwa udikteta uchwara ikawamezesha watz wavivu wa kufikiri kuwa wapinzani ni puppets. Na ajabu mitanzania mingi ikaamini! Hiyo ikatoa fursa kwa udhalimu kutawala na wapinzani kupokea mateso ya kila namna huku majority ya wananchi ikiamini kuwa ni halali yao kunyanyasika kwakuwa wanatuhujumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa mwaka gani mpaka useme hukuwahi kusikia vibaraka tz?
Kambona aliitwa kibaraka na Nyerere
 
Navalny ananguvu gani mbele ya rais wa dunia PUT IN
Yaani hako kakibaraka ukikaeka kwa PUT IN kanaelea elea tu hakipati hata 5% ya PUT IN
Navalny kaishajulikanika kama kibaraka nandio maana anapigwa sana spana za utosi
Unadhani asingekua wakwao wamagharibi wangetumia nguvu wanazotumia kumlinda
Navalny na Gorbachev baba mmoja mama mmoja tena Navalny kamzidi Gorbachev kwa ukibaraka
Ni mpinzani yupi sasa asiye kibaraka hapo Russia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom