Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Mbona sikuelewi wewe umesemaje hebu rudia tena kusomaUnaelewa maana ya "kwa miaka mingi"?
Na hata ningesema sikuwahi kusikia bado ni sahihi tu, maana si lazima kila mtu awe kazaliwa enzi za Nyerere huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tu ndo hukunielewa, punguza vibe na utulize akili urudie kusoma utaelewa nilichokisema ambacho kipo simple na open sana, otherwise utakuwa unanilisha maneno.Mbona sikuelewi wewe umesemaje hebu rudia tena kusoma
Nipunguze vibe siyo?Wewe tu ndo hukunielewa, punguza vibe na utulize akili urudie kusoma utaelewa nilichokisema ambacho kipo simple na open sana, otherwise utakuwa unanilisha maneno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biden anamiaka mingapi kwani..na kasema anagombea tena, Trump ana miaka mingapi??MIAKA 71 kisha watu weusi walikua wanamshangaa MUGABE. Takataka tu
Kama Watanzania tunavyoihitaji CCM kuendelea kitawala Tanzania.sisi hatujali hata uchaguzi uwe leo au kesho na ashinde tuu dunia tunamhitaji sana.
Kamwambie mtume wenu.Pole mwaya. Nenda chooni kajifute hiyo damu ya hedhi matakoni.