Putin; Maadui zetu mjifikirie mara mbili kwa hili bomu

Putin; Maadui zetu mjifikirie mara mbili kwa hili bomu

Mambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
Unatuletea mambo ya history hapa wakati jambo lipo na linatokea muda huu hapa ukisema hivyo na sisi tutakurudisha dola ya rumi hakuna dola lilitawala milele the rest is history
 
Sio wajinga kiasi hicho mtu anakuonesha rungu na AK 47 iko ndani au anakuambia specifications fake za uwezo wa kombora lake ili usijue ukweli lkn pia yale maonesho ya siraha ni taarifa kwa wananchi una ulimwengu kuwa hatujalala bali tumefikia hapa
Siraha = Silaha.
 
Tangu Hitler afariki,
German walifilisika Sana kijeshi,

Na kingine ujue mpaka Leo hii ujerumani bado analipa madeni ya kivita kwa hasara alizosababisha HITLER nchi nyingi Sana ulaya nzima.

Kujijenga kijeshi ujerumani atahitaji muda sana
Kweli ?....yaani nchi tajiri ki-viwanda na yenye uchumi mkubwa kuliko zote huko ulaya magharibi unasema inahitaji muda kujijenga kijeshi ?
 
Sikuelewi unaposema nyuklia warhead haina range na kama ni hivyo ina maana haisafiri basi na sio kwamba nyuklia warhead zote zinarushwa na ndege, kuna zinazorushwa kutoka kwenye meli na zingine toka kwenye stationary launch pads.

Hakuna uthibitisho kwamba Russia kawaacha nchi za magharibi mbali kwenye teknolojia ya makombora na naona huelewi kwamba ni Marekani na Russia tu ndizo zenye uwezo wa kurusha kombora na likatua sehemu yoyote duniani.

Russia sawa na nchi zingine za kikomunisti zina tabia ya kishamba ya kuonyesha silaha zao hadharani kama njia ya kutisha wananchi wao na mataifa ya nje ili zisikemee tawala zao za kiimla.
Nuclear warhead ni explosive device sio delivering vehicles...kama hujamaster namna ya kudeliver hizo warhead zinakuwa hazina ufanisi kwa hiyo unavosikia kitu inaitwa icbm hii ni rocket engine inayoweza kubeba nuclear warhead au convectional explosive
 
Back
Top Bottom