Putin; Maadui zetu mjifikirie mara mbili kwa hili bomu

Putin; Maadui zetu mjifikirie mara mbili kwa hili bomu

Germany toa, nchi ya jumuiya ya ulaya yenye budget kubwa ya jeshi na anayeongoza kwa kuunda vitu ni France ambaye budget yake ni nusu ya budget ya mrusi katika mambo ya kijeshi.
Ujerumani ana tech nyingine zaidi sio mambo ya kijeshi maana alifungwa speed governor.
Tangu Hitler afariki,
German walifilisika Sana kijeshi,

Na kingine ujue mpaka Leo hii ujerumani bado analipa madeni ya kivita kwa hasara alizosababisha HITLER nchi nyingi Sana ulaya nzima.

Kujijenga kijeshi ujerumani atahitaji muda sana
 
Usijidanganye. Kwa teknolojia ilipofikia,ukiwahiwa unaangwamizwa na hata nafasi ya kujibu hutoipata. Ndio sababu wenyewe wanajihami kwakuweka mifumo ya kujiendesha yenyewe kujibu mashambulizi pale watakapokuwa wamewahiwa. Lakini hata hiyo mifumo sio yakuamini,kwani majasusi wanaweza wakawa waeshaijam. Halafu wakakutandika.


Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
The way una explain utadhani Russia is Alpha na Omega in this World[emoji846]
 
Mambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
UK,GERMAN,&FRANCE hawana jipya ,walijisahau kwa kuvimbiwa na legancy ya ku concur dunia enzi za the scramble for Africa,na Berlin conference ,walijua dunia imesimama ,kumbe inazunguka ,wanakuja kushtuka wako outdated kitambo,waliahajikatia tamaa kwenye medani ya kivita wameamua kutulizana walee familia zao tu.sasa hivi hawanajipya hao.hata NORTH KOREA hawamfikii ,sembuse Russia!!!
 
Kwa kiingereza wewe unaitwa "Ignorant" kwa sababu wewe ni mjinga.

Hizo Nuclear Warheads unazoona anazo huyo mrusi nyingi ni "Tactical Nuclear Warheads" ambazo range zake ni 300-400 miles halafu hazina madhara makubwa sana na ndio maana kazirundika nyingi kwa sababu gharama zake sio kubwa sana.

Hata yale mataifa ya Asia yenye silaha hizo nyingi zao pia ni hizo "Tactical Nuclear Warheads."

Hakuna anayeweza kuanzisha vita vya nyuklia kisha eti akabaki mshindi, nothing like that. Hivyo Putin anapiga kelele tu za bure na ndio maana anaonekana chizi.
Mzee nuclear warhead hazina range...chenye range ni delivery system hapa unaongelea suala la missile na aircraft mfano b2 au tuplov za russia...na changamto kubwa kwenye nuclear warfare ni namna utakavoweza kuzi lunch hizo missiles kwa adui zako na ndio maana mara nyingi north korea anacho test ni missile sio nuclear explosions..so ukija katika teknolojia ya missile urusi kawaacha western mbali sana.
 
Putin akili kubwa. Amefanya jaribio hilo muda muafaka kwani ktk mgogoro huu na Ukraine kuna wabwekaji wengi sana sasa alikuwa anajaribu kuwakumbusha kuwa wanadili na mtu hatari sana.

Hapa picha iliyopo ni kama hivi unapita kitaa na unakutana na kundi kubwa la mbwa. Mbwa wanaanza kukubwakia kwa nguvu sana, wewe unachofanya ni kuokota jiwe tu, mbwa wengi watakimbia watakaobaki ni wachache sana na watakuwa wanabweka kwa mbali kwa machale na hofu kubwa imewajaa maana watajua mjamaa anaweza rusha jiwe mda wowote. SHIKAMOO PUTIN
 
Mzee nuclear warhead hazina range...chenye range ni delivery system hapa unaongelea suala la missile na aircraft mfano b2 au tuplov za russia...na changamto kubwa kwenye nuclear warfare ni namna utakavoweza kuzi lunch hizo missiles kwa adui zako na ndio maana mara nyingi north korea anacho test ni missile sio nuclear explosions..so ukija katika teknolojia ya missile urusi kawaacha western mbali sana.
Sikuelewi unaposema nyuklia warhead haina range na kama ni hivyo ina maana haisafiri basi na sio kwamba nyuklia warhead zote zinarushwa na ndege, kuna zinazorushwa kutoka kwenye meli na zingine toka kwenye stationary launch pads.

Hakuna uthibitisho kwamba Russia kawaacha nchi za magharibi mbali kwenye teknolojia ya makombora na naona huelewi kwamba ni Marekani na Russia tu ndizo zenye uwezo wa kurusha kombora na likatua sehemu yoyote duniani.

Russia sawa na nchi zingine za kikomunisti zina tabia ya kishamba ya kuonyesha silaha zao hadharani kama njia ya kutisha wananchi wao na mataifa ya nje ili zisikemee tawala zao za kiimla.
 
Wewe 'ujuaye' kila kitu na 'mtaalamu wa silaha' hebu tuonyeshe hata baruti yako uliyotengeneza mwenyewe,tusije kuwa tunabishana tu hapa kwa maneno matupu ya kugoogle kwa kutumia tech ya Mmarekani kupata hata hizo data tunazotambiana hapa.
Kwa wewe taarifa ulizonazo chanzo chako ni nini.
 
Haya ni makisio tu ya kuuza majarida. Hakuna mtu anayejua nani ana nini mpaka siku akitokea mwendawazimu akalianzisha. Technology ipo juu sana, na ukiona kimya ni kwa vile kila mmoja anamuhofia mwenzake. URUSI naye ana hofu pia ndo maana anaonyesha kuwa ana silaha kali na kuitangazia dunia kama yule wa North Korea. Unaweza sema Ujerumani hana kitu halafu akawa ndo chanzo cha kufuta maisha duniani, unaweza fikiri China ni wa tatu kumbe ana silaha mix ya nuclear na biological ambayo akizipiga ni mwisho wa dunia kama tuijuavyo. Sisi tunashabikia tu ila litakapoanza tunaweza tusiwe na nafasi tena ya kufanya tathimini ya nani ni mbabe.

Embu fikiria tu silaha kama za kusambaza kirusi ambacho ni cha hewa kinachoua ndani ya dakika bomu likapigwa? Litaishia huko lilipopigwa tu?
Germany imebaki kua nchi ya amani na kwa sasa hawatengenezi kwa wingi tena silaha kama enzi ya ww2
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hao jamaa wanamsoma tu.
Hamna vita hapo, ndo mana wanamwachia muikraina amalizane nao wao wanampa kila kitu.
Mbinu ya kidiplomasia.
Ikifika wanaenda huko ni kwamba kuna mtu anaondoka.
Hata afanyeje.
Wakiamua kesho tu shughuli imeisha.
Na hawapo mbali wanamsoma tu.
Kabla hata ya vita hiyo EU na NATO
Hawamkubali kabisa Mrusi.
Mpk sasa ni Finland tu wataanzia wakitoka huko.
Ndio pale km vita ya 3 itazimwa pale na wote.
Ndio umeandika nn !!!??
 
Kinachompa jeuri sababu yeye kila silaha lazima aitangaze? Anaamini nchi kama UK, German hawana hivyo vyombo? Usikute vya wenzake ni imara zaidi, maana hata kikawaida tu, bidhaa za ulaya ni jiwe haswa kuliko za asia.
Mkuu, hivi unafikiri wangekuwa na silaha wangemwachia Putin atambe atakavyo, thubutu!
 
Mambo mengine inabidi ucheke tu,kwani yeue pe ake ndo anazo hizo silaha! Alafu ulaya nchi nyingi za Nato zina silaha kali kama yeye au kupita.Asihangaike na mmarekani na m canada,Asisahau mjerumani hayupo mbali nae,na hawa wajerumani waliitoka dunia makamasi mara 2(vita kuu ya kwanza ya dunia na wa pili), Wana uwezo mkubwa wakitaka lao,hapo sijamuingiza muingereza na mfaransa ambao pamoja na udogo wao walishawahi kutawala karibu nusu ya dunia mpaka leo hii wameacha influence zao ulimwenguni,hao ni wachache tu.Sasa acha putin ajitoe akili ndo atajua kuwa dunia duara.
Unaandika simple sana utadhani Nuclear war ni vita ya majimaji, wanaoelewa madhara yake kamwe hawawezi kuandika kitu kama hichi.

United States walitumia nuclear weapons kwa hiroshima na nagasaki na hakuna nchi yoyote iliyomgusa.
Na Russia pia wanaweza kutumia nuclear weapons popote na hakuna atakaye mgusa sababu kila mtu anapenda amani nchini kwake na maisha ya wananchi wake.

Kama Russia wakianzisha vita ya nuclear mataifa mengine ni lazima yakae kimya ili kuepusha Nuclear holocaust ambayo itaangamiza dunia nzima, na hakuna mtu mwenye ubavu wa kuanzisha hicho kitu.
Ni afe mmoja au tufe wote na mpaka sasa putin ndio mtu pekee anayeonekana kuwa na will ya kudeploy nuclear na wala hajali chochote zaidi ya maslahi yake.
Mambo ya nuclear sio rahisi hivyo kwamba mimi nikipiga basi kila mtu anapiga kama manati, na kusema kwani nani hana mawe!

Hapa tunaongelea mwisho wa maisha duniani kwa ujumla au baadhi ya sehemu za dunia kuwa uninhabitable kwa mamia na maelfu ya miaka au extinction ya baadhi ya races.
 
Sikuelewi unaposema nyuklia warhead haina range na kama ni hivyo ina maana haisafiri basi na sio kwamba nyuklia warhead zote zinarushwa na ndege, kuna zinazorushwa kutoka kwenye meli na zingine toka kwenye stationary launch pads.

Hakuna uthibitisho kwamba Russia kawaacha nchi za magharibi mbali kwenye teknolojia ya makombora na naona huelewi kwamba ni Marekani na Russia tu ndizo zenye uwezo wa kurusha kombora na likatua sehemu yoyote duniani.

Russia sawa na nchi zingine za kikomunisti zina tabia ya kishamba ya kuonyesha silaha zao hadharani kama njia ya kutisha wananchi wao na mataifa ya nje ili zisikemee tawala zao za kiimla.
Sio wajinga kiasi hicho mtu anakuonesha rungu na AK 47 iko ndani au anakuambia specifications fake za uwezo wa kombora lake ili usijue ukweli lkn pia yale maonesho ya siraha ni taarifa kwa wananchi una ulimwengu kuwa hatujalala bali tumefikia hapa
 
Back
Top Bottom